Tanzania ina mipango ya kufikia uchumi wa kati miaka mitano ijayo, hivi Kenya tutakuwa level gani kwa kasi hii yetu?

Ati unauliza Kenya itakuwa wapi kwani hujui itakuwa wapi
Mtaendelea kuwa na uchumi usio sadifu yaliyomo,
Wachina watakuwa wamewanyoosha kweli kweli,
Mtaendelea kupokea misaada ya chakula kama kawaida

Hapa kwenye hii list mtakuwa mmefika namba moja


Bila kusahau unemployment rate itakuwa imeongezeka mara dufu,
Hizi ni baadhi tu.
Duh kwahiyo jamaa wanaongoza kwa kupokea misaada?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ati unauliza Kenya itakuwa wapi kwani hujui itakuwa wapi 😂😂😂
Mtaendelea kuwa na uchumi usio sadifu yaliyomo,
Wachina watakuwa wamewanyoosha kweli kweli,
Mtaendelea kupokea misaada ya chakula kama kawaida

Hapa kwenye hii list mtakuwa mmefika namba moja


Bila kusahau unemployment rate itakuwa imeongezeka mara dufu,
Hizi ni baadhi tu.


Tungekua mbali sana, sema tunaburuzwa na maelfu ya hawa watu ambao wameitoroka nchi yao na kujazana sana huku





 
Yaani safari yenyewe ndefu, halafu kikubwa ambacho huwaponza hawa ni elimu na uzembe, wakifanyia kazi hivyo vitu viwili wanaweza wakanusia nyuma ya Kenya.
...na ushamba wa kiujamaa ujamaa pia. Umasikini(multidimension) @54% ya watanzania 60 million! Alafu atasikia mtu akikuambia eti GDP ya Kenya ni ya kwenye makaratasi. Sasa GDP yao kiduchu kwa nchi kubwa hivyo na yenye watu wengi kiasi hicho si ndio itakuwa ya hewa? Alafu GDP yenyewe inakuwa kwa rate ya 3-4%! :D
 
Hawawezi kujilisha wenyewe
Wana sherehekea Uchumi wa kati Hewa!!
Hawa jamaa vilaza sio mchezo
Ila wakenya nje ya jf wanajitambua sana
Kuliko haya yaliyomo humu
Hapa Jf huwezi fahamu maisha ya mtu kwa kusoma jina lake. Watu wengi wanakuja huku kujifurahisha tu.
 
Back
Top Bottom