Tanzania has started to build its own helicopters

Mkuu ni kweli wamegundua Chopa????????? Nauliza tu
Hakuna ugunduzi wa chopa unaoweza kufanywa ndani ya miezi miwili kama ilivyoandikwa. Tusijidanganye na theory tulizokariri madarasani, ukiacha ugunduzi wa wazungu, wengine wote kama Japan, China, Afrika Kusini nk wamekuwa wakijifunza na kumodify teknolojia ya wazungu.

Nauliza, Chuo kinayo chopa ya mafunzo ili kujua/kujifunza walao katika hali halisi kwamba chopa ina vitu gani ndani na inafanyaje kazi? Adisai Msongole ni Mhasibu, ugunduzi ni kitu kinachotaka ubobezi, sasa huyu mhasibu alibobea lini kwenye teknolojia ya kutengeneza chopa na kugundua aina mpya ya chopa, au ugunduzi huu ni wa aina gani?

Tuchukulie kwamba ni kweli, chuo kitafanya mass production ya chopa hiyo au tunafanya just for funny?. Ikiwa inafanywa for the sake of humor, ni nini uhalali wa rasilimali zote zitakazokuwa zimetumika?

Wasomi, wanasayansi na wanateknolojia huwa wanahangaika na ugunduzi wa vitu vitakavyotatua matatizo yanayoikabili jamii inayowazunguka. Hivi, tatizo linaloikabili jamii ya watanzania katika kuendesha maisha yao ya kila siku ni kukosekana kwa usafiri wa chopa? .....
 
TANZANIA has started to build its own helicopters in a project that will see the first batch of such choppers taking into the sky sometimes in 2018.
54d107ab3314b1f7a831fa7e509dd847.jpg


Already, the prototype model, a two-seater aircraft is in its final stages of completion at the Mechanical and Engineering Department of the Arusha Technical College, which runs a fully-fledged factory producing various forms of machinery, including a prototype motor vehicle and a number of industrial engines.

But it is the Tanzanian-made new helicopter that seems to be turning heads here; “We are complementing President Magufuli’s industrialisation policy in pioneering the first locally made helicopters that will be available to ordinary residents at affordable prices,” explained the man behind the ATC chopper project, Engineer Abdi Mjema.

The Permanent Secretary in the Ministry of Education, Science and Technology, Ms Maimuna Tarishi, who also toured the project over the weekend seemed surprised at the development and wanted to know when exactly the chopper will hit the skies.

“We are contacting the Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) for the permission to fly the chopper for trials,” said Engineer Mjema.

He assured the PS that the future of the ‘affordable,’ chopper -- to ease the country’s transport woes -- is approaching. “The Tanzania-made helicopters will fly before 2020 -- and specifically 2018, which is two years from now,” he added.

The idea was hatched two months ago by two engineers at the Arusha Technical College; Engineer Adisai Msongole, now serving as the ATC Bursar, and Engineer Abdi Mjema. The chassis as well as airframe for the pioneer chopper is ready -- complete with a mounted flat engine.

“We had initially intended the two-seater helicopter to be used for surveillance, rescue and agricultural purposes. However, as the project takes shape, we may increase the airframes to carry more people for serious transportation,” said the engineer.

The helicopter is currently 50 per cent complete and features the popular gasolinepowered VW flat engine on board. The motors, manufactured by Volkswagen in Germany, are the same used to make the ‘Robinson’ helicopters in the United States. “Once we get the aviation authority approval, we shall complete the most sensitive part of the helicopter -- mounting the main rotor.

This should be ready in threeweek’s time,” said Eng Mjema, adding that Arusha will set history as the first region to fly the first-ever Tanzanian manufactured helicopter in July 2016. With a non-pressurised cabin, the Prototype ATC helicopter has a flying ceiling of 400 feet for starters, taking into consideration that Arusha is already at a higher altitude.

But the flying height is set to increase with more complete and accomplished models. Most commercial choppers can fly up to 8,000 feet above sea level. On how many choppers the college can manufacture in a year once the project gets a nod from higher authorities, Eng Mjema said that depended on demand.

