Tanzania ina shida ya njaa kushinda Kenya..Its only the govt of Tz that lives in Denial...no given day have 200 people died of hunger in Kenya

SIKU NYINGINE WEKA KAMA HIVI USITUSUMBUE KUFUNGUA LINK...


DAR ES SALAAM, March 7 (Thomson Reuters Foundation) - Most Tanzanians have experienced hunger in the past three months, with food shortages most severe in drought-hit rural areas, a countrywide survey found, despite government denials of a food crisis.
The survey by Tanzanian think tank Twaweza found that 78 percent of people had suffered food shortages in the past three months. In rural areas the figure rose to 84 percent compared to 64 percent in cities.
The findings came despite repeated government denials that the East African country was suffering food shortages. President John Magufuli has accused opposition politicians of fomenting a “fake” hunger crisis.
The Twaweza survey said in a country where 80 percent of the population rely on subsistence farming, some families have begun skipping meals.
In February, 65 percent of respondents had worried about their families not having enough to eat in the previous seven days, compared to 45 percent last September.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dong Yi
mzee hapo chalinze tu watu wanakunywa maji bwawa moja na ng'ombe, au nenda handeni, nenda jimbo la mwigulu....
usihadithiwe, we nenda katazame!
Sent using Jamii Forums mobile app
Oii said:
Tukiwaambia ccm inajitahidi, mnabisha.
Nitafutie pctr kama hiyo ya kuanzia mwaka

msapere...ona watanzania wanaosema ukweli...
 
Hivi hii mambo ya njaa inawasumbua sana wakenya hadi watafute hadithi gushi za tanzania mradi wajifariji na wafute soni..
Hii aibu Mi jubilee hamkwepi, pelekeni chakula kwa walio na njaa, hadithi nyingi muwache
Dong Yi
mzee hapo chalinze tu watu wanakunywa maji bwawa moja na ng'ombe, au nenda handeni, nenda jimbo la mwigulu....
usihadithiwe, we nenda katazame!
Sent using Jamii Forums mobile app
Oii said:
Tukiwaambia ccm inajitahidi, mnabisha.
Nitafutie pctr kama hiyo ya kuanzia mwaka

msapere...ona watanzania wanaosema ukweli...

ona watanzania wanaopenda ukwel..
 
Njaa Tz hakuna asee, labda kama unamaanisha njaa ya mfungo wa Kwaresma. Hapa Dar ukishuka daladala unakutana na vyakula tele vinauzwa yaani ni hela yako tu, vijijini ndo usiseme mchana huu watu washakula ugali mkubwa wameshushia na zinga la papai..mlo huo kwa Kenya ni ndoto.

Sent using Jamii Forums mobile app

kumbe unamaanisha vyakula madukani....mbna vipo....na kuhusu vijiji vyenye kuna wakulima..mbna watu wanakula tu hyo sima kubwa...

unataka kulingani waturkana na watu wanaojielewa...hao watu wanachojua ni ufugaji na kununa silaha za kulinda mifugo yao...ishu na ukulima na kufanya kazi au biasha iwatilie hela hawana...watu wako karne ya kumi tisa...
 
kituo kinachofata ni turkana county na baringo county.

hatuwezi kukubari jirani zetu wanakufa kwa njaa ilhali sisi tuna chakula cha kutosha.

wakenya mjiandae kupewa msaada wa chakula toka tanzania.

Screenshot_2019-03-19-13-07-42-058_com.instagram.android.jpeg
 
Tungetoa msaada Kenya tatizo huko Turkana hata Airport hakuna sasa midege ya JWTZ itatua wapi?
 
kumbe unamaanisha vyakula madukani....mbna vipo....na kuhusu vijiji vyenye kuna wakulima..mbna watu wanakula tu hyo sima kubwa...

unataka kulingani waturkana na watu wanaojielewa...hao watu wanachojua ni ufugaji na kununa silaha za kulinda mifugo yao...ishu na ukulima na kufanya kazi au biasha iwatilie hela hawana...watu wako karne ya kumi tisa...
Inakuaje sasa nchi ya uchumi wa kati kama Kenya kuwa na jamii zilizo nyuma ya karne kiasi hiki? Au ndo kuthibitisha kauli isemayo masikini wa Kenya ni masikini kweli kwelii ni afadhali masikini wa Tz anajiweza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom