Maneno Meier
JF-Expert Member
- May 12, 2013
- 2,469
- 1,697
Maasakofu ni nani? Ni Mungu wao? Unamwona Mungu anaenda chooni?Amani anaivuruga nani? Umeshawahi kuona waraka kama huu kabla ya huyo dikteta na dhalimu kuingia madarakani!
Maaskofu nao wanaokota maneno vijiweni? Acha upumbavu wako wewe!
WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini - JamiiForums
Kama wao ni miungu wako ambao unawaamini kwa kila kitu, mbona katika vita kuu ya pili ya dunia walimbariki Hitler? Unajua hiyo? Kabla hujaanza kunitukana bila sababu.
Sent using Jamii Forums mobile app