Tanzania haitokaa iendelee milele hata mfanyeje

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,991
17,888
Siwakatishi tamaa ila huo ndo ukweli

Nchi yetu haina dalili ya kuendelea kabisa

Deni la taifa ni trilioni 80

Na asilimia kubwa ya bajeti yetu huishia kulipa madeni, watumishi nk...Fedha za maendeleo ni kidogo mno sasa hapo mtaendelea vipi?

Mfano halisi ni wizara ya fedha, waliwekewa bajeti ya trilioni 12....Ambapo trilioni 10 zinaenda kulipa madeni...Sasa hapo mtaendeleaje?

Pesa zimekua zikiishia kwa wachache majority wanabaki na hawaguswi na miradi ya umma

Tutaendelea vipi wakati hata dalili ya kuacha kutegemea misaada haipo?

Tutaendelea vipi deni linazidi kukua na fedha zote asilimia 90 huishia kulipa madeni na watumishi wa umma?

Tutaendelea vipi huku tunazidi kukopa imf na wb na tunawapa migodi,mafuta na gesi vinaenda ulaya?

Tutaendelea vipi na sera za hovyo hovyo tu nchi haijulikani inapoenda?

Tutaendelea vipi kila rais akija anakuja na yake?na mambo yake akiingia mwingine naye anabomoa yale ya mwenzie anaanza na yake na mwingine akija ni hivyo hivyo?Ni sawa na nyumba unaanza na msingi,kisha fundi anamaliza mkataba,anakuja mwingine anabomoa msingi anaanza wake wa style na nyingine anamaliza anakuja mwingine anavunja anasema sio hivyo anajenga kivyake... Haya yanafanyika kila baada ya miaka 5 nchi hii


Tutaendelea vipi wakati kuna chain ya pesa kuliwa from top area(mawaziri,marais) hadi bottom area (serikali za mitaa na wananchi) Yaani hela inaanza kudonolewa kuanzia juu huko hadi ije kumgusa mwananchi wa chini ishaliwa

Pesa yenyewe ya miradi na maendeleo inayotengwa ni kidogo na bado inadonolewa na kupunguzwa kwa kuliwa hadi ije mfikia mtu wa chini ishapungua au kwisha kbs

Kwa haya tutaendeleaje?SIDHANI KAMA HII NCHI ITOKAA IENDELEE KAMWE!!!!!!!
 
🤡🤡🤡
AIhIt7.jpg
 
Siwakatishi tamaa ila huo ndo ukweli

Nchi yetu haina dalili ya kuendelea kabisa

Deni la taifa ni trilioni 80

Na asilimia kubwa ya bajeti yetu huishia kulipa madeni, watumishi nk...Fedha za maendeleo ni kidogo mno sasa hapo mtaendelea vipi?

Mfano halisi ni wizara ya fedha, waliwekewa bajeti ya trilioni 12....Ambapo trilioni 10 zinaenda kulipa madeni...Sasa hapo mtaendeleaje?

Pesa zimekua zikiishia kwa wachache majority wanabaki na hawaguswi na miradi ya umma

Tutaendelea vipi wakati hata dalili ya kuacha kutegemea misaada haipo?

Tutaendelea vipi deni linazidi kukua na fedha zote asilimia 90 huishia kulipa madeni na watumishi wa umma?

Tutaendelea vipi huku tunazidi kukopa imf na wb na tunawapa migodi,mafuta na gesi vinaenda ulaya?

Tutaendelea vipi na sera za hovyo hovyo tu nchi haijulikani inapoenda?

Tutaendelea vipi kila rais akija anakuja na yake?na mambo yake akiingia mwingine naye anabomoa yale ya mwenzie anaanza na yake na mwingine akija ni hivyo hivyo?Ni sawa na nyumba unaanza na msingi,kisha fundi anamaliza mkataba,anakuja mwingine anabomoa msingi anaanza wake wa style na nyingine anamaliza anakuja mwingine anavunja anasema sio hivyo anajenga kivyake... Haya yanafanyika kila baada ya miaka 5 nchi hii


Tutaendelea vipi wakati kuna chain ya pesa kuliwa from top area(mawaziri,marais) hadi bottom area (serikali za mitaa na wananchi) Yaani hela inaanza kudonolewa kuanzia juu huko hadi ije kumgusa mwananchi wa chini ishaliwa

Pesa yenyewe ya miradi na maendeleo inayotengwa ni kidogo na bado inadonolewa na kupunguzwa kwa kuliwa hadi ije mfikia mtu wa chini ishapungua au kwisha kbs

Kwa haya tutaendeleaje?SIDHANI KAMA HII NCHI ITOKAA IENDELEE KAMWE!!!!!!!
Kizazi hiki hakina akili,baada ya miaka 1000,kitakuja kizazi chenye akili,kitaweka mambo Sawa,
Urusi,China hata na USA,wote waliwahi kupitia kipindi kama chetu.
Kuiendeleza hii nchi Inahitaji miaka 60 tu,Vietnam,Korea,china,Malaysia waliweza,Kuna watu wanaamini ukiitoa ccm Madarakani,maendeleo yatakuja(Kuna ukweli kidogo)ila isiishie kuwatoa ccm tu,maana pale Kenya,waliitoa KANU,wakitegemea nchi iendelee,lakini ndio wakaja Wezi wakubwa balaa,maana waliokuwa KANU ndio hao hao wapo jubilee,UDA,ODM,Cha muhimu ni kubadilisha mfumo
 
Kwani wee maendeleo unayapimaje?

