Tanzania hatupo salama, Maadui wamepenya hadi Ikulu

Leo nilipokuwa uwanjani kumuaga hayati Mhe. Dk. J.P.M kuna msista alikuwa kakaa mbele yangu sasa akawa anachati na kiswaswadu chake namba kaisevu Mr. ...

Sasa Kila kitu kinachoendelea mule uwanjani yule msista anamuuliza huyo jamaa..mfano Helicopter ikawa inazunguka uwanja akamuuliza inafanya nini? yule Mr. ... anafu guka anaelezea kila kitu cha kiusalama, yule dada anamuuliza jamaa.

SASA Nikaprove huyo Mr ni usalama maana kuna sms alimtumia msista analalamika "Dah dear nimechoka ila inabidi niondoke kesho maana jina langu limetoka kwa wanaoenda kuhakikisha usalama chato"

Keep in mind huyu msista alikuwa anachati anajiona anaficha simu wakati mimi Reddington niko ngazi tatu juu yake.

Funzo: Usalama wa siku hizi watoto, hawajaiva.
Kabisa kudadek
 
Kweli kabisa, inaonekana kuna moles Ikulu wanao vujisha siri za Serikali kwa media na watu ambao hawa husiki.

Nakumbuka vizuri kwenye miaka ya 70s Mwalimu Nyerere alifanya mageuzi makubwa kwenye taasisi ya usalama wa Taifa kwa kuwatimua kazi ghafla maafisa wengi wa usalama wa Taifa na ku-recruite wengine wapya - mjomba wangu alikuwa mmoja wa victim wa zoezi hilo, nilimkuta nyumbani kama mtu aliye nyeshewa mvua ya mawe - hakuamini kilicho msibu.

Sasa na Rais Suluhu Hassan kuna umuhimu wa kuifanyia reshuffle kubwa taasisi hii nyeti na kuijenga upya kwa maslahi mapana ya Taifa letu.
Story zaidi ongeza nyama
 
Siku hizi wao ni kupangishia wanawake / watoto wa vyuo nyumba, kuwanunulia magari na kuwabwagia siri zote za kitengo. Watoto wa chuo nao wanawaambia mashosti zao. Basi raha tu. Taarifa zinapenya kiulainii.. wamekaa kuzurura beach kidimbwi kutafuta dogodogo. Wengine busy instagram kupost picha zao na kusaka mademu. Haki ya Mungu tumefika pahala pa hovyo sana.
Naenda beach kidimbwi mwaka huu wote nikikosa deal ya. Kujiunga au KUPEWA mchongo wa Kuingia TISS NAKUUA
 
Recrutment ni mchakato utakaochukua muda mrefu sana, assuming your argument is correct. It's impossible (not that it is diffucult but IMPOSSIBLE, because a difficult thing is a possibe thing) kuwatoa hata nusu yao tu achilia mbali wote, kwa mkupuo halafu ukaweka wengine. That way might completely paralyse the system na utakuwa hauna unachokifanya. Unachosema wewe ni mchakato ambao unaweza ukachukua si chini ya miaka 10, yaani awamu zote mbili za utawla wa mama. But at the moment to begin with, waanze kwanza na hiyo technology. After all, swala la loyalty si ni maridhiano tu ya subordinates na superiors wao? Yanaweza yakafanyika maridhiano ndani ya muda huo na pengine yakasolve tatizo bila hata kubadiilisha watu. Ni swala tu la kutafuta na kuweza kuona huo ukosefu wa loyalty unatokana na nini, na ni swala ambao ni wao wenyewe wanaweza wakaulizwa katika utaratibu unaokubalika na wakasema.

Hata hivyo mimi nahisi tatizo kubwa linaweza kuwa ni infiltration, kunaweza kukawa na outsiders wengi sana ndani ya system. Hili ndiyo linaweza kuwa ni chanzo kikubwa kinachoweza kuwafanya hawa watu waonekane kama siyo loyal. Kwa upande wangu mimi kama raia tu wa kawaida, bado nawaamini sana hawa watu, pamoja na mapungufu yao hayo ambayo huwa yanasemwa mara kwa mara. Bado wanafanya kazi nzuri sana na ninawaombea Mungu azidi kuwabariki sana

However, approach yako iko sahihi tu kwa system ambayo ndiyo inaanza from the scrach, na siyo ile iliyopo siku zote ila inahitaji marekebisho ya hapa na pale

By the way, umemsoma pia huyu bwana Wo shi niubi kwenye bandiko lake hili #438
Tatizo linaonekana kuota sugu maana toka awamu ya tatu tunasikia lawama za inefficiency kwa taasisi. Total overhaul is the best option that could largely mitigate the risk. Why not take good brains from JWTZ, Magereza, uhamiaji na polisi.Wapo wengi tu tena utibu tatizo once n for good.
 
