Joel Johansen
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 242
- 319
Hivi majuzi kuna mwandishi huko Ulaya alipotosha dunia kuwa Mlima Kilimanjaro upo Kenya, TANAPA walipo mfuata akadai waende kwenye Media aliyoitumia kutolea habari hiyo ili wakanushe na sio kumfuata kienyeji.
Nilisoma uzi ule kwa uchungu mkuu (nadhani ilikuwa ni HuffPost News). Wengi walidai kuwa Tanzania ina viongozi ambao hawajali soko la Utalii.
Mchangiaji mmoja akasema, I quote "Kenyans, Tanzania don't care if you are dragged into our business or not, sisi kwetu #HapaKaziTu).
Mwingine ambaye ndio chanzo cha mimi kufungua uzi huu ni aliyedokeza kwamba kama tukifunga mpaka wa Namanga na ule wa Taveta-holili watalii wasiingie, hakika wakenya, watalii na wengi waliolishwa maneno kuwa Kilimanjaro ipo Kenya wataisoma namba na kujua kuwa kumbe kweli #Kili ni Tanzania na Tanzania ni #kili.
Nilisoma uzi ule kwa uchungu mkuu (nadhani ilikuwa ni HuffPost News). Wengi walidai kuwa Tanzania ina viongozi ambao hawajali soko la Utalii.
Mchangiaji mmoja akasema, I quote "Kenyans, Tanzania don't care if you are dragged into our business or not, sisi kwetu #HapaKaziTu).
Mwingine ambaye ndio chanzo cha mimi kufungua uzi huu ni aliyedokeza kwamba kama tukifunga mpaka wa Namanga na ule wa Taveta-holili watalii wasiingie, hakika wakenya, watalii na wengi waliolishwa maneno kuwa Kilimanjaro ipo Kenya wataisoma namba na kujua kuwa kumbe kweli #Kili ni Tanzania na Tanzania ni #kili.