Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,246
- 5,756
Nasema haya nikiwa huru kabisa kwamba sijawahi kuitakia mema taifa stars na hakika kama watashinda hata mechi moja katika kundi walilopo na Senegal, Kenya na Algeria nitaanza rasmi kuishabikia hii timu ya taifa LANGU.
Kwa kuangalia tu Uganda walitupa fursa kama Simba walivyoipa fursa CHURA FC aka frogs, aka ndala, aka bakuli fc.
Huyu Amunike kocha alipanga mabeki 9 na mshambuliaji mmoja kule lesotho sijui kule egypt ana mpango gani ila ajitahidi ashinde mechi moja tu ili nishabikie timu yangu kama enzi za MARCIO BARCELIO MAXIMO.
Kwa kuangalia tu Uganda walitupa fursa kama Simba walivyoipa fursa CHURA FC aka frogs, aka ndala, aka bakuli fc.
Huyu Amunike kocha alipanga mabeki 9 na mshambuliaji mmoja kule lesotho sijui kule egypt ana mpango gani ila ajitahidi ashinde mechi moja tu ili nishabikie timu yangu kama enzi za MARCIO BARCELIO MAXIMO.