YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
Jana nilikuwa pale Forodhani Zanzibar nikakutana na wazungu wakihoji taratibu za kutafuta hifadhi nchini kwani kwao kuna Corona hawataki kurudi walikuwa kama kumi hivi wakasema pesa za kuishi wanazo.
Na wameona Tanzania ndio mahali salama kwao na familia zao kuliko makwao.
Serikali ijipange kuna uwezekano mkubwa sana wa kuanza kupokea wakimbizi wa Corona wanaoikimbia corona Ulaya na Marekani kutafuta hifadhi Tanzania.
Shirika la wakimbizi nalo lijiandae kwa hili kutakuwa na new wave ya wakimbizi ambao hawakimbii vita bali ni wazima wa afya kwa vipimo vyote ila wanakimbia nchi zao Corona.
Na wameona Tanzania ndio mahali salama kwao na familia zao kuliko makwao.
Serikali ijipange kuna uwezekano mkubwa sana wa kuanza kupokea wakimbizi wa Corona wanaoikimbia corona Ulaya na Marekani kutafuta hifadhi Tanzania.
Shirika la wakimbizi nalo lijiandae kwa hili kutakuwa na new wave ya wakimbizi ambao hawakimbii vita bali ni wazima wa afya kwa vipimo vyote ila wanakimbia nchi zao Corona.