Top layer ya state house inaondoka ndani ya mwezi bado unaona shwari tuu kwamba everything is just fine.
That's why a total overhaul is inevitable. We need to forgo some benefits of the current.......in order to hedge this high risk exposure. Haikuji kabisa wajemeni
 
Kutokana kifo cha JPM, leo nilipata muda wa kutafakari mambo kadhaa.

Tafakuri yangu imenipa jibu kwamba Tanzania tumevamiwa na maadui kila kona.

Kitendo cha taarifa nyeti za Ikulu kuvuja mitaaani kabla ya taarifa rasmi maana yake kwamba kuna mamluki wengi wamejaza Ikulu. Picha ya jeneza la JPM ilianza kusambaa kabla ya taarifa rasmi ya kifo, hii ni hatari sana.

Sasa hivi imekuwa kawaida sana taarifa za siri ndani ya serikali kuonekana mtaani. TISS wa siku hizi kazi yao kuvaa suti nyeusi na miwani kama wachomelea mageti lakini wengi wao wanakiuka viapo vyao.

Zamani mtu wa TISS kumtambua ilikuwa ngumu, ila siku hizi hadi wanajitambulisha wenyewe mitaaani hii ni hatari. Ushauri wangu ili Mama Samia afanye kazi vizuri, ni vema Ikulu isafishwe, maafisa wale wa zamani wote waondolewe. Kuanzia macamera man hadi walinzi wa getini otherwise mama atafanya kazi kwa presha sana.

I need a glass of wine maana dah
 
TISS imeingiliwa na wana siasa. haswa chama tawala. ukishakuwa kada wanakusukumizia huko.. hawajali kuhusu qualifications.

zamani TISS walikuwa wana recruit smart peoples tu. na kazi za weledi zilionekana.
lakin sasa hivi makada ndio usalama..nmatokeo yake tunapata watumishi wasio na weledi.

na huu ni mwanzo.tu.
Tambueni ya kwamba utulivu ktk kazi na weredi ni hulka ya mtu na maswala ya watu kua makada,ungesema kizazi kinaenda kinabadilika tabia na kupoteza uzalendo nitakuelewa
 
Kigogo anakwambia Fulani kesho anatumbuliwa na kwl anatumbuliwa,anapata wapi taarifa? Kuna matobo yanapitisha hewa kwenye hii gari sio bure...ni hatari kwl mkuu...
 
Watanzania bwana, 1984 walisema Sokoine aliwawa na mtu fulani alijulikana kwa RK. Mfupi hivi,,,,,,,,,,
 
Habari JF,

Wote sisi ni mashahidi katika awamu iliyopita watu wengi waliibuka na kujizolea umaarufu pasipo kuwa na umashuhuri wowote zaidi ya kuvujisha siri za serikali katika mitandao ya kijamii.

Kuna watu walijizolea followers huko Twitter na Instagram kwa kuwa wakwanza kuhabarisha umma kwamba siku fulani rais atafanya nini, nani atatumbuliwa na kweli waliyokuwa wanayatabiri yalikuwa yanatimia kwa rais na viongozi kufanya vivyo hivyo kama taarifa zilivyokuwa zinatolewa na watu hao wanaojiita wanaharakati wa mitandaoni.

Sasa tangu Rais Samia Suluhu akalie kiti cha urais mambo yote sasa yamebadilika na imebaki kitu Inaitwa BREAKING NEWS tu ikiwa na maana yake halisi.

Wanavujisha siri za serkali wamebaki wapiga ramli kama waganga wa kienyeji, utasikia wanajisemesha maRC maDC MARAS mDAS mjiandae leo au kesho 😂😂😁😂

Eti PDF ni ndefu kidogo. Awamu iliyopita watu walikuwa wanapata mpaka hotuba aliyoandaliwa rais siku mbili kabla.

Yote hayo kwa sasa hawawezi kuyapata, Mheshimiwa Rais amedhibiti sekta hii wanaojiita wanaharakati wanaishia kutapatapa.

Kudos Rais Samia Suluhu.
 
Back
Top Bottom