Tanzania haina Waziri wa Mambo ya Ndani kwa sasa

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,107
18,323
Kwa matukio yanayotokea na malumbano yanayoendelea ndani ya vyombo vinavyo husika na ulinzi wa mali na raia, huu ni uthibitisho tosha kwamba Tanzania kwa sasa hatuna Waziri wa Mambo ya Ndani.

Wajibu wa Waziri wa Mambo ya Ndani ni upi?

Katika hali kama hii, wananchi tunapata picha gani kama Waziri wenye dhamana anaonekana kwenye kucheza ndombolo lakini mwananchi akipotea hana sauti?

Pia tungekuwa na Waziri wa Mambo ya Ndani angetusaidia kuwauliza vizuri makamanda wa polisi wa mkoa wa Dar es salaam na yule wa Kinondoni kwa kauli zao zinazoonyesha hawajali maisha ya raia.

Tuna amini Mh Rais ni mtu mwema na anayejali maisha ya Watanzania.

Kwa hali tulipofikia tunaomba kauli yako pamoja na kutupatia Waziri wa Mambo ya Ndani maana maisha ya hofu si mazuri.

Mungu turehemu Watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala sio swala la waziri. Bali ni issue ya nidhamu ya jeshi.

Nakumbuka nilipo kuwa jeshi kwa mujibu tulifundishwa amri ya mwiaho ni ya mkubwa wako.

Pia hata kama mkubwa ana pita kwenye kikundi mliokaa senior ndie atatoa salam kwa niaba ya kusanyiko lote.

Kwa polisi ina shangaza pale mkuu wa kanda maalum anaongea halafu ana tokea section Commender ana ongea tofauti na boss wake.

Nakumbuka huyu huyu askari ndie yule alie nyooshewa kidole na IGP na kumuambia nchi haiwezi kuwa na IGP wawili.

Nafikiri huyu jamaa hana maadili ya kiaskari na ni vyema IGP ampangie kazi nyingine kuepuka hizi tabia na dharau.
 
Kwa matukio yanayotokea na malumbano yanayoendelea ndani ya vyombo vinavyo husika na ulinzi wa mali na raia, huu ni uthibitisho tosha kwamba Tanzania kwa sasa hatuna Waziri wa Mambo ya Ndani.

Wajibu wa Waziri wa Mambo ya Ndani ni upi?

Katika hali kama hii, wananchi tunapata picha gani kama Waziri wenye dhamana anaonekana kwenye kucheza ndombolo lakini mwananchi akipotea hana sauti?

Pia tungekuwa na Waziri wa Mambo ya Ndani angetusaidia kuwauliza vizuri makamanda wa polisi wa mkoa wa Dar es salaam na yule wa Kinondoni kwa kauli zao zinazoonyesha hawajali maisha ya raia.

Tuna amini Mh Rais ni mtu mwema na anayejali maisha ya Watanzania.

Kwa hali tulipofikia tunaomba kauli yako pamoja na kutupatia Waziri wa Mambo ya Ndani maana maisha ya hofu si mazuri.

Mungu turehemu Watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo rais anayejali maisha ya raia ni yupi?. Huyu huyu watu wanatekwa katulia tuliii
 
Wala sio swala la waziri. Bali ni issue ya nidhamu ya jeshi.

Nakumbuka nilipo kuwa jeshi kwa mujibu tulifundishwa amri ya mwiaho ni ya mkubwa wako.

Pia hata kama mkubwa ana pita kwenye kikundi mliokaa senior ndie atatoa salam kwa niaba ya kusanyiko lote.

Kwa polisi ina shangaza pale mkuu wa kanda maalum anaongea halafu ana tokea section Commender ana ongea tofauti na boss wake.

Nakumbuka huyu huyu askari ndie yule alie nyooshewa kidole na IGP na kumuambia nchi haiwezi kuwa na IGP wawili.

Nafikiri huyu jamaa hana maadili ya kiaskari na ni vyema IGP ampangie kazi nyingine kuepuka hizi tabia na dharau.
akil yko n ya kipumbavu xn masuala ya nidham y jeshi ymefikaje hapa ktyu cha msingi wmejikaanga wenyewe waseme tito alipo nidham ya jesh intusaidia nn xx wkt kma huu????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa matukio yanayotokea na malumbano yanayoendelea ndani ya vyombo vinavyo husika na ulinzi wa mali na raia, huu ni uthibitisho tosha kwamba Tanzania kwa sasa hatuna Waziri wa Mambo ya Ndani.

Wajibu wa Waziri wa Mambo ya Ndani ni upi?

Katika hali kama hii, wananchi tunapata picha gani kama Waziri wenye dhamana anaonekana kwenye kucheza ndombolo lakini mwananchi akipotea hana sauti?

