Tanzania ina sera ya kutofungamana na yoyote, ni lazima iheshimiwe!

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,053
28,245
Tanzania ina sera ya kutofungamana na yoyote kati ya Magharibi au Mashariki.

Hili linaeleweka miaka yote.

Kitendo cha Umoja wa Ulaya kutaka Afrika na Tanzania watoe tamko dhidi ya Urusi ni kuingilia Uhuru wetu.

Tunatambua kuwa tunapata msaada mkubwa kutoka "west" lakini hii isiwe sababu ya kutulazamishia kuwasupport kwenye vita ya UKRAINE.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
jingalao - kuheshimu uhuru wa maamuzi ni jambo jema sana ila kumbuka put in ametuasa kama maandiko yalivyosema ni vema tukubali kuwa wamoto au wabaridi mana hata muuumba wetu haimpendezi kuwa vuguvugu
 
jingalao - kuheshimu uhuru wa maamuzi ni jambo jema sana ila kumbuka put in ametuasa kama maandiko yalivyosema ni vema tukubali kuwa wamoto au wabaridi mana hata muuumba wetu haimpendezi kuwa vuguvugu
Serikali haifanyi maamuzi kutokama na maandiko. Na si lazima
Huo ndoi msimamo wa serikali na uheshimiwe
 
Baada ya kujidefend tulikua na uhuru wa kuingia uganda
Thats where the enemy was. Else angerudi tena? So jeshi lingekaa adui arudi tena akiwa amejipanga?

+ some of ugandans wenyewe walitaka idd amin aondoke. On of them ni Y.Museven wkt huo akiwa kama muasi.
 
Back
Top Bottom