“But with serious work we can roll out up to 20 such helicopters in a year,” boasted the engineer.

The Rector of Arusha Technical College, Dr Richard Masika, had previously stated that, ATC was moving from being an ordinary college of technical, engineering and technological training towards becoming a fully-fledged factory, which will deal in vehicle and heavy machinery repair and manufacturing.

Next August ATC will be completing the first phase of Kikuletwa Hydropower Station Project and training centre setup, through which the college is going to churn electricity and hold training at the site based in Kilimanjaro Region.

Source: Choppers - Made in Tanzania
Helkopta prototype yenyewe hii hapa.
1467395436402.jpg
 
Helkopta prototype yenyewe hii hapa.
View attachment 362014
Sikatai, tuendelee na maigizo tu, wakati utasema wenyewe. Watu wanachukua faida ya watanzania kuwa wasahaulifu tu, maana inajulikana kwamba ikifika mwaka huo wa 2018 ambao ndio wa majaribio ya kurusha chopa hiyo wengine watakuwa hawapo na wengine watakuwa wamesahau.

Tukumbushane kuhusu shamba la Oljoro ambalo miaka mitano iliyopita Waziri aliahidiwa kama angerudi baada ya miaka mitatu angekuta shamba likiwa kijani tupu, leo imekuwaje? Licha ya kupata misaada mbalimbali ikiwemo ya shirika la misaada la Uingereza (DIDF) kiasi cha milioni 300,000,000/=, fedha hiyo inasadikika kuishia mifukoni mwa wajanja wachache, na hatima ya mafunzo kwa vitendo kwa ajili ya wanafunzi wa fani ya ujenzi na umwagiliaji kwenye shamba hilo imebaki kwenye kiza kinene.

Hivyo, si dhambi kusema, kinachodaiwa kuwa ugunduzi wa chopa ni wimbo wa kusindikiza wakati tu
 
Ninaogopa kusikia kuwa uvumbuzi wa chopper unachukua muda mfupi kama vile kutengeneza toy. RIP watakaotest hizo chopper
 
Sikatai, tuendelee na maigizo tu, wakati utasema wenyewe. Watu wanachukua faida ya watanzania kuwa wasahaulifu tu, maana inajulikana kwamba ikifika mwaka huo wa 2018 ambao ndio wa majaribio ya kurusha chopa hiyo wengine watakuwa hawapo na wengine watakuwa wamesahau.

Tukumbushane kuhusu shamba la Oljoro ambalo miaka mitano iliyopita Waziri aliahidiwa kama angerudi baada ya miaka mitatu angekuta shamba likiwa kijani tupu, leo imekuwaje? Licha ya kupata misaada mbalimbali ikiwemo ya shirika la misaada la Uingereza (DIDF) kiasi cha milioni 300,000,000/=, fedha hiyo inasadikika kuishia mifukoni mwa wajanja wachache, na hatima ya mafunzo kwa vitendo kwa ajili ya wanafunzi wa fani ya ujenzi na umwagiliaji kwenye shamba hilo imebaki kwenye kiza kinene.

Hivyo, si dhambi kusema, kinachodaiwa kuwa

ugunduzi wa chopa ni wimbo wa kusindikiza wakati tu

DIDF.jpg


District Irrigation Development Fund (DIDF) inadhaminiwa na Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Japani (JICA) na sio shirika la misaada la Uingereza. kwanza Uingereza haina shirika la Misaada sijui wewe umelipata wapi ?....... upo bize na upotosha umma.
7640_10153996847952487_1296214619587581403_n.jpg
Hivi ile kesi yenu kwenye Tume ya usuluhishi na Uamuzi (CMA) inaendeleaje ?
 
