britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Ni Njozi za Abunuwasi Tanzania as a Sovereign State kupata mawazo chanya au Ushauri ktk Vita ya kujikomboa Kiuchumi kutoka kwa Mazwazwa na Vibaraka wanaojiita Wanaharakati hapa ndani lakini wakifadhiliwa nje na CPC-Ujerumani, EU Parliament -Belgium, Strasbroug na CIA Marekani,
Usaliti hauanzii Mbali, Usaliti huanzia Karibu na hata kwa Ndugu wa Damu,..leo natoa Mfano mmoja tu, Miaka zaidi ya 40 baada ya Marekani kufanya Majaribio 630 ya kumuua Fidel Castro na kufeli ilifanikiwa pia kumrubuni Juanita Castro ambaye ni dada yake wa damu Fidel Castro akamsaliti kaka yake wa damu kwa makachero wa Shirika la Kijasusi la Marekani (CIA) ili Castro auawe, Jaribio hilo nalo Lilifeli na Junaita akakimbilia Uhamishoni huko Florida Marekani na ameishi huko kwa Maisha yake yote kwa miaka zaidi ya 40 akimtuhumu kaka yake kuwa ni "ZIMWI"
Kosa la Castro ni lipi?.....Kama vile Gaddafi Kosa la Castro ni alipoukataa ushawishi wa Marekani nchini mwake, Pale alipomudu kuleta huduma za afya za bure na kuboresha elimu..Kuunga mkono na kusaidia makundi mbalimbali ya kipiganaji katika Ukombozi wa nchi za Amerika kusini, Afrika na Asia kwa sababu tu zilikuwa mkondo mmoja na mitazamo yake ya uongozi,
Hali hii ilipelekea uvamizi Mkubwa wa kijeshi uliojulikana kama "BAY OF PIGS", na hasa pale Marekani iliposikia kwamba Castro ana Mpango wa kutengeneza silaha za kikemikali - Nyuklia.....Ndipo Shirika la Kijasusi la Marekani CIA likachukua wafungwa 1,400 wa Cuba waliokuwa Marekani na kuwapa mafunzo ya kivita ili kumwangusha Rais Fidel Castro ambapo katika Vita hiyo Marekani ilipigwa Vibaya kiasi cha kujitia aibu kubwa katika jumuiya ya Kimataifa.
Leo hapa Tanzania kuna Malofa wanakwambia kwamba "Bwana wetu Marekani kasema hapa kuna Uonevu sana, hakuna Demokrasia,tunatakiwa tuwe kama Libya na Tunisia" Jinga Kabisa.
Britannica
Usaliti hauanzii Mbali, Usaliti huanzia Karibu na hata kwa Ndugu wa Damu,..leo natoa Mfano mmoja tu, Miaka zaidi ya 40 baada ya Marekani kufanya Majaribio 630 ya kumuua Fidel Castro na kufeli ilifanikiwa pia kumrubuni Juanita Castro ambaye ni dada yake wa damu Fidel Castro akamsaliti kaka yake wa damu kwa makachero wa Shirika la Kijasusi la Marekani (CIA) ili Castro auawe, Jaribio hilo nalo Lilifeli na Junaita akakimbilia Uhamishoni huko Florida Marekani na ameishi huko kwa Maisha yake yote kwa miaka zaidi ya 40 akimtuhumu kaka yake kuwa ni "ZIMWI"
Kosa la Castro ni lipi?.....Kama vile Gaddafi Kosa la Castro ni alipoukataa ushawishi wa Marekani nchini mwake, Pale alipomudu kuleta huduma za afya za bure na kuboresha elimu..Kuunga mkono na kusaidia makundi mbalimbali ya kipiganaji katika Ukombozi wa nchi za Amerika kusini, Afrika na Asia kwa sababu tu zilikuwa mkondo mmoja na mitazamo yake ya uongozi,
Hali hii ilipelekea uvamizi Mkubwa wa kijeshi uliojulikana kama "BAY OF PIGS", na hasa pale Marekani iliposikia kwamba Castro ana Mpango wa kutengeneza silaha za kikemikali - Nyuklia.....Ndipo Shirika la Kijasusi la Marekani CIA likachukua wafungwa 1,400 wa Cuba waliokuwa Marekani na kuwapa mafunzo ya kivita ili kumwangusha Rais Fidel Castro ambapo katika Vita hiyo Marekani ilipigwa Vibaya kiasi cha kujitia aibu kubwa katika jumuiya ya Kimataifa.
Leo hapa Tanzania kuna Malofa wanakwambia kwamba "Bwana wetu Marekani kasema hapa kuna Uonevu sana, hakuna Demokrasia,tunatakiwa tuwe kama Libya na Tunisia" Jinga Kabisa.
Britannica