MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,517
- 1,367
JF,
Najiuliza- Tanzania Human Rights Commission mbona hatuwasikii? Vipi wamefulia au wanakula tu posho na pesa yetu bure? Ukiangalia Kenya Human Rights Commission they are so active na every day or two utawasikia wanatoa statemets kuwatetee wananchi!
Mimi hawa jamaa Tz sikuwahi kuwasikia hata kutoa statemets over;
1. Watanzania walikufa ktk mgodi wa Buhemba
2. Watanzania wanaopoteza maisha Tarime ktk mapigano ya koo!
3. Watanzania waliopoteza mali na mifugo yao kule Mbarali!
4. Wananchi waliopoteza masisha na na mali zao kwa mabomu kule Mbagala!
Sasa mimi najiuliza nini kazi ya Tanzania Human Rights Commission???
Nini viongozi wake wanafanya?
Au ndo kufulia huko taratibu??
Je huna haja kuendelea kulipwa pesa yetu ya kodi??
Najiuliza- Tanzania Human Rights Commission mbona hatuwasikii? Vipi wamefulia au wanakula tu posho na pesa yetu bure? Ukiangalia Kenya Human Rights Commission they are so active na every day or two utawasikia wanatoa statemets kuwatetee wananchi!
Mimi hawa jamaa Tz sikuwahi kuwasikia hata kutoa statemets over;
1. Watanzania walikufa ktk mgodi wa Buhemba
2. Watanzania wanaopoteza maisha Tarime ktk mapigano ya koo!
3. Watanzania waliopoteza mali na mifugo yao kule Mbarali!
4. Wananchi waliopoteza masisha na na mali zao kwa mabomu kule Mbagala!
Sasa mimi najiuliza nini kazi ya Tanzania Human Rights Commission???
Nini viongozi wake wanafanya?
Au ndo kufulia huko taratibu??
Je huna haja kuendelea kulipwa pesa yetu ya kodi??