- Thread starter
- #61
Sasa ishu za Mugabe na Zimbabwe, nani amuhonge yupi kwa manufaa ya nani na siasa zipi?Ni incompetence tu. Hawajui fani yao wale watu.Harare imemwita balozi nyumbani hawaandiki? Hao watu wameenda shule ya Uandishi kweli? Au wanashindwa kuumuliza Mbunge hizo habari umezisikia wapi, mpaka anakuja kuulizwa hapa JF? Kuna press hapo kweli? Please Mushi, be objective for a second.
Kuhani soma NewAfrican la mwezi June linaloenda kwa kicha cha habari "Exposed Western Media Bias Against Africa:Whatever you thought about Africa, think again!" unaweza kuelewa na nani anamuonga nani katika mazingira kama haya, mfano mzuri na Cameron Duodu alipoandika makala kali kwa mhariri wa gazeti Ghana na jinsi ilivyozimwa na maofisa wa ubalozi wa US Accra!