MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,517
- 47,756
Hili tatizo Tanzania lilikua 34.4% mwaka wa 2005 na hadi kufikia 2017 walikua wamepunguza asilimia mbili na kufikia 32%
Kwa Kenya ilikua 28% na imepungua hadi 24%
Njaa na utapia mlo bado ni janga Afrika, ila la kushangaza kwa nchi kama Tanzania yenye ardhi yenye rotuba na kubwa mara mbili ya Kenya (ambayo zaidi ya nusu yake ni jangwa na kame tupu), inahangaika vipi kwenye matatizo kama haya na kushindwa na Kenya kainch kadogo ambako hakana hata madini wala....
-------------------------
Dar es Salaam. The prevalence of underfeeding in Tanzania has declined over the past decade. This is despite the fact that hunger appears to be increasing in Africa, with 23 per cent of the population being undernourished on the continent, says a new United Nations report.
However, the prevalence of undernourishment stood at 32 per cent in Tanzania in 2017, compared to 34.4 per cent in 2005, says the report which was launched in Addis Ababa, Ethiopia last month.
Underfeeding falls in Tanzania over 10 years-report
Kwa Kenya ilikua 28% na imepungua hadi 24%
Njaa na utapia mlo bado ni janga Afrika, ila la kushangaza kwa nchi kama Tanzania yenye ardhi yenye rotuba na kubwa mara mbili ya Kenya (ambayo zaidi ya nusu yake ni jangwa na kame tupu), inahangaika vipi kwenye matatizo kama haya na kushindwa na Kenya kainch kadogo ambako hakana hata madini wala....
-------------------------
Dar es Salaam. The prevalence of underfeeding in Tanzania has declined over the past decade. This is despite the fact that hunger appears to be increasing in Africa, with 23 per cent of the population being undernourished on the continent, says a new United Nations report.
However, the prevalence of undernourishment stood at 32 per cent in Tanzania in 2017, compared to 34.4 per cent in 2005, says the report which was launched in Addis Ababa, Ethiopia last month.
Underfeeding falls in Tanzania over 10 years-report