Wenzio tunapima kwa Barabara, maji, umeme. Majumba, magari.

Hivi ma mwendokasi, barabara za juu bado unasema hatujaendelea?
 
Siwakatishi tamaa ila huo ndo ukweli

Nchi yetu haina dalili ya kuendelea kabisa

Deni la taifa ni trilioni 80

Na asilimia kubwa ya bajeti yetu huishia kulipa madeni, watumishi nk...Fedha za maendeleo ni kidogo mno sasa hapo mtaendelea vipi?

Mfano halisi ni wizara ya fedha, waliwekewa bajeti ya trilioni 12....Ambapo trilioni 10 zinaenda kulipa madeni...Sasa hapo mtaendeleaje?

Pesa zimekua zikiishia kwa wachache majority wanabaki na hawaguswi na miradi ya umma

Tutaendelea vipi wakati hata dalili ya kuacha kutegemea misaada haipo?

Tutaendelea vipi deni linazidi kukua na fedha zote asilimia 90 huishia kulipa madeni na watumishi wa umma?

Tutaendelea vipi huku tunazidi kukopa imf na wb na tunawapa migodi,mafuta na gesi vinaenda ulaya?

Tutaendelea vipi na sera za hovyo hovyo tu nchi haijulikani inapoenda?

Tutaendelea vipi kila rais akija anakuja na yake?na mambo yake akiingia mwingine naye anabomoa yale ya mwenzie anaanza na yake na mwingine akija ni hivyo hivyo?Ni sawa na nyumba unaanza na msingi,kisha fundi anamaliza mkataba,anakuja mwingine anabomoa msingi anaanza wake wa style na nyingine anamaliza anakuja mwingine anavunja anasema sio hivyo anajenga kivyake... Haya yanafanyika kila baada ya miaka 5 nchi hii


Tutaendelea vipi wakati kuna chain ya pesa kuliwa from top area(mawaziri,marais) hadi bottom area (serikali za mitaa na wananchi) Yaani hela inaanza kudonolewa kuanzia juu huko hadi ije kumgusa mwananchi wa chini ishaliwa

Pesa yenyewe ya miradi na maendeleo inayotengwa ni kidogo na bado inadonolewa na kupunguzwa kwa kuliwa hadi ije mfikia mtu wa chini ishapungua au kwisha kbs

Kwa haya tutaendeleaje?SIDHANI KAMA HII NCHI ITOKAA IENDELEE KAMWE!!!!!!!
Ubinafsi umekuwa mkubwa sana. Agree with you

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Siwakatishi tamaa ila huo ndo ukweli

Nchi yetu haina dalili ya kuendelea kabisa

Deni la taifa ni trilioni 80

Na asilimia kubwa ya bajeti yetu huishia kulipa madeni, watumishi nk...Fedha za maendeleo ni kidogo mno sasa hapo mtaendelea vipi?

Mfano halisi ni wizara ya fedha, waliwekewa bajeti ya trilioni 12....Ambapo trilioni 10 zinaenda kulipa madeni...Sasa hapo mtaendeleaje?

Pesa zimekua zikiishia kwa wachache majority wanabaki na hawaguswi na miradi ya umma

Tutaendelea vipi wakati hata dalili ya kuacha kutegemea misaada haipo?

Tutaendelea vipi deni linazidi kukua na fedha zote asilimia 90 huishia kulipa madeni na watumishi wa umma?

Tutaendelea vipi huku tunazidi kukopa imf na wb na tunawapa migodi,mafuta na gesi vinaenda ulaya?

Tutaendelea vipi na sera za hovyo hovyo tu nchi haijulikani inapoenda?

Tutaendelea vipi kila rais akija anakuja na yake?na mambo yake akiingia mwingine naye anabomoa yale ya mwenzie anaanza na yake na mwingine akija ni hivyo hivyo?Ni sawa na nyumba unaanza na msingi,kisha fundi anamaliza mkataba,anakuja mwingine anabomoa msingi anaanza wake wa style na nyingine anamaliza anakuja mwingine anavunja anasema sio hivyo anajenga kivyake... Haya yanafanyika kila baada ya miaka 5 nchi hii


Tutaendelea vipi wakati kuna chain ya pesa kuliwa from top area(mawaziri,marais) hadi bottom area (serikali za mitaa na wananchi) Yaani hela inaanza kudonolewa kuanzia juu huko hadi ije kumgusa mwananchi wa chini ishaliwa

Pesa yenyewe ya miradi na maendeleo inayotengwa ni kidogo na bado inadonolewa na kupunguzwa kwa kuliwa hadi ije mfikia mtu wa chini ishapungua au kwisha kbs

Kwa haya tutaendeleaje?SIDHANI KAMA HII NCHI ITOKAA IENDELEE KAMWE!!!!!!!
Ni kosa kubwa sana kufanya ujumuhisho, wewe ndio hautokaa uendelee, usiangalie Tanzania jomba jiangalie wewe mwenyewe na familia yako maana dunia nzima inadaiwa na ndio maana vita kuu hutokea, kuna ya tatu ipo njiani ombea tu isiwe kipindi chako.
 
Back
Top Bottom