Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,749
- 6,553
Naiweka hii hapa kwa vile wengi wetu huwa hatuchezi mbali na hapa. Hivi Tanzania imo katika huu mradi wa One Laptop per Child? kama hatumo, kwa nini tunasita?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
najua waswahili watasema Laptop ni bei mbaya, bei yake ni us$100 tu.
Pundit thanks...
Mradi wa Laptop hatumo..kuna nchi zishabook hizo tangu kutangazwa kwake..hasa Algeria...sie mitumba inatufaa lkn si kwa watoto, hizo onelaptop zinawafaa watoto..let say std 1 to 7...
HATA KAMA TUMO ktk MRADI tutakwama ktk UMEME kwani hadi sasa hatuna UMEME wa UHAKIKA...
Hivyo vi-laptop si lazima vitumie umeme unaomaanisha. aidha ni betri au hasa solar energy. Niliandika kuhusu hii project muda mrefu kidogo uliopita katika thread ya high speed internet connection(and wireless) in Tanzania. Seems no one had eyes to see it...or time to look at it.
Ila kwa habari nilizozipata mwishoni mwa mwaka jana 2007 wizara ya Elimu ikipata msaada kutoka kwa Microsoft waliwagawia Ma Afisa Elimu wa Wilaya zote za Tanzania Laptop na kuwapa Seminar iliyofanyika Bagamoyo. Nafikiri Mwendo sio mbaya ingawa tupo mbali sana na Dunia inavyokwenda.
FM, sasa umeanza kuleta point, unafikiri mradi huu kwetu tutaufanikishaje? angalau tuanze na wanafunzi wa university! kwani wengine wa mba bado wanaandika asignment kwenye madaftari. nadhani tunaweza tukamshauri prof.msola tukaanza na university students kama pilot project, waachane na kutumia ruled paper. mambo ya ODM na PNU tuyaache kwanza.
Imepanda, inauzwa dola 200 tu! Nadhani wengi tutalinganisha bei hii na ya mitumba iliyojaa! Hivi kweli hatuwezi kujitahidi tupate angalau moja kwa kila shule?
FM, sasa umeanza kuleta point, unafikiri mradi huu kwetu tutaufanikishaje? angalau tuanze na wanafunzi wa university! kwani wengine wa mba bado wanaandika asignment kwenye madaftari. nadhani tunaweza tukamshauri prof.msola tukaanza na university students kama pilot project, waachane na kutumia ruled paper. mambo ya ODM na PNU tuyaache kwanza.