Tanzania hakuna hospitali yenye wagonjwa wanaohuzunisha zaidi ya OCEAN ROAD.

Kama vile haoni
Halafu makazi yake yapo meters chache kabisa toka hapo hospitali, lakini huu mwaka wa nne utasikia mara kavamia hazina, mara kaibukia ferry analangua samaki!! yaani sina la kusema kwa kweli!!
 
Hongera sana Mkuu kwa moyo huo. Mie nikienda kuwaona wagonjwa hasa wale wenye hali mbaya nakosa amani moyoni labda kuwe na mtu wa karibu sana.

Habarini waungwana.
Huwa kila baada ya miezi mitatu ninaenda pale hospitali inayohusika na wagonjwa wa SARATANI (CANCER) kwa ajili ya kuwajulia hali wagonjwa na kuwatia moyo.
Hakika kila ninapotoka pale mahali huwa najiona kama nimetoka mazingira mengine tofauti na dunia hii.
Kuna wagonjwa wanaishi kwenye mazingira magaumu sana.
NAWAASA KILA MWENYE UWEZO APITE PALE MAHALI ANGALAU TU KUWATIA MOYO WAGONJWA WALE.
 
Mungu akupiganie uishi miaka mingi sana ya heri sababu una hekima machoni pake na pa Watu.

Hapa hutaona wale matajiri, wasomi, wajuaji wa kila kitu wakisogea hapa na ndipo utaona jinsi gani kuna Watu na viatu hapa duniani.
Habarini waungwana.
Huwa kila baada ya miezi mitatu ninaenda pale hospitali inayohusika na wagonjwa wa SARATANI (CANCER) kwa ajili ya kuwajulia hali wagonjwa na kuwatia moyo.
Hakika kila ninapotoka pale mahali huwa najiona kama nimetoka mazingira mengine tofauti na dunia hii.
Kuna wagonjwa wanaishi kwenye mazingira magaumu sana.
NAWAASA KILA MWENYE UWEZO APITE PALE MAHALI ANGALAU TU KUWATIA MOYO WAGONJWA WALE.
 
Back
Top Bottom