Ni wakati mgumu kwa watawala wetu kwani nchi haina pesa, viongozi wamegawanyika na wananchi wamegawanyika na wengi wamekata tamaa na maisha na kuona umasikini juu ya vichwa vyao, mfumuko wa bei uko juu na ukosefu wa ajira nao uko juu kabisa.
Usalama wa taifa nao wakitoa angalizo wa taasisi nyingine kuwa nchi haiko katika mstari, huku migawanyiko katika vyama vya siasa vikikua kila siku na kutishia machafuko ndani ya hata Chama tawala.
Nini kifanyike kuokoa taifa?
Usalama wa taifa nao wakitoa angalizo wa taasisi nyingine kuwa nchi haiko katika mstari, huku migawanyiko katika vyama vya siasa vikikua kila siku na kutishia machafuko ndani ya hata Chama tawala.
Nini kifanyike kuokoa taifa?