Shirika la misaada la Uingereza lipo na linafahamika kama Department for International Development (DFID). Kuna error, badala ya DFID niliandika DIDF

Kesi za CMA unazozungumzia hazinihusu, mimi siyo msemaji wa hao wenye kesi, pengine ungewatafuta wahusika ukawauliza. Sikumbuki kama kuna mahali popote kwenye michango yangu kwenye jamvi hili nimeandika huhusu kesi au neno CMA. Nimeandika kuhusu Bodi inayolalamikiwa ambavyo inayolea ufisadi, matumizi mabaya ya ofisi na kufumbia macho malalamiko ya wafanyakazi kuhusu mishahara.

Tumedanganywa sana mpaka tumechoka na kwa kuwa Uongozi hausikii njia pekee ni kuambia umma ufahamu ni nini kipo Chuo cha ufundi Arusha. Huo uchafuzi au upotoshaji unaousemea hapo uko wapi? Kusema kuna ufisadi unaofanywa na wajanja wachache ni upotoshaji? Kama kusema ukweli ni upotoshaji acha umma ujue hivyo kuwa ufisadi ni upotoshaji kwa tafsiri yako.

Badala ya kutafuta fedha za kulipa mishahara ya wafanyakazi mliyokula, badala ya kulipa stahili za wafanyakazi, na badala ya kurudisha mabilioni ya pesa mlizochukua kwa njia ya ufisadi mnataka kuuwa so kwa kuvuta hisia za wananchi kwa chopa? Wananchi waamini kuna kitu kinafanywa na chuo kwamba chopa itarushwa na chuo hivi karibuni? Cha kushangaza, tutadanganya umma kiasi hiki mpaka lini?
 
Shirika la misaada la Uingereza lipo na linafahamika kama Department for International Development (DFID). Kuna error, badala ya DFID niliandika DIDF

Kesi za CMA unazozungumzia hazinihusu, mimi siyo msemaji wa hao wenye kesi, pengine ungewatafuta wahusika ukawauliza. Sikumbuki kama kuna mahali popote kwenye michango yangu kwenye jamvi hili nimeandika huhusu kesi au neno CMA. Nimeandika kuhusu Bodi inayolalamikiwa ambavyo inayolea ufisadi, matumizi mabaya ya ofisi na kufumbia macho malalamiko ya wafanyakazi kuhusu mishahara.

Tumedanganywa sana mpaka tumechoka na kwa kuwa Uongozi hausikii njia pekee ni kuambia umma ufahamu ni nini kipo Chuo cha ufundi Arusha. Huo uchafuzi au upotoshaji unaousemea hapo uko wapi? Kusema kuna ufisadi unaofanywa na wajanja wachache ni upotoshaji? Kama kusema ukweli ni upotoshaji acha umma ujue hivyo kuwa ufisadi ni upotoshaji kwa tafsiri yako.

Badala ya kutafuta fedha za kulipa mishahara ya wafanyakazi mliyokula, badala ya kulipa stahili za wafanyakazi, na badala ya kurudisha mabilioni ya pesa mlizochukua kwa njia ya ufisadi mnataka kuuwa so kwa kuvuta hisia za wananchi kwa chopa? Wananchi waamini kuna kitu kinafanywa na chuo kwamba chopa itarushwa na chuo hivi karibuni? Cha kushangaza, tutadanganya umma kiasi hiki mpaka lini?
chopper.JPG
 
Shirika la misaada la Uingereza lipo na linafahamika kama Department for International Development (DFID). Kuna error, badala ya DFID niliandika DIDF
hii inaonanesha kwa jinsi gani ulivyo kilaza... I can image jinsi povu linakutoka kupotosha umma kuhusu serikali na chuo cha Ufundi Arusha. lakini kumbuka kuwa kuna sheria ya Makosa ya Mtandao Mangi
Kesi za CMA unazozungumzia hazinihusu, mimi siyo msemaji wa hao wenye kesi, pengine ungewatafuta wahusika ukawauliza. Sikumbuki kama kuna mahali popote kwenye michango yangu kwenye jamvi hili nimeandika huhusu kesi au neno CMA. Nimeandika kuhusu Bodi inayolalamikiwa ambavyo inayolea ufisadi, matumizi mabaya ya ofisi na kufumbia macho malalamiko ya wafanyakazi kuhusu mishahara.

