Mitaala iundwe kuiingiza elimu ya afya ya uzazi mapema kabisa na iwe inaendana na hali halisi.
Wazazi tujitahidi kuongea na binti zetu. Tuache mtindo wa kujifanya tunaona aibu. Social media zimejaa upuuzi na kusurf imekua rahisi kuliko miaka yetu ya nyuma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.