Tanzania imeshika namba moja kwenye sera mbovu za usajili wa laini za simu

Kwa mujibu wa comparitech Tanzania ndio nchi inayoongoza kwa sera mbovu za usajili ambazo zinafanya mtumiaji wa simu akose faragha ya simu yake, kwa kukosa sharia zinazohusu faragha ya mtu kutumia simu,

Usajili wa kutumia alama za vidole unaofanywa pia unaongeza hatari kwa kuwa taarifa za mteja hupelekwa kwenye mamlaka husika mwezi mmoja baada ya kujisajili.

Nchi zinazofuata baada ya Tanzania ni Saudi Arabia imeshika namba mbili, north korea na Uganda zipo nafasi ya tatu

Japo mambo haya huonekana kuwa yanaleta usalama kwa watumiaji wa mitandao, lakini bado Tanzania haiku vizuri kwenye usalama wa mtandao CyberSecurity, kwa tafiti za Comparitech walizopanga kutoka kwa mtiririko wa wanaofanya vibaya hadi wanaofanya vizuri, Tanzania ni ya nne ukianzia kwa walio na ubovu wa ulinzi wa mtandao, asilimia 28.3 ya simu zake zikiwa na malwares, huku computer zake asilimia 14.7 zikiwa na wadudu waiba taarifa, nchi ya kwanza kwa ulinzi mbovu wa mtandao ni Algeria, ya pili ni Indonesia, ya tatu Vietnam na Tanzania ikiwa ya nne

Hali hii inaonekana kuwa serikali inawekeza muda mwingi kutaka taarifa kwa wananchi wake kiasi cha kuwa na sera mbovu huku wakiwa na ulinzi mbovu wa mtandao unafanya taarifa zake kama nchi na wananchi wake wazi Zaidi kwa watu wan je au computer geeks

Taarifa za wananchi sio vibaya kuwa nazo lakini kama tunangalia ndani Zaidi na kuacha usalama wan chi ukawa vulnerable kiasi kikubwa kwa computer geeks ni hatari Zaidi

Tujitambue

Signed

Oedipus

Hongera Magufuli; viva awamu ya 5. Watanzania tunapaswa kujipongeza kwa mafanikio haya ya kujivunia.
 
Kwa mujibu wa comparitech Tanzania ndio nchi inayoongoza kwa sera mbovu za usajili ambazo zinafanya mtumiaji wa simu akose faragha ya simu yake, kwa kukosa sharia zinazohusu faragha ya mtu kutumia simu,

Usajili wa kutumia alama za vidole unaofanywa pia unaongeza hatari kwa kuwa taarifa za mteja hupelekwa kwenye mamlaka husika mwezi mmoja baada ya kujisajili.

Nchi zinazofuata baada ya Tanzania ni Saudi Arabia imeshika namba mbili, north korea na Uganda zipo nafasi ya tatu

Japo mambo haya huonekana kuwa yanaleta usalama kwa watumiaji wa mitandao, lakini bado Tanzania haiku vizuri kwenye usalama wa mtandao CyberSecurity, kwa tafiti za Comparitech walizopanga kutoka kwa mtiririko wa wanaofanya vibaya hadi wanaofanya vizuri, Tanzania ni ya nne ukianzia kwa walio na ubovu wa ulinzi wa mtandao, asilimia 28.3 ya simu zake zikiwa na malwares, huku computer zake asilimia 14.7 zikiwa na wadudu waiba taarifa, nchi ya kwanza kwa ulinzi mbovu wa mtandao ni Algeria, ya pili ni Indonesia, ya tatu Vietnam na Tanzania ikiwa ya nne

Hali hii inaonekana kuwa serikali inawekeza muda mwingi kutaka taarifa kwa wananchi wake kiasi cha kuwa na sera mbovu huku wakiwa na ulinzi mbovu wa mtandao unafanya taarifa zake kama nchi na wananchi wake wazi Zaidi kwa watu wan je au computer geeks

Taarifa za wananchi sio vibaya kuwa nazo lakini kama tunangalia ndani Zaidi na kuacha usalama wan chi ukawa vulnerable kiasi kikubwa kwa computer geeks ni hatari Zaidi

Tujitambue

Signed

Oedipus
skupingi mkuu
 
Haya matafiti haya sio sana ya kuyaamini me naona usalama wa vifaa vyetu vianze na sisi watumiaji!!!

The administration plans to place visa restrictions limits on travelers from seven new countries: Belarus, Eritrea, Kyrgyzstan, Myanmar, Nigeria, Sudan and *Tanzania*.
 

The administration plans to place visa restrictions limits on travelers from seven new countries: Belarus, Eritrea, Kyrgyzstan, Myanmar, Nigeria, Sudan and *Tanzania*.
Pascal Mayalla
 
Hawa mabeberu wa Marekani walikuwa wanatutafuta kwa muda mrefu, wakitutafutia sababu ya kulianzisha, wamekosa wanataka kulazimisha na tulizungumza humu

Wazalendo tupo na hatuta kubali.
P
 
Kama kitendo cha serikali kuomba taarifa za watu ndo kinafanya Tanzania iwe na mfumo mbovu wa usiri wa taarifa za watumiaji wa mtandao basi napingana na ninyi kwasababu last week nimeona jarida limechapishwa na vyombo vya habari mashuhuli duniani kwamba marekani ndo nchi duniani inayoongoza kwa kuomba kupewa taarifa za watumiaji wa mtandao ikiwa na idadi ya watu takribani laki moja na elfu themanini ambao taarifa zao serikali inazidukua
Soma tena uelewe
 
Ngoja tuwasubiri wazelendo nyie mtafanyaje wakiamua kuingia
Hawa mabeberu wa Marekani walikuwa wanatutafuta kwa muda mrefu, wakitutafutia sababu ya kulianzisha, wamekosa wanataka kulazimisha na tulizungumza humu

Wazalendo tupo na hatuta kubali.
P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom