Tanzania hatuna wanunuzi wala wafanyabiashara wa korosho bali tuna Madalali wa zao la korosho!

Huo ndio ukweli, wale wanaojiita wafanyabiashara wa korosho pamoja na kile chama chao ni kakikundi tu ka madalali.
Nawahakikishia madalali hawa wanaenda kuaibika soon kwani hii hatua aliyochukua Rais Magufuli inaenda kuleta tija kwa Wakulima na taifa kwa ujumla. Korosho inapelekwa sokoni moja kwa moja na mkulima mwenyewe ( via serikali) itakosaje profit margin nzuri?!
Hao madalali kwa kutikisa kibiriti walijisahau kuwa njiti zimejaa.
Kila la kheri serikali yetu!
Hatua zimeshachukuliwa, kelele za nini? Bei ya sukari tushazoea, hata yatakatokea kwenye hili tutazoea. Cha muhimu kumuomba Mungu
 
Mmegairi kununua sasa,,
Huo ndio ukweli, wale wanaojiita wafanyabiashara wa korosho pamoja na kile chama chao ni kakikundi tu ka madalali.
Nawahakikishia madalali hawa wanaenda kuaibika soon kwani hii hatua aliyochukua Rais Magufuli inaenda kuleta tija kwa Wakulima na taifa kwa ujumla. Korosho inapelekwa sokoni moja kwa moja na mkulima mwenyewe ( via serikali) itakosaje profit margin nzuri?!
Hao madalali kwa kutikisa kibiriti walijisahau kuwa njiti zimejaa.
Kila la kheri serikali yetu!
 
Back
Top Bottom