computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,480
- 6,016
Kweli I understand now kuwa members wengi wa chama tawala ni mabogusKama wewe ndo Rais akatokea muhuni akawadanganya wananchi wakampigia kura na kwa uwezo wako unafaham kabisa wananchi watajuta badae hili jamaa ni jizi, vipi utalikabidhi nchi?
Sent using Jamii Forums mobile app