Tanzania ina shule ngapi za kidato cha tano na sita?

Debe Tupu

Member
Apr 20, 2017
34
19
Naomba kuuliza Tz ina shule za serikali zenye kidato cha tano na sita ngapi? Maana kwenye kumbukumbu zangu kwa waliochaguliwa
advance 2013 na 2014 walikuwa chini ya 53,000 na
55,000.Hapo wenzao wakabaki zaidi 21,000 kwa miaka hizo miwili.Naona mwaka huu 93,000 wamechaguliwa kidato cha tano. swali je kwa sasa shule hizo zipo za kutosha kukabiliana na changamoto hiyo?
 
Naomba kuuliza Tz ina shule za serikali zenye kidato cha tano na sita ngapi? Maana kwenye kumbukumbu zangu kwa waliochaguliwa
advance 2013 na 2014 walikuwa chini ya 53,000 na
55,000.Hapo wenzao wakabaki zaidi 21,000 kwa miaka hizo miwili.Naona mwaka huu 93,000 wamechaguliwa kidato cha tano. swali je kwa sasa shule hizo zipo za kutosha kukabiliana na changamoto hiyo?
sio wote 93000 wanaenda advance wengine siwanaenda vyuon au
 
Back
Top Bottom