Tanzania hakuna "vigillantes" ?

baruti 1

JF-Expert Member
Apr 4, 2017
620
703
mimi ni mmojawapo ya watu ambao wako affected sana na filamu za kimagharibi ,na hata mawazo yangu yamekaa "kimovie movie". katika baadhi ya filamu nmekua nikishuhudia baadhi ya waigizaji wakiigiza kuua watu wabaya kwa ajili ya maslahi mapana ya umma.
Na nnavyojua watu wa magharib wanchoigiza huwa ni uhalisia wa kinachotokea kwenye jamii zao ,na mifano ya uhalisia huo uko mwingi tu unaweza kugoogle ukapata mifano.
Tanzania tunao wala rushwa wakubwa, mafisadi, watetea mafisadi n.k lakini sijawahi sikia kikundi chochote ama mtu mmoja a/wakisaidia kutondolea hawa watu ili jamii ipate neemeka na rasilimali zetu.
swali je kwanini hatuna hawa watu? na jee ungefanikiwa kuwa vigillante ungeenza na nani?
mimi ningeenza na toto tundu
 
mimi ni mmojawapo ya watu ambao wako affected sana na filamu za kimagharibi ,na hata mawazo yangu yamekaa "kimovie movie". katika baadhi ya filamu nmekua nikishuhudia baadhi ya waigizaji wakiigiza kuua watu wabaya kwa ajili ya maslahi mapana ya umma.
Na nnavyojua watu wa magharib wanchoigiza huwa ni uhalisia wa kinachotokea kwenye jamii zao ,na mifano ya uhalisia huo uko mwingi tu unaweza kugoogle ukapata mifano.
Tanzania tunao wala rushwa wakubwa, mafisadi, watetea mafisadi n.k lakini sijawahi sikia kikundi chochote ama mtu mmoja a/wakisaidia kutondolea hawa watu ili jamii ipate neemeka na rasilimali zetu.
swali je kwanini hatuna hawa watu? na jee ungefanikiwa kuwa vigillante ungeenza na nani?
mimi ningeenza na tobo kisu

Hii ndio shida ya kuwa addicted na TV series ya Arrow. Naomba ufahamu ya kuwa movie hutengenezwa kutokana na hadithi ambayo inatokana na mawazo ya mtu. Na wakati mwingine mtunga hadithi anaweza kuongezea simulizi fulani zisizo za kawaida kwa lengo la kuifanya filamu hiyo iweze kuwa nzuri na ya kuvutia zaidi. Kwa hiyo si kila unachokiona kwenye filamu kinaweza kuwa applied kwenye real life.
 
Back
Top Bottom