Tanzania iko hoi kifedha, asema CAG Dodoma. Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utoh amesema kuwa Serikali ya Tanzania iko hoi kifedha hivyo Bunge na Serikali lazima wajitathmini.
Tanzania iko hoi kifedha, asema CAG Dodoma. Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utoh amesema kuwa Serikali ya Tanzania iko hoi kifedha hivyo Bunge na Serikali lazima wajitathmini.
Wewe Tanzania lazima ichoke income 1 halafu unatumia 2 unategemea nini kama sio majanga.Na huyo presidaa mwenyewe kila siku kiguu na njia,tripu moja tuu madarasa 5 yamejengwa shule ya kata.Tanzania iko hoi kifedha, asema CAG Dodoma. Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utoh amesema kuwa Serikali ya Tanzania iko hoi kifedha hivyo Bunge na Serikali lazima wajitathmini.
Vyama vya siasa kama CHADEMA wasitishe operation ili kutii ushauri wa CAG ; Mtazamoa tu
tanzania iko hoi kifedha, asema cag dodoma. Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali (cag), ludovick utoh amesema kuwa serikali ya tanzania iko hoi kifedha hivyo bunge na serikali lazima wajitathmini.
Sio kweli, ingekuwa hivyo mkulu asingeenda Uswis na juzi tu katoka Marekani via Dubei.
Hatua mbili mbele,hatua tatu nyuma!!