Tumedanganywa sana mpaka tumechoka na kwa kuwa Uongozi hausikii njia pekee ni kuambia umma ufahamu ni nini kipo Chuo cha ufundi Arusha. Huo uchafuzi au upotoshaji unaousemea hapo uko wapi? Kusema kuna ufisadi unaofanywa na wajanja wachache ni upotoshaji? Kama kusema ukweli ni upotoshaji acha umma ujue hivyo kuwa ufisadi ni upotoshaji kwa tafsiri yako.

Badala ya kutafuta fedha za kulipa mishahara ya wafanyakazi mliyokula, badala ya kulipa stahili za wafanyakazi, na badala ya kurudisha mabilioni ya pesa mlizochukua kwa njia ya ufisadi mnataka kuuwa so kwa kuvuta hisia za wananchi kwa chopa? Wananchi waamini kuna kitu kinafanywa na chuo kwamba chopa itarushwa na chuo hivi karibuni? Cha kushangaza, tutadanganya umma kiasi hiki mpaka lini?
 
Shirika la misaada la Uingereza lipo na linafahamika kama Department for International Development (DFID). Kuna error, badala ya DFID niliandika DIDF

hii inaonanesha kwa jinsi gani ulivyo na Roho Chafu... I can image jinsi povu linakutoka kupotosha umma kuhusu serikali na chuo cha Ufundi Arusha. lakini kumbuka kuwa kuna sheria ya Makosa ya Mtandao Mangi
 
Sijawahi ona mpare akitengeneza helicopter aisee. Hongera mtani ila usikubali kutest. Uta-RIP mtani.
 
It ll be an honor to die for such project,even the choppers you see today have cost peoples life for you to enjoy.mawazo ya watu kama nyie ndio yanatufanya siku zote tuwaze kutengeneza vitu kama spare parts badala ya kufikiria vitu kama hivi.

Moja ya mambo tunayo pungukiwa Afrika Ni kukosa Watu wa aina yako
 
Sijawahi ona mpare akitengeneza helicopter aisee. Hongera mtani ila usikubali kutest. Uta-RIP mtani.

hii inaonesha kwa jinsi gani uwezo wako wakufiri ulivyo mdogo. Mpare kwa ko sio Mtu au Tanzania. ulitaka nani atengeneze hiyo chopper ? pengine ungewajulisha Watanzania ili wajue ! kwa hiyo povu linakutoka kila siku hapa JF kupotosha umma kuhusu serikali na Chuo cha Ufundi Arusha kwa sababu tu anayetengeneza helikopta ni Mtanzania mwenzetu ambaye Kabila lake ni Mpare ?!!
 
hii inaonesha kwa jinsi gani uwezo wako wakufiri ulivyo mdogo. Mpare kwa ko sio Mtu au Tanzania. ulitaka nani atengeneze hiyo chopper ? pengine ungewajulisha Watanzania ili wajue ! kwa hiyo povu linakutoka kila siku hapa JF kupotosha umma kuhusu serikali na Chuo cha Ufundi Arusha kwa sababu tu anayetengeneza helikopta ni Mtanzania mwenzetu ambaye Kabila lake ni Mpare ?!!
Wewe unanunua kesi ambayo haikuhusu. Mpare ni mtani wangu acha kutoka povu.
 
Sijawahi ona mpare akitengeneza helicopter aisee. Hongera mtani ila usikubali kutest. Uta-RIP mtani.
Athee,wana milima thana huko Thame athee,ndio maana wamegundua helikopta athee.
Thatha Raithi anaenda kuchukua wanyalu huko Rwanda,wakati Thame kumejaa nachuro bon thayantithti kibaoo,thi apande hii helikopta akawachukue maIT huko Kihurio jamani!tena kuna yule mtoto wa mthee Mshana pale anajua thana Mathe,kompyuta hatoishindwa athee!
 
Back
Top Bottom