Tanzania iliwahi kuwa nchi ya tatu kwa upelelezi duniani

Edward mondlane ndio nan au ni yule kiongozi wa Renamo

Sent using Jamii Forums mobile app

au umezoea kuona Eduardo?, Yes ndio miongoni mwa waanzilishi wa FRELIMO , chama cha ukombozi cha wanamsumbuji Kilichoanzishwa hapa Dare Es Salaam,
alikufa baada ya kufungua kifurushi alichotumiwa kama kitabu kumbe lilikuwa ni bomu ilikuwa mwaka 1969 hapa Dar es Salaam

alikuwa ni kingozi muhimu na alikuwa anawindwa sana na Wareno?, iweje kifurushi kipenye na kumfikia bila kuwa noticed na watu wa usalama?
 
au umezoea kuona Eduardo?, Yes ndio miongoni mwa waanzilishi wa FRELIMO , chama cha ukombozi cha wanamsumbuji Kilichoanzishwa hapa Dare Es Salaam,
alikufa baada ya kufungua kifurushi alichotumiwa kama kitabu kumbe lilikuwa ni bomu ilikuwa mwaka 1969 hapa Dar es Salaam

alikuwa ni kingozi muhimu na alikuwa anawindwa sana na Wareno?, iweje kifurushi kipenye na kumfikia bila kuwa noticed na watu wa usalama?
yawezeka labda walijua lkn wakamuacha afe maana mwalimu alikuwa anaweka vibaraka wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipoku dogo, Tulikua tunasema.... Tanzania inauwezo wa kuipiga marekan viti vya ardhin.


Tulipokua tunasahau.mikwamba hata silaha za Tanzania nyingine zinatoka Marekan.
 
Ndugu wana bodi,wakati nikiwa mdogo enzi za mwalimu kuliwahi kuwa na uvumi kuwa Tanzania ilikuwa na idara nzuri sana ya TISS hata ikawa nchi ya Tatu kwa upelelezi duniani.

Kwa upande mmoja naweza kuona ukweli wa hili nikijaribu kulinganisha TISS ya enzi za Nyerere na TISS ya ezi hizi,nakumbuka wapelelezi wa enzi hizo wengine waliweza hata kuwa kama vichaa kwa kuvaa nguo chafu ili waweze kukamilisha upelelezi na wakafanikiwa hata kuwakamata makaburu waliokuwa wanakuja nchini kutoka Afrika kusini kwa njia za pori,lakini siku hizi wasomali wanaingia nchini na kutoka wachache ndo kuwa wanakamatwa tena na polisi kwa kupewa taarifa na raia wema na sio TISS.

Naomba michango yenu wana bodi kuhusu jambo hili ukilinganisha na haya matukio yanayotokea kwa sasa.
Siri zipo hapa gusa hapa Vatican Inamiliki Dunia - JamiiForums
 
au umezoea kuona Eduardo?, Yes ndio miongoni mwa waanzilishi wa FRELIMO , chama cha ukombozi cha wanamsumbuji Kilichoanzishwa hapa Dare Es Salaam,
alikufa baada ya kufungua kifurushi alichotumiwa kama kitabu kumbe lilikuwa ni bomu ilikuwa mwaka 1969 hapa Dar es Salaam

alikuwa ni kingozi muhimu na alikuwa anawindwa sana na Wareno?, iweje kifurushi kipenye na kumfikia bila kuwa noticed na watu wa usalama?
Halafu niliposoma kitabu cha Uria Simango(makamu wa rais wa frelimo enzi hizo) kuna jasusi (Robert Leroy) mreno aliingia Tz na kujifanya mwandishi wa habari kutoka Uchinaalifanikiwa kuwahoji na kupandikiza chuki kwa viongozi waandamizi wa frelimo,alifanikiwa mpaka kuzijua njia za panya ambazo frelimo wanazitumia na kufanya mashambulizi nchini Msumbiji,Tiss walipigwaje chenga na huyu mgema ulimbo!
Lile volume LA vitabu laiti vingeandikwa kwa kiingereza lingemuondoa makamu wa rais Uria Simango kwasababu angetaka kusoma,ilaalilishika ila alipoona limeandikwa kwa kifaransa lugha ambayo haijui ndio akalipotezea,
Bomu lile lilitengenezwa na agent mmoja wa PIDE(majasusi kipindi cha mreno nchini Msumbiji)
Nalog off
 
Ndugu wana bodi,wakati nikiwa mdogo enzi za mwalimu kuliwahi kuwa na uvumi kuwa Tanzania ilikuwa na idara nzuri sana ya TISS hata ikawa nchi ya Tatu kwa upelelezi duniani.

Kwa upande mmoja naweza kuona ukweli wa hili nikijaribu kulinganisha TISS ya enzi za Nyerere na TISS ya ezi hizi,nakumbuka wapelelezi wa enzi hizo wengine waliweza hata kuwa kama vichaa kwa kuvaa nguo chafu ili waweze kukamilisha upelelezi na wakafanikiwa hata kuwakamata makaburu waliokuwa wanakuja nchini kutoka Afrika kusini kwa njia za pori,lakini siku hizi wasomali wanaingia nchini na kutoka wachache ndo kuwa wanakamatwa tena na polisi kwa kupewa taarifa na raia wema na sio TISS.

Naomba michango yenu wana bodi kuhusu jambo hili ukilinganisha na haya matukio yanayotokea kwa sasa.

.
Mkuu kwenye hii field ya ujasusi kuna wakina MOSAD, CIA, KBG, FBI nk nk halafu unasema Tanzania ilikuwa ya tatu??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom