Tanzania haina uzoefu wa kuwa nchi ndiyo maana mambo mengi hayana 'consistence ya kitaifa'

CCM Music

JF-Expert Member
Dec 5, 2018
1,036
1,782
Kumradhi kwa kila mtu naomba nisionekane nimetukana ila huu ni mtazamo wangu tu.

Kila kitu ni uzoefu. I mean kila kitu ili kifanyike kwa usahihi mkubwa panahitajika uzoefu. Hii ni law of nature in doing things.

Watu wengi hulalamika kuhusu mwenendo wa Tanzania kisiasa, kielimu, nk.

Watu hulalamika kuhusu Mahakama, Bunge, Serikali, n.k.

Watu wengi zaidi humlalamikia Mama wa watu Rais Samia na kumtwisha kila mzigo kuhusu mengi kwenye nchi hii, lakini ukweli ni huu hapa:

Tanzania kama Tanzania haina uzoefu qa kuwa nchi. Soma historia with open minds utaelewa hili.

J. K. Nyerere ndio rais wa Kwanza TANZANIA, ndio Waziri Mkuu wa Kwanza TANZANIA. Namaanisha kabla ya Nyerere Tanzania haikuwa na uzoefu wowote ule wa kuwa nchi huru, bali muda wote lilikuwa koloni tu.

Nawakumbusha tu Mama Maria na wake wengine wa viongozi founders wa Tanzania bado wapo hai hadi sasa hiki ni kiashiria tosha kwamba bado Tanzania ni changa haina uzoefu wa kuwa nchi.

Nyerere aliiga kila kitu maana hana ajualo. Mfumo wa uchumi, mfumo wa elimu, mfumo wa kisiasa, mfumo wa ulinzi wa Taifa, mfumo wa Jeshi la Polisi, yaani kila kitu maana hana ajualo.

Kwa kifupi yeye kupewa hajui nini atafanya zaidi zaidi ni kufuata mkumbo wengine wanafanyaje maana yeye ndo Kiongozi wa juu wa Kwanza kwenye nchi.

Miaka ya 1978/1979/1980 na kuendelea kidogo Mzee Baba aizamishe nchi kiuchumi maana ndo hivyo tena vita tunapigana hatuna uzoefu na mambo hayaendi ki ujumla. Tanzania haina uzoefu na mambo hayo.

Akaja Mwinyi. Akafanya anavyojua huku Nyerere akimnanga mara kwa mara lakini ndio hivyo naye anafanya ajualo maana uzoefu wa ki nchi kuwa nchi bado ni mdogo sana. Akapita na ruksa yake mambo yakaendelea.

Akaja mkapa akaunda taasisi kibao kama unavyoziona akina TRA n.k. Akaona isiwe ishu akabinafsisha ajuavyo naye akapita miaka yake 10. Bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Akaja J. M. Kikwete. Naye akaendelea kufanya ajuavyo kwa aonavyo yeye. Lkn bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Akaja JPM naye akafanya ajuavyo. Bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Now, tupo na Rais Samia zigo lote kwake. Lakini bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Ukitazama toka Nyerere hadi Rais Samia utaona kitu kimoja kinamis. Hiki hapa: TANZANIA ni nini?

Niwakumbushe kidogo. Kwa wale wanaopenda kufuatilia film za USA kuna kamsemo wanasemaga 'This is America' yaani dizain km they have their own ways of doing matters kwa namna ya kujisifu. Zaidiiiiiiiiii wao wana kitu huita 'American Dream' na hiki ndiko haswa Tanzania haina.

Tanzania haina 'Tanzania Dream' bali