Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Muda huu Serikali imewaomba Barclays Bank mkopo wa fedha ili imalizie Reli ya Standard Gaurge kuifikia nchi ya viwanda.
Leo Waziri wa Mipango Dr.Mpango ametembelea Makao Makuu ya Benki ya Barclays na kuiomba kuisaidia Serikali mkopo wa riba nafuu ili Serikali iweze kutekeleza miradi yake ya miundombinu ya Reli ya kati ya "Standard Gauge" na mradi wa umeme wa Stiglers Gorge.
Waziri Mpango ameiomba Benki hiyo kutenga kiasi cha fedha ili kuikopesha Serikali ili iweze kuijenga hiyo miradi yake ambayo inahitaji pesa nyingi ili Serikali iweze kufikia adhima yake ya nchi ya viwanda.
Swali: Inakuwaje tena Serikali inaanza kwenda kukopa kwenye mabenki binafsi na wakati tuliambiwa pesa inayojenga Reli ya Standard Gauge na ule mradi wa Stiglers Gorge ni pesa za ndani ambazo ni kodi zetu?
Je, kiuchumi kuna athari gani kukopa Benki binafsi kama Barclays? Zile taarifa kuwa miradi inajengwa kwa pesa za ndani huwa ni siasa tu?
Kwamba hakuna pesa ndiyo maana tunazunguka kukopa mpaka Barclays? Aibu nyingine hii kwa CCM na watu wake.
Leo Waziri wa Mipango Dr.Mpango ametembelea Makao Makuu ya Benki ya Barclays na kuiomba kuisaidia Serikali mkopo wa riba nafuu ili Serikali iweze kutekeleza miradi yake ya miundombinu ya Reli ya kati ya "Standard Gauge" na mradi wa umeme wa Stiglers Gorge.
Waziri Mpango ameiomba Benki hiyo kutenga kiasi cha fedha ili kuikopesha Serikali ili iweze kuijenga hiyo miradi yake ambayo inahitaji pesa nyingi ili Serikali iweze kufikia adhima yake ya nchi ya viwanda.
Swali: Inakuwaje tena Serikali inaanza kwenda kukopa kwenye mabenki binafsi na wakati tuliambiwa pesa inayojenga Reli ya Standard Gauge na ule mradi wa Stiglers Gorge ni pesa za ndani ambazo ni kodi zetu?
Je, kiuchumi kuna athari gani kukopa Benki binafsi kama Barclays? Zile taarifa kuwa miradi inajengwa kwa pesa za ndani huwa ni siasa tu?
Kwamba hakuna pesa ndiyo maana tunazunguka kukopa mpaka Barclays? Aibu nyingine hii kwa CCM na watu wake.