white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,314
- 13,278
Huyo idi amini tu, alikutoa jasho, hadi leo hii unasingizia uchumi haukui kutokana na vita ile!!! Yaaani unajiandaa tu, unajikuta huna hata zana moja, zote zishakuwa scraper!! Ndege zenyewe hizo za miaka ya 60!!!Iran, Korea Kaskazini wamemudu kuwadhibiti wamarekani
Nashauri tuunde umoja wa kushirikiana katika mambo mbalimbali
Pia jeshi letu like mkao wa kula kumnyuka mmarekanj endapo ataendelea kushambulia viongozi wa serikali