Tanzania hatuna shehena za Ammonium Nitrates?

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,289
12,581
Moja ya matumizi ya kemikali ya Ammonium Nitrate Ni kutengenezea mbolea za viwandani zenye Urea na Nitrate ambazo zinatumiwa na wakulima wetu nchini pia. Kemikali hii tumika kwenye maabara zetu mbalimbali hata mashuleni na vyuoni.

Ammonium Nitrate Ni explode (lipuka) Kama ikikutana na joto Kali ilipohifadhiwa

Kutokana na kilichotokea Lebanon itukumbushe na Mimi kukagua hifadhi zetu ili tujifunze kutokana na makosa ya wengine.

Wahusika nadhani mmenielewa, kwani serikali ya Lebanon imejiuzulu bila kutaka kutokana na uzembe katika kuihifadhi hii kemikali.
 
Una taka kulipua ? Au unaulizia in case ujiandae ?

Zaman tanga kulikuwepo na kowanda cha mbolea enwo moja iv lakuitwa raskazone bombo area
Kama Kuna majimeli yenye mabaki ya hiyo dawa wakaondoe haraka kabla ..
 
Yah Mkuu uko right, Sababu usipoziba Ufa utajenga Ukuta. Hiyo kitu Ammonium Nitrates kama iko karibu basi iwe sehemu salama.
 
Ajali yeyote ni uzembe ndyo maana serikali ya Lebanon haikiwa na budi kujiuzulu.

Hata hivyo serikali ya bongo au nchi za africa kujiuzulu mhh! mbinde sana!

Kinga ni bora kuliko tiba naimani ushauri wako wameshaufanyia kazi kabla ya wewe kuleta bandiko
 
Zipo, tena Kuna Maghala yana mzigo wa kutosha tu......

Nimeshawahi kuzifanyia kazi, sema maeneo tulokua tunaitumia Ilikua inahifadhiwa kwa kufuata Taratibu zote za Kiusalama, hasa kutenganisha Ammonium na Vifaa vyenye Milipuko.
 
Ipo.... Nenda pale karibu na bandarini utakuta warehouse kubwa sana ya kampuni ya mbolea ya Yara.. Walitumia bilioni 20 kuijenga.. Nenda Minjingu ukakutane na kiwanda kikubwa cha mbolea!
 
Moja ya matumizi ya kemikali ya Ammonium Nitrate Ni kutengenezea mbolea za viwandani zenye Urea na Nitrate ambazo zinatumiwa na wakulima wetu nchini pia. Kemikali hii tumika kwenye maabara zetu mbalimbali hata mashuleni na vyuoni.

Ammonium Nitrate Ni explode (lipuka) Kama ikikutana na joto Kali ilipohifadhiwa

Kutokana na kilichotokea Lebanon itukumbushe na Mimi kukagua hifadhi zetu ili tujifunze kutokana na makosa ya wengine.

Wahusika nadhani mmenielewa, kwani serikali ya Lebanon imejiuzulu bila kutaka kutokana na uzembe katika kuihifadhi hii kemikali.
Ndiyo maana nasema japo Bongo ina watu wazembe wengi lakini bado kuna wachache wenye kuona mbali. Asante sana kwa kuanzisha huu mjadala.
 
Yale mabomu ya mbagala na gongo la mboto Kama yangetokea huko majuu Hali ingekuwa tofauti kwa waliohusika
 
Back
Top Bottom