mamlaka ya vitambulisho vya taifa NIDA,uhamiaji,na vizazi na vifo ndo watafanya kazi kwa pamoja kukamilisha kazi ya vitambulisho vya taifa.mia
Journalism is the the poorest profession in Tanzania. Sio mwanahabari wa ITV tu, we ushaona mwandishi gani nchi hii anaweza ku interview viongozi kwa kuwabana mbavu ipasavyo? Tanzania hakuna true press.
watu masikini kama sisi inabidi tuienzi tunu ya aman.tujitofautishe na wanyama ambao hawana busara.
wamemuuliza kwanini polisi wanatumia risasi za moto?
:anamuuliza mtangazaji wewe unafurahia kumwagiwa maji ya kuwasha au mabomu?watu hawaheshimu madaraka,hawaheshimu sheria.tujenge tabia ya kuheshiana.sisi tunaanza kwa hatua.tunaanza na bendera nyekundu,tarumbeta then lisasi za mpira halafu mabomu ya machozi theni mabomu ya vishindo yenye kutikisa.je ungekuwa wewe asikali ungefanyaje? mia