Pia tungekuwa na Waziri wa Mambo ya Ndani angetusaidia kuwauliza vizuri makamanda wa polisi wa mkoa wa Dar es salaam na yule wa Kinondoni kwa kauli zao zinazoonyesha hawajali maisha ya raia.

Tuna amini Mh Rais ni mtu mwema na anayejali maisha ya Watanzania.

Kwa hali tulipofikia tunaomba kauli yako pamoja na kutupatia Waziri wa Mambo ya Ndani maana maisha ya hofu si mazuri.

Mungu turehemu Watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani na wewe ni msaliti? Wenye hofu ni wasaliti tu.
 
Kwa matukio yanayotokea na malumbano yanayoendelea ndani ya vyombo vinavyo husika na ulinzi wa mali na raia, huu ni uthibitisho tosha kwamba Tanzania kwa sasa hatuna Waziri wa Mambo ya Ndani.

Wajibu wa Waziri wa Mambo ya Ndani ni upi?

Katika hali kama hii, wananchi tunapata picha gani kama Waziri wenye dhamana anaonekana kwenye kucheza ndombolo lakini mwananchi akipotea hana sauti?

Pia tungekuwa na Waziri wa Mambo ya Ndani angetusaidia kuwauliza vizuri makamanda wa polisi wa mkoa wa Dar es salaam na yule wa Kinondoni kwa kauli zao zinazoonyesha hawajali maisha ya raia.

Tuna amini Mh Rais ni mtu mwema na anayejali maisha ya Watanzania.

Kwa hali tulipofikia tunaomba kauli yako pamoja na kutupatia Waziri wa Mambo ya Ndani maana maisha ya hofu si mazuri.

Mungu turehemu Watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona wapo wa kuzuia mikutano ya wapinzani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa matukio yanayotokea na malumbano yanayoendelea ndani ya vyombo vinavyo husika na ulinzi wa mali na raia, huu ni uthibitisho tosha kwamba Tanzania kwa sasa hatuna Waziri wa Mambo ya Ndani.

Wajibu wa Waziri wa Mambo ya Ndani ni upi?

Katika hali kama hii, wananchi tunapata picha gani kama Waziri wenye dhamana anaonekana kwenye kucheza ndombolo lakini mwananchi akipotea hana sauti?

Pia tungekuwa na Waziri wa Mambo ya Ndani angetusaidia kuwauliza vizuri makamanda wa polisi wa mkoa wa Dar es salaam na yule wa Kinondoni kwa kauli zao zinazoonyesha hawajali maisha ya raia.

Tuna amini Mh Rais ni mtu mwema na anayejali maisha ya Watanzania.

Kwa hali tulipofikia tunaomba kauli yako pamoja na kutupatia Waziri wa Mambo ya Ndani maana maisha ya hofu si mazuri.

Mungu turehemu Watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app

Magufuli ndo waziri wa mambo ya ndani kwa sasa!! Hata utekaji huu, Magufuli anahusika
 
Huyu huku
 

Attachments

  • IMG_20191102_221826.jpg
    IMG_20191102_221826.jpg
    76.9 KB · Views: 1
akil yko n ya kipumbavu xn masuala ya nidham y jeshi ymefikaje hapa ktyu cha msingi wmejikaanga wenyewe waseme tito alipo nidham ya jesh intusaidia nn xx wkt kma huu????

Sent using Jamii Forums mobile app
ujumbe wako ni mzuri ila baba umepanic sana mpaka unauwasilisha kwa lugha kinzani na jukwaa yani kama unachat facebook au whatsapp

huku tunatumia lugha nzuri na maandishi yanayosomeka na kueleweka weka kumbukumbu sawa
#mrudishenititomagotiwetu
 
Wala sio swala la waziri. Bali ni issue ya nidhamu ya jeshi.

Nakumbuka nilipo kuwa jeshi kwa mujibu tulifundishwa amri ya mwiaho ni ya mkubwa wako.

Pia hata kama mkubwa ana pita kwenye kikundi mliokaa senior ndie atatoa salam kwa niaba ya kusanyiko lote.

Kwa polisi ina shangaza pale mkuu wa kanda maalum anaongea halafu ana tokea section Commender ana ongea tofauti na boss wake.

Nakumbuka huyu huyu askari ndie yule alie nyooshewa kidole na IGP na kumuambia nchi haiwezi kuwa na IGP wawili.

Nafikiri huyu jamaa hana maadili ya kiaskari na ni vyema IGP ampangie kazi nyingine kuepuka hizi tabia na dharau.
Kwa hiyo mnampango gani na yule Kamanda wa Kinondoni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom