Kwa hapa Tanzania ilipofikia hivi sasa inahitaji mapinduzi ya haraka, yaani yawe ya kijeshi au ya kiraia. utawala uliopo umeshindwa kabisa kwenye kila idara, sasa hivi imefika mahala ambapo hatujui hatma ya kesho yetu.
leo ktk historia ya taifa hili dola moja ya marekani ni tsh, 1620, sasa kwale walioweka pesa zao benk ktk fix acount ni hasara ya kiasi gani watakayopata!
tangu jumatano ya wiki iliyopita umeme unakatika kwa zaidi ya masaa 18 kwa siku. sasa kwa hapa tulipofika ni nini cha ziada tunahitaji kutoka serikali zaidi ya kushikana mashati,?. yaani ni kwamba serikali imefilisika hata pesa ya kununua mafuta ya kuwasha umeme hakuna.
Hizi kodi zetu zimeenda wapi? ni nani wanagawana pesa zetu, sasa ni fedheha gani zaidi ya hii tunayosubiri? kila kukicha ni heri ya jana.
Sasa tuache siasa ni lazima tuitwae nchi yetu sasa hivi.
leo ktk historia ya taifa hili dola moja ya marekani ni tsh, 1620, sasa kwale walioweka pesa zao benk ktk fix acount ni hasara ya kiasi gani watakayopata!
tangu jumatano ya wiki iliyopita umeme unakatika kwa zaidi ya masaa 18 kwa siku. sasa kwa hapa tulipofika ni nini cha ziada tunahitaji kutoka serikali zaidi ya kushikana mashati,?. yaani ni kwamba serikali imefilisika hata pesa ya kununua mafuta ya kuwasha umeme hakuna.
Hizi kodi zetu zimeenda wapi? ni nani wanagawana pesa zetu, sasa ni fedheha gani zaidi ya hii tunayosubiri? kila kukicha ni heri ya jana.
Sasa tuache siasa ni lazima tuitwae nchi yetu sasa hivi.