kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,888
Siwakatishi tamaa ila huo ndo ukweli
Nchi yetu haina dalili ya kuendelea kabisa
Deni la taifa ni trilioni 80
Na asilimia kubwa ya bajeti yetu huishia kulipa madeni, watumishi nk...Fedha za maendeleo ni kidogo mno sasa hapo mtaendelea vipi?
Mfano halisi ni wizara ya fedha, waliwekewa bajeti ya trilioni 12....Ambapo trilioni 10 zinaenda kulipa madeni...Sasa hapo mtaendeleaje?
Pesa zimekua zikiishia kwa wachache majority wanabaki na hawaguswi na miradi ya umma
Tutaendelea vipi wakati hata dalili ya kuacha kutegemea misaada haipo?
Tutaendelea vipi deni linazidi kukua na fedha zote asilimia 90 huishia kulipa madeni na watumishi wa umma?
Tutaendelea vipi huku tunazidi kukopa imf na wb na tunawapa migodi,mafuta na gesi vinaenda ulaya?
Tutaendelea vipi na sera za hovyo hovyo tu nchi haijulikani inapoenda?
Tutaendelea vipi kila rais akija anakuja na yake?na mambo yake akiingia mwingine naye anabomoa yale ya mwenzie anaanza na yake na mwingine akija ni hivyo hivyo?Ni sawa na nyumba unaanza na msingi,kisha fundi anamaliza mkataba,anakuja mwingine anabomoa msingi anaanza wake wa style na nyingine anamaliza anakuja mwingine anavunja anasema sio hivyo anajenga kivyake... Haya yanafanyika kila baada ya miaka 5 nchi hii
Tutaendelea vipi wakati kuna chain ya pesa kuliwa from top area(mawaziri,marais) hadi bottom area (serikali za mitaa na wananchi) Yaani hela inaanza kudonolewa kuanzia juu huko hadi ije kumgusa mwananchi wa chini ishaliwa
Pesa yenyewe ya miradi na maendeleo inayotengwa ni kidogo na bado inadonolewa na kupunguzwa kwa kuliwa hadi ije mfikia mtu wa chini ishapungua au kwisha kbs
Kwa haya tutaendeleaje?SIDHANI KAMA HII NCHI ITOKAA IENDELEE KAMWE!!!!!!!
Nchi yetu haina dalili ya kuendelea kabisa
Deni la taifa ni trilioni 80
Na asilimia kubwa ya bajeti yetu huishia kulipa madeni, watumishi nk...Fedha za maendeleo ni kidogo mno sasa hapo mtaendelea vipi?
Mfano halisi ni wizara ya fedha, waliwekewa bajeti ya trilioni 12....Ambapo trilioni 10 zinaenda kulipa madeni...Sasa hapo mtaendeleaje?
Pesa zimekua zikiishia kwa wachache majority wanabaki na hawaguswi na miradi ya umma
Tutaendelea vipi wakati hata dalili ya kuacha kutegemea misaada haipo?
Tutaendelea vipi deni linazidi kukua na fedha zote asilimia 90 huishia kulipa madeni na watumishi wa umma?
Tutaendelea vipi huku tunazidi kukopa imf na wb na tunawapa migodi,mafuta na gesi vinaenda ulaya?
Tutaendelea vipi na sera za hovyo hovyo tu nchi haijulikani inapoenda?
Tutaendelea vipi kila rais akija anakuja na yake?na mambo yake akiingia mwingine naye anabomoa yale ya mwenzie anaanza na yake na mwingine akija ni hivyo hivyo?Ni sawa na nyumba unaanza na msingi,kisha fundi anamaliza mkataba,anakuja mwingine anabomoa msingi anaanza wake wa style na nyingine anamaliza anakuja mwingine anavunja anasema sio hivyo anajenga kivyake... Haya yanafanyika kila baada ya miaka 5 nchi hii
Tutaendelea vipi wakati kuna chain ya pesa kuliwa from top area(mawaziri,marais) hadi bottom area (serikali za mitaa na wananchi) Yaani hela inaanza kudonolewa kuanzia juu huko hadi ije kumgusa mwananchi wa chini ishaliwa
Pesa yenyewe ya miradi na maendeleo inayotengwa ni kidogo na bado inadonolewa na kupunguzwa kwa kuliwa hadi ije mfikia mtu wa chini ishapungua au kwisha kbs
Kwa haya tutaendeleaje?SIDHANI KAMA HII NCHI ITOKAA IENDELEE KAMWE!!!!!!!