Fundi Mchundo
JF-Expert Member
- Joined
- Nov 9, 2007
- Messages
- 4,783
- Points
- 1,250
Naiweka hii hapa kwa vile wengi wetu huwa hatuchezi mbali na hapa. Hivi Tanzania imo katika huu mradi wa One Laptop per Child? kama hatumo, kwa nini tunasita?
Imepanda, inauzwa dola 200 tu! Nadhani wengi tutalinganisha bei hii na ya mitumba iliyojaa! Hivi kweli hatuwezi kujitahidi tupate angalau moja kwa kila shule?najua waswahili watasema Laptop ni bei mbaya, bei yake ni us$100 tu.
Hivyo vi-laptop si lazima vitumie umeme unaomaanisha. aidha ni betri au hasa solar energy. Niliandika kuhusu hii project muda mrefu kidogo uliopita katika thread ya high speed internet connection(and wireless) in Tanzania. Seems no one had eyes to see it...or time to look at it.Pundit thanks...
Mradi wa Laptop hatumo..kuna nchi zishabook hizo tangu kutangazwa kwake..hasa Algeria...sie mitumba inatufaa lkn si kwa watoto, hizo onelaptop zinawafaa watoto..let say std 1 to 7...
HATA KAMA TUMO ktk MRADI tutakwama ktk UMEME kwani hadi sasa hatuna UMEME wa UHAKIKA...
Tatizo letu ndio hilo, tunapenda mno siasa!Hivyo vi-laptop si lazima vitumie umeme unaomaanisha. aidha ni betri au hasa solar energy. Niliandika kuhusu hii project muda mrefu kidogo uliopita katika thread ya high speed internet connection(and wireless) in Tanzania. Seems no one had eyes to see it...or time to look at it.
Kwa bahati mbaya hii imekuwa ndiyo kawaida yetu. Top down economics badala ya kulenga watumiaji. Ukiingia ofisi za serikali mabosi wengi wana laptop na PCs ( wengine mbili mbili!) lakini barua bado wanadictate kwa sekretari, hawana e-mail address na hawajawahi kuingia kwenye internet isipokuwa pengine zile sehemu sehemu! Watoto na vijana ndio wana udadisi na uelewa wa haraka haraka wa teknolojia mpya. Hawa ndio huu mradi wa One Laptop inawalenga. Si kompyuta ya kukaa ofisini kwa mwalimu mkuu itakayotumika siku shule itakapotembelewa na wageni waalikwa. Microsoft na Intel ( Intel wamejitoa sasa hivi kwenye mradi wa OneLaptop)wana mradi wao wa Classmate kompyuta ambayo ni aghali zaidi , US $ 350 na inatumia MS office products. OneLaptop kama ilivyoelezwa kabla inatumia open-source products. Lakini pengine kigugumizi kinatokana na ukweli kuwa hakutakuwa na study tour na semina nyingi kama tutachagua OneLaptop. Sasa hao maafisa elimu watakula wapi?Ila kwa habari nilizozipata mwishoni mwa mwaka jana 2007 wizara ya Elimu ikipata msaada kutoka kwa Microsoft waliwagawia Ma Afisa Elimu wa Wilaya zote za Tanzania Laptop na kuwapa Seminar iliyofanyika Bagamoyo. Nafikiri Mwendo sio mbaya ingawa tupo mbali sana na Dunia inavyokwenda.
Sidhani kama huu mradi umelengwa kwa hao wa university! Ni vigumu child kuwa university.FM, sasa umeanza kuleta point, unafikiri mradi huu kwetu tutaufanikishaje? angalau tuanze na wanafunzi wa university! kwani wengine wa mba bado wanaandika asignment kwenye madaftari. nadhani tunaweza tukamshauri prof.msola tukaanza na university students kama pilot project, waachane na kutumia ruled paper. mambo ya ODM na PNU tuyaache kwanza.
..halafu itatumiwa na nani?mwalimu mkuu au?Imepanda, inauzwa dola 200 tu! Nadhani wengi tutalinganisha bei hii na ya mitumba iliyojaa! Hivi kweli hatuwezi kujitahidi tupate angalau moja kwa kila shule?
..hao wa mba hawahitaji hizi,kwani ni za watoto wa shule!FM, sasa umeanza kuleta point, unafikiri mradi huu kwetu tutaufanikishaje? angalau tuanze na wanafunzi wa university! kwani wengine wa mba bado wanaandika asignment kwenye madaftari. nadhani tunaweza tukamshauri prof.msola tukaanza na university students kama pilot project, waachane na kutumia ruled paper. mambo ya ODM na PNU tuyaache kwanza.