abdulahsaf
JF-Expert Member
- Aug 31, 2010
- 858
- 130
Walengwa wakubwa wa lengo hilo ni wimbi la Wzanzibar wanaoishi nchi za nje ambao wengi wao wana raia zakigeni. Hii imekuja kutokana na fununu zakuwa oganazation ya Wzanzibar ya kujioganizi nikubwa na kuibuka wimbi la kutia presha ya kuvunja Muungano ili wapate kurudi nyumbani na kuendelea na shuhuli zao za kimaicha kuliko kuishia na kumalizika ugenini na ku-treatiwa kama wageni hata uwe na passport basi unatreatiwa kama mtu wa class 2.
Hii ndio taget kubwa ingawaje maofisa wa Serekali ya Tanzania wanasema taget ni ugaidi wa kimataifa lakini gaidi mkubwa hapa kwa Serekali ya Tanganyika ni wimbi la Wzanzibar waloko njee kukosa haki na right za nchi yao.
Hii ni mbinu hata Wa-Israil kwa Wapalestina waloko nje ya Palestina ili wasiweze kurudi tena kuishi Palestina na kupoteza right zao zote za motherland,na Tanganyika hii ndio plan kubwa iliopangwa ili kuwazibiti Wzanzibar waishio ugenini na kupunguza nguvu ya ndani ya population ya Wzanzibar.
Kinachowashtua hivi sasa viongozi wa Tanganyika ni mtikisiko mkubwa wa umoja wa Wzanzibar uloko nje ya Zanzibar kwenda mbio na kudai Muungano ni fake na haukufuata vigezo vya kimataifa na hauna ridhaa ya Wzanzibar wenyewe na una kasoro nyingi ambazo hivi sasa ni too let kuweza kuzirekebisha bila ya kuvunjwa na ukafanyiwa re-view.
Mpango wakuwabana wzanzibar waloko nje ni mbinu zimeibuliwa hivi karibuni na lengo nikuwanyima haki ya nchi yao kama wazawa na kumeikwa kitengo flani ktk mawasiliano ya simu kutoka nje ili kuskiliza na kushuja mazungumzo ya koje na yanahusu nini? hii ni hofu ya Watanganyika zidi ya Muungano kuvunjika kwa vile presha za Wzanzibar waloko nje nikubwa na wanafuatilia step moja bada ya nyengine kuhusu uhalaliwa Muungano.
Muungano wa Tanzania na Zanzibar hivi sasa umebakia urafiki tu wa ccm/Tanganyika na ccm/smz lakini ktk madali ya Wzanzibar wenyewe hawautaki Muungano hata kuona unaishi kutokana na nguvu ya kundi la ccm/smz tu.
Hii ndio taget kubwa ingawaje maofisa wa Serekali ya Tanzania wanasema taget ni ugaidi wa kimataifa lakini gaidi mkubwa hapa kwa Serekali ya Tanganyika ni wimbi la Wzanzibar waloko njee kukosa haki na right za nchi yao.
Hii ni mbinu hata Wa-Israil kwa Wapalestina waloko nje ya Palestina ili wasiweze kurudi tena kuishi Palestina na kupoteza right zao zote za motherland,na Tanganyika hii ndio plan kubwa iliopangwa ili kuwazibiti Wzanzibar waishio ugenini na kupunguza nguvu ya ndani ya population ya Wzanzibar.
Kinachowashtua hivi sasa viongozi wa Tanganyika ni mtikisiko mkubwa wa umoja wa Wzanzibar uloko nje ya Zanzibar kwenda mbio na kudai Muungano ni fake na haukufuata vigezo vya kimataifa na hauna ridhaa ya Wzanzibar wenyewe na una kasoro nyingi ambazo hivi sasa ni too let kuweza kuzirekebisha bila ya kuvunjwa na ukafanyiwa re-view.
Mpango wakuwabana wzanzibar waloko nje ni mbinu zimeibuliwa hivi karibuni na lengo nikuwanyima haki ya nchi yao kama wazawa na kumeikwa kitengo flani ktk mawasiliano ya simu kutoka nje ili kuskiliza na kushuja mazungumzo ya koje na yanahusu nini? hii ni hofu ya Watanganyika zidi ya Muungano kuvunjika kwa vile presha za Wzanzibar waloko nje nikubwa na wanafuatilia step moja bada ya nyengine kuhusu uhalaliwa Muungano.
Muungano wa Tanzania na Zanzibar hivi sasa umebakia urafiki tu wa ccm/Tanganyika na ccm/smz lakini ktk madali ya Wzanzibar wenyewe hawautaki Muungano hata kuona unaishi kutokana na nguvu ya kundi la ccm/smz tu.