Tanzania huenda ikatuchukua karne nzima kumpata Rais Samia mwingine

Kama Taifa hebu tutafakari haya:

1. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayeongeza kwa mkupuo wanafunzi wapya elfu 29 kwenye HESLB simnakumbuka mtangulizi wake yeye ilimchukua miaka mitano kufikisha wanafunzi wapya 32.

2. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayekusanya kodi kwa wastani wa TZS 17.2 Trilioni kwa mwezi bila ya kukimbiza wafanyabiashara wala kuwadhulumu chochote.

3. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine anayewahurumia na kuwarejesha shuleni watoto wa masikini waliopata mimba wakiwa shuleni kwa kurubuniwa kwa chips na bodaboda.

4. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayekuza uwekezaji wa nje FDIs mara sita zaidi kwa miezi sita tu yaani kutoka $510M hadi $3BL.

5. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine kwa miezi saba tu ataongeza hifadhi yetu ya fedha za kigeni kwa TZS 4.4Trilion yaani kutoka $4.8BL mwezi March hadi $6.7BL mwezi September 2021.

6. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayenunua ambulance 395 na magari 214 kwaajili ya chanjo wakati mtangulizi wake kwa miaka mitano alinunua ambulance 117 tu bila magari ya chanjo.

7. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayenunua CT SCAN kila mkoa mtakumbuka tangu uhuru zilikuwepo CT SCAN mbili tu bara na visiwani.

8. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayetununulia MRI kwenye kila hospitali ya kanda nchi nzima sina historia kama tulikuwa na MRI yeyote kabla ya hizi mpya za mama Samia.

9. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakaye nunua "Water drilling holes machines " 25 toka mashine moja ya Halmashauri ya Tarime tuliyokuwa nayo,Rais anakwenda kumaliza shida ya maji kwa vitendo.

10. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayetujengea madarasa elfu 15 ya sekondari na mengine elfu 3 ya shule shikizi, Sawa na wastani wa kila shule moja ya sekondari ya serikali madarasa mapya manne (4).

11. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayewapanga wamachinga wetu kwenye Permanent Premises ili watambulike na kupewa mikopo na huduma zingine za kibiashara kama Semina na mafunzo kirahisi badala ya kuwatumia kama mtaji wa kisiasa na kuwaacha wakiogelea kwenye umasikini mwaka wa Uchaguzi hata mwaka wa Uchaguzi.

12. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayefuta wasiojulikana na walevi wa madaraka na kuwafanya watu waishi kwa Uhuru na kujiamini ndani ya nchi yao na kulifungua Taifa kimataifa.

Nitaendelea na tafakuri yangu

Umeeleweka sana yote uliyoyaandika. Lakini watakuja waungwana wataponda wao wanataka rais awe mwanaume tu.

Hata akifanya maajabu na masuala kama ya kuua watu na kuwatupa Coco Beach ndani ya viroba kwao ni poa tu kisa ni wa jinsia ya kiume.

Hata akifanya roho mbaya ya kuwanyima watu malipo ambayo ni jasho lao stahiki ilimradi ni mwanaume basi anafaa kuliko kuongozwa na mwanamke.

Kuna watanzania wenye matatizo ya akili kwa maana ya kuamini katika ujinga wa mwanaume una afadhali kuliko haki anayoitoa mwanamke!.
 
Kama Taifa hebu tutafakari haya:

1. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayeongeza kwa mkupuo wanafunzi wapya elfu 29 kwenye HESLB simnakumbuka mtangulizi wake yeye ilimchukua miaka mitano kufikisha wanafunzi wapya 32.

2. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayekusanya kodi kwa wastani wa TZS 17.2 Trilioni kwa mwezi bila ya kukimbiza wafanyabiashara wala kuwadhulumu chochote.

3. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine anayewahurumia na kuwarejesha shuleni watoto wa masikini waliopata mimba wakiwa shuleni kwa kurubuniwa kwa chips na bodaboda.

4. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayekuza uwekezaji wa nje FDIs mara sita zaidi kwa miezi sita tu yaani kutoka $510M hadi $3BL.

5. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine kwa miezi saba tu ataongeza hifadhi yetu ya fedha za kigeni kwa TZS 4.4Trilion yaani kutoka $4.8BL mwezi March hadi $6.7BL mwezi September 2021.

6. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayenunua ambulance 395 na magari 214 kwaajili ya chanjo wakati mtangulizi wake kwa miaka mitano alinunua ambulance 117 tu bila magari ya chanjo.

7. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayenunua CT SCAN kila mkoa mtakumbuka tangu uhuru zilikuwepo CT SCAN mbili tu bara na visiwani.

8. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayetununulia MRI kwenye kila hospitali ya kanda nchi nzima sina historia kama tulikuwa na MRI yeyote kabla ya hizi mpya za mama Samia.

9. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakaye nunua "Water drilling holes machines " 25 toka mashine moja ya Halmashauri ya Tarime tuliyokuwa nayo,Rais anakwenda kumaliza shida ya maji kwa vitendo.

10. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayetujengea madarasa elfu 15 ya sekondari na mengine elfu 3 ya shule shikizi, Sawa na wastani wa kila shule moja ya sekondari ya serikali madarasa mapya manne (4).

11. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayewapanga wamachinga wetu kwenye Permanent Premises ili watambulike na kupewa mikopo na huduma zingine za kibiashara kama Semina na mafunzo kirahisi badala ya kuwatumia kama mtaji wa kisiasa na kuwaacha wakiogelea kwenye umasikini mwaka wa Uchaguzi hata mwaka wa Uchaguzi.

12. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayefuta wasiojulikana na walevi wa madaraka na kuwafanya watu waishi kwa Uhuru na kujiamini ndani ya nchi yao na kulifungua Taifa kimataifa.

Nitaendelea na tafakuri yangu

huyu huyu ndo sukari yetu, twamtaka tena na tena yakhe, aendelee mpaka 2045.
 
Wasaka tongeeeee, mna shida kweli kweli, yule mwingine mlim danganya mwisho wa siku corona ika mfyeka, haya huyu naye mnaanza kumuingiza cha kike
 
Nyinyi wachumia tumbo ndio mnatuharibia nchi hii,mnasifia mpaka yetu, OK mwambieni upande wa mfumuko wa bie amepata zero
 
Hawa chawa wasiokuwa na staha yoyote sijui wanaokotwa wapi.

Huyo Rais Samia aliyekuwepo kachukuliwa na nani; au na yeye kamfuata mtangulizi wake?

Hivi kweli watu kama huyu mleta mada hapa nao wanahesabika huko wanakotoka kwamba wapo mapambanoni kumpamba anayewalisha?

Unaleta mada kama hii hapa, unataka watu wajadili nini?

Niseme tu, ninakujibu hivi hapa kufuatana na kichwa cha mada yako. Kama kuna mambo umeyaandika huko chini siyajui mimi. Kwa kawaida huwa sisomi mada za kipuuzi kama ijionyeshavyo kwenye kichwa cha habari.
Kalamu1 jaribu kusoma upya ukichoandika hapa naona kuna contradictions. Unasema husomi na still unafanya argument na mada uliyoidharau.

Walioiponda mada wala hawa comment, kwa ku comment inadhihirisha umeisoma, umeelewa na umekuwa provoked.
 
Wewe ni mchafuzi usiyejua unaloongea. Nchi imerudi kuwa genge la wanyang'anyi. Waambie waliokutuma kwamba uliowakuta sio mandezi waliowafikiria.
 
Ujinga tu.hizo porojo mnapata wapi muda wakuziandika kwenye umaskini wote huu.
 
Kama Taifa hebu tutafakari haya:

1. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayeweza kuongeza kwa mkupuo wanafunzi wapya elfu 29 kwenye HESLB,Simnakumbuka mtangulizi wake yeye ilimchukua miaka mitano ili kufikisha wanafunzi wapya elfu 32 kwenye HESLB,

2. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayekusanya kodi kwa haki kwa wastani wa TZS 1.72 Trilioni kwa mwezi bila ya kukimbiza wafanyabiashara wala kuwadhulumu chochote!!?.

3. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayewahurumia na kuwarejesha shuleni watoto wa masikini waliopata mimba wakiwa shuleni kwa kurubuniwa kwa chips na mserereko?!!

4. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayekuza uwekezaji wa nje FDIs mara sita zaidi kwa miezi sita tu yaani kutoka $510M hadi $3BL!!?.

5. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine kwa miezi saba tu ataongeza hifadhi yetu ya fedha za kigeni kwa TZS 4.4Trilion yaani kutoka $4.8BL mwezi March hadi $6.7BL mwezi September 2021!!?.

6. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayenunua ambulance 395 na magari 214 kwa mkupuo kwaajili ya chanjo wakati mtangulizi wake kwa miaka mitano alinunua ambulance 117 tu bila magari ya chanjo.

7. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayenunua CT SCAN kwenye kila mkoa,Wote mnakumbuka tangu uhuru zilikuwepo CT SCAN mbili tu Tanzania bara na visiwani.!!?

8. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayetununulia MRI kwenye kila hospitali ya kanda nchi nzima sina historia kama tuliwahi kuwa na MRI Machine yeyote kabla ya hizi mpya za mama Samia Suluhu Hassan,

9. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakaye tununulia "Water drilling holes machines " 25 toka mashine moja ya Halmashauri ya Tarime tuliyokuwa nayo,Huyu ni Rais anayekwenda kumaliza shida ya maji kwa vitendo Tanzania.

10. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayetujengea madarasa elfu 15 ya Sekondari na mengine elfu 3 ya Shule za Msingi shikizi, Hii ni Sawa na wastani wa kila shule moja ya sekondari ya Serikali kujengewa madarasa mapya manne (4).

11. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayewapanga Wamachinga wetu kwenye Permanent Premises ili watambulike na kupewa mikopo na huduma nyingine mbalimbali za kibiashara kama Semina na mafunzo kirahisi badala ya kuwatumia kama mtaji wa kisiasa na kuwaacha wakiogelea kwenye Umasikini toka mwaka mmoja wa Uchaguzi na mwingine.

12. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayefuta wasiojulikana wote,walevi wa madaraka wote na kuwafanya watu waishi kwa Uhuru na kwakujiamini ndani ya nchi yao huku akilifungua Taifa kimataifa.

Nitaendelea na tafakuri yangu

Mkuu ushakula kitengo kaa pembeni chuma pesa hizo mengine acha kuropoka ropoka
 
Mkuu ushakula kitengo kaa pembeni chuma pesa hizo mengine acha kuropoka ropoka
Nimeropoka kipi mkuu wangu? Halafu kitengo nilichopewa na Mungu nikuisemea Tanzania kama hivi tu,
 
Kama Taifa hebu tutafakari haya:

1. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayeweza kuongeza kwa mkupuo wanafunzi wapya elfu 29 kwenye HESLB,Simnakumbuka mtangulizi wake yeye ilimchukua miaka mitano ili kufikisha wanafunzi wapya elfu 32 kwenye HESLB,

2. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayekusanya kodi kwa haki kwa wastani wa TZS 1.72 Trilioni kwa mwezi bila ya kukimbiza wafanyabiashara wala kuwadhulumu chochote!!?.

3. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayewahurumia na kuwarejesha shuleni watoto wa masikini waliopata mimba wakiwa shuleni kwa kurubuniwa kwa chips na mserereko?!!

4. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayekuza uwekezaji wa nje FDIs mara sita zaidi kwa miezi sita tu yaani kutoka $510M hadi $3BL!!?.

5. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine kwa miezi saba tu ataongeza hifadhi yetu ya fedha za kigeni kwa TZS 4.4Trilion yaani kutoka $4.8BL mwezi March hadi $6.7BL mwezi September 2021!!?.

6. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayenunua ambulance 395 na magari 214 kwa mkupuo kwaajili ya chanjo wakati mtangulizi wake kwa miaka mitano alinunua ambulance 117 tu bila magari ya chanjo.

7. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayenunua CT SCAN kwenye kila mkoa,Wote mnakumbuka tangu uhuru zilikuwepo CT SCAN mbili tu Tanzania bara na visiwani.!!?

8. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayetununulia MRI kwenye kila hospitali ya kanda nchi nzima sina historia kama tuliwahi kuwa na MRI Machine yeyote kabla ya hizi mpya za mama Samia Suluhu Hassan,

9. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakaye tununulia "Water drilling holes machines " 25 toka mashine moja ya Halmashauri ya Tarime tuliyokuwa nayo,Huyu ni Rais anayekwenda kumaliza shida ya maji kwa vitendo Tanzania.

10. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayetujengea madarasa elfu 15 ya Sekondari na mengine elfu 3 ya Shule za Msingi shikizi, Hii ni Sawa na wastani wa kila shule moja ya sekondari ya Serikali kujengewa madarasa mapya manne (4).

11. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayewapanga Wamachinga wetu kwenye Permanent Premises ili watambulike na kupewa mikopo na huduma nyingine mbalimbali za kibiashara kama Semina na mafunzo kirahisi badala ya kuwatumia kama mtaji wa kisiasa na kuwaacha wakiogelea kwenye Umasikini toka mwaka mmoja wa Uchaguzi na mwingine.

12. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayefuta wasiojulikana wote,walevi wa madaraka wote na kuwafanya watu waishi kwa Uhuru na kwakujiamini ndani ya nchi yao huku akilifungua Taifa kimataifa.

Nitaendelea na tafakuri yangu

Hizi ambulance zipo wapi au ndio tunasubiria
 
Kama Taifa hebu tutafakari haya:

1. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayeweza kuongeza kwa mkupuo wanafunzi wapya elfu 29 kwenye HESLB,Simnakumbuka mtangulizi wake yeye ilimchukua miaka mitano ili kufikisha wanafunzi wapya elfu 32 kwenye HESLB,

2. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayekusanya kodi kwa haki kwa wastani wa TZS 1.72 Trilioni kwa mwezi bila ya kukimbiza wafanyabiashara wala kuwadhulumu chochote!!?.

3. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayewahurumia na kuwarejesha shuleni watoto wa masikini waliopata mimba wakiwa shuleni kwa kurubuniwa kwa chips na mserereko?!!

4. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayekuza uwekezaji wa nje FDIs mara sita zaidi kwa miezi sita tu yaani kutoka $510M hadi $3BL!!?.

5. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine kwa miezi saba tu ataongeza hifadhi yetu ya fedha za kigeni kwa TZS 4.4Trilion yaani kutoka $4.8BL mwezi March hadi $6.7BL mwezi September 2021!!?.

6. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayenunua ambulance 395 na magari 214 kwa mkupuo kwaajili ya chanjo wakati mtangulizi wake kwa miaka mitano alinunua ambulance 117 tu bila magari ya chanjo.

7. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayenunua CT SCAN kwenye kila mkoa,Wote mnakumbuka tangu uhuru zilikuwepo CT SCAN mbili tu Tanzania bara na visiwani.!!?

8. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayetununulia MRI kwenye kila hospitali ya kanda nchi nzima sina historia kama tuliwahi kuwa na MRI Machine yeyote kabla ya hizi mpya za mama Samia Suluhu Hassan,

9. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakaye tununulia "Water drilling holes machines " 25 toka mashine moja ya Halmashauri ya Tarime tuliyokuwa nayo,Huyu ni Rais anayekwenda kumaliza shida ya maji kwa vitendo Tanzania.

10. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayetujengea madarasa elfu 15 ya Sekondari na mengine elfu 3 ya Shule za Msingi shikizi, Hii ni Sawa na wastani wa kila shule moja ya sekondari ya Serikali kujengewa madarasa mapya manne (4).

11. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayewapanga Wamachinga wetu kwenye Permanent Premises ili watambulike na kupewa mikopo na huduma nyingine mbalimbali za kibiashara kama Semina na mafunzo kirahisi badala ya kuwatumia kama mtaji wa kisiasa na kuwaacha wakiogelea kwenye Umasikini toka mwaka mmoja wa Uchaguzi na mwingine.

12. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayefuta wasiojulikana wote,walevi wa madaraka wote na kuwafanya watu waishi kwa Uhuru na kwakujiamini ndani ya nchi yao huku akilifungua Taifa kimataifa.

