Tanzania hata kama tungekuwa na dhahabu kila mtaa bado umaskini ungekuwepo

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,480
35,363
Habari za asubuhi waungwana!
Nimeamka salama nimekutana na habari moja ya ugunduzi wa madini katika Kijiji fulani huko Mtwara a.k.a Ntwala.
Nikajisemea moyoni kuwa bado hayataleta impact kwa taifa ingawa wananchi wachache watanufaika kwa kupata vibarua huko.
Nimebahatika kufanya kazi kwenye mgodi mkubwa zaidi wa dhahabu Tanzania, nimebahatika kufanya kazi kwenye hifadhi kubwa zaidi Tanzania, na nimebahatika kupita kwenye rasilimali kadhaa Tanzania. Hakika ni utajiri juu ya utajiri.
Hatuhitaji kugundua aina mpya ya madini, hatuhitaji kugundua rasilimali zingine kwa sasa.
Tuna hifadhi za wanyama lukuki
Tuna mito lukuki
Tuna maziwa lukuki
Tuna gesi nyingi
Tuna madini lukuki
Tuna fukwe za mahari kutoka kaskazini mpaka kusini mwa nchi.
Tuna ardhi inayosapoti karibu aina zote za mazao( Tanzania ina mikoa yenye uoto tofauti).
Tuna anga salama na kubwa
Je, kama hivi vyote vimeshindwa kuuondoa umaskini miongoni mwa Watanzania unadhani kuna haja ya ugunduzi wa rasilimali zingine?
Jibu ni hapana.
Tanzania hata tukiwa na dhahabu au almasi kila mtaa bado umaskini utaendelea.
 
Kuna siku nulikua napitia psychopia nikaona kuwa duniani kuna Ten great lakes zenye fresh water(maji yasiyo na chumvi) nikaona tatu zipo East Africa,tena Tanzania !!! Kiukweli nililia !!!
Kiukweli ukiangalia maisha ya watu wa baadhu ya maeneo hasa wilaya ya magu ni ukame wa hatari!??
 
Habari za asubuhi waungwana!
Nimeamka salama nimekutana na habari moja ya ugunduzi wa madini katika Kijiji fulani huko Mtwara a.k.a Ntwala.
Nikajisemea moyoni kuwa bado hayataleta impact kwa taifa ingawa wananchi wachache watanufaika kwa kupata vibarua huko.
Nimebahatika kufanya kazi kwenye mgodi mkubwa zaidi wa dhahabu Tanzania, nimebahatika kufanya kazi kwenye hifadhi kubwa zaidi Tanzania, na nimebahatika kupita kwenye rasilimali kadhaa Tanzania. Hakika ni utajiri juu ya utajiri.
Hatuhitaji kugundua aina mpya ya madini, hatuhitaji kugundua rasilimali zingine kwa sasa.
Tuna hifadhi za wanyama lukuki
Tuna mito lukuki
Tuna maziwa lukuki
Tuna gesi nyingi
Tuna madini lukuki
Tuna fukwe za mahari kutoka kaskazini mpaka kusini mwa nchi.
Tuna ardhi inayosapoti karibu aina zote za mazao( Tanzania ina mikoa yenye uoto tofauti).
Tuna anga salama na kubwa
Je, kama hivi vyote vimeshindwa kuuondoa umaskini miongoni mwa Watanzania unadhani kuna haja ya ugunduzi wa rasilimali zingine?
Jibu ni hapana.
Tanzania hata tukiwa na dhahabu au almasi kila mtaa bado umaskini utaendelea.
hata IFM wakutupa fuko lote la pesa bado mtanzania atakunywa maji yasiyo salama.
 
Kuna siku nulikua napitia psychopia nikaona kuwa duniani kuna Ten great lakes zenye fresh water(maji yasiyo na chumvi) nikaona tatu zipo East Africa,tena Tanzania !!! Kiukweli nililia !!!
Kiukweli ukiangalia maisha ya watu wa baadhu ya maeneo hasa wilaya ya magu ni ukame wa hatari!??
Inasikitisha zaidi matrillion yanatumika kujenga reli ya kisasa ya umeme inayokatiza katikati ya watu ambao hawana maji safi na salama na wanajisaidia maporini.
 
Habari za asubuhi waungwana!
Nimeamka salama nimekutana na habari moja ya ugunduzi wa madini katika Kijiji fulani huko Mtwara a.k.a Ntwala.
Nikajisemea moyoni kuwa bado hayataleta impact kwa taifa ingawa wananchi wachache watanufaika kwa kupata vibarua huko.
Nimebahatika kufanya kazi kwenye mgodi mkubwa zaidi wa dhahabu Tanzania, nimebahatika kufanya kazi kwenye hifadhi kubwa zaidi Tanzania, na nimebahatika kupita kwenye rasilimali kadhaa Tanzania. Hakika ni utajiri juu ya utajiri.
Hatuhitaji kugundua aina mpya ya madini, hatuhitaji kugundua rasilimali zingine kwa sasa.
Tuna hifadhi za wanyama lukuki
Tuna mito lukuki
Tuna maziwa lukuki
Tuna gesi nyingi
Tuna madini lukuki
Tuna fukwe za mahari kutoka kaskazini mpaka kusini mwa nchi.
Tuna ardhi inayosapoti karibu aina zote za mazao( Tanzania ina mikoa yenye uoto tofauti).
Tuna anga salama na kubwa
Je, kama hivi vyote vimeshindwa kuuondoa umaskini miongoni mwa Watanzania unadhani kuna haja ya ugunduzi wa rasilimali zingine?
Jibu ni hapana.
Tanzania hata tukiwa na dhahabu au almasi kila mtaa bado umaskini utaendelea.
Hakika, sijui tunafeli wapi sisi wabongo
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom