mchagger
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 861
- 1,049
Ule mzigo anaepupiga anafaidi sanaA.K.A Raisi wa vyura Tanzania
Ule mzigo anaepupiga anafaidi sanaA.K.A Raisi wa vyura Tanzania
Ule mzigo anaepupiga anafaidi sana
Pale unapopiga nyeto round ya kwanza umemaliza. ghafla mama mwenye nyumba unamskia dirishani.. "si uoe tuu we mtoto utakujaga kutubaka bure! "
Aliitwa bungeni huyuu wewe na madegree yako hayana maana mbele ya takoo Tz hii nchi bhanaa.. Hapo wakubwa hasaa wanakulaaa tena usikute bashite
Aliitwa bungeni huyuu wewe na madegree yako hayana maana mbele ya takoo Tz hii nchi bhanaa.. Hapo wakubwa hasaa wanakulaaa tena usikute bashite
Kweli aliingia bungeniKama video vixen ambae analiwa na mkubwa flaniiiMkuu hayo unayoyazungumza ni ya kweli au?
Huyu hapaaMkuu hayo unayoyazungumza ni ya kweli au?
Huyu hapaaView attachment 1236219
.Hello guys
Nimeshangaa kuona Posh Queen anakuwa interviewed na Diva the Bawse wa Clouds. who is she? Ana kipaji gani?
Achievements zake kubwa za kuishangaza Tanzania ni zipi? Au umaarufu wake umekuja kisa ana hips na makalio makubwa?
Kama ni hips na ukubwa wa makalio mbona wadada wengi wa mjini wana makalio makubwa na mazuri kuliko ya Poshy? Hivi makalio yake yana nini?
Yani makalio makubwa yana umuhimu kiasi hicho hapa Tanzania mpaka umu-interview MTU kwenye Media House kubwa hapa Tanzania kisa anayo makalio makubwa? Kweli mwisho wa dunia umefika.
Halafu nina mashaka kuwa Posh Queen anatoa tigo, coz kutwa anayaonesha na kuyatingisha makalio yake kwenye mitandao ya kijamii.
We umemuona jackline silemu wa ITV? Ukimuona huyo manzi nakuhakikishia utafuta comment yako.Ndo hivyo media zetu utashi wake umeishia hapo! Hayo huwezi kuyakuta Radio one stereo/itv
Very true, hawa wako professional Zaidi.Ndo hivyo media zetu utashi wake umeishia hapo! Hayo huwezi kuyakuta Radio one stereo/itv
Hahahaazama zetu hizi mashoga na malaya ndio wenye nafasi kwenye jamii, jamii inataka kuwasikilza zaidi hao.