Nitaendelea na tafakuri yangu

Nimezunguka karibia Tanzania yote katika miezi 2 lakini hayo Madarasa sijui yanajengwa wapi?!!..kuna sehemu bado watoto wanatembea zaidi ya 5 kilometres kutafuta Elimu ya msingi na zaidi ya 20 kilometres kupata Elimu ya sekondary...
 
Hebu yataje hayo maeneo mkuu wangu
Kuna maeneo huduma ya Afya ni Tatizo tena kubwa sana!!..Hakuna wahudumu na kwenye wahudumu dawa hakuna!!..Kituo cha Afya cha Kata ukienda saa 7 mchana hakuna huduma hebu fikiria Mama mjamzito inakuaje hapo?!!..Hebu waza kitu cha Afya hakuna Dawa na ili upate Dawa unapanda pikipiki 2000 au zaidi wakati unaenda kununua Dawa ya 3500!!..
 
Kama Taifa hebu tutafakari haya:

1. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayeweza kuongeza kwa mkupuo wanafunzi wapya elfu 29 kwenye HESLB,Simnakumbuka mtangulizi wake yeye ilimchukua miaka mitano ili kufikisha wanafunzi wapya elfu 32 kwenye HESLB,

2. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayekusanya kodi kwa haki kwa wastani wa TZS 1.72 Trilioni kwa mwezi bila ya kukimbiza wafanyabiashara wala kuwadhulumu chochote!!?.

3. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayewahurumia na kuwarejesha shuleni watoto wa masikini waliopata mimba wakiwa shuleni kwa kurubuniwa kwa chips na mserereko?!!

4. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayekuza uwekezaji wa nje FDIs mara sita zaidi kwa miezi sita tu yaani kutoka $510M hadi $3BL!!?.

5. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine kwa miezi saba tu ataongeza hifadhi yetu ya fedha za kigeni kwa TZS 4.4Trilion yaani kutoka $4.8BL mwezi March hadi $6.7BL mwezi September 2021!!?.

6. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayenunua ambulance 395 na magari 214 kwa mkupuo kwaajili ya chanjo wakati mtangulizi wake kwa miaka mitano alinunua ambulance 117 tu bila magari ya chanjo.

7. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayenunua CT SCAN kwenye kila mkoa,Wote mnakumbuka tangu uhuru zilikuwepo CT SCAN mbili tu Tanzania bara na visiwani.!!?

8. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayetununulia MRI kwenye kila hospitali ya kanda nchi nzima sina historia kama tuliwahi kuwa na MRI Machine yeyote kabla ya hizi mpya za mama Samia Suluhu Hassan,

9. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakaye tununulia "Water drilling holes machines " 25 toka mashine moja ya Halmashauri ya Tarime tuliyokuwa nayo,Huyu ni Rais anayekwenda kumaliza shida ya maji kwa vitendo Tanzania.

10. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayetujengea madarasa elfu 15 ya Sekondari na mengine elfu 3 ya Shule za Msingi shikizi, Hii ni Sawa na wastani wa kila shule moja ya sekondari ya Serikali kujengewa madarasa mapya manne (4).

11. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayewapanga Wamachinga wetu kwenye Permanent Premises ili watambulike na kupewa mikopo na huduma nyingine mbalimbali za kibiashara kama Semina na mafunzo kirahisi badala ya kuwatumia kama mtaji wa kisiasa na kuwaacha wakiogelea kwenye Umasikini toka mwaka mmoja wa Uchaguzi na mwingine.

12. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayefuta wasiojulikana wote,walevi wa madaraka wote na kuwafanya watu waishi kwa Uhuru na kwakujiamini ndani ya nchi yao huku akilifungua Taifa kimataifa.

Nitaendelea na tafakuri yangu

Hopeless
 
Hebu yataje hayo maeneo mkuu wangu
Serikali ilikosea kuhodhi kila kitu!!!...Kwa Mfano nimeenda kijiji flani huko Kilimanjaro shule zote na vituo vya Afya vilijengwa na wamissionary na Serikali imevichukua lakini ndio vimeishia hapoa!!..Hakuna mwendelezo shule na vitu vya Afya vya tokea miaka ya 70 ndio hivyo hivyo
 

Similar Discussions

41 Reactions
Reply
Back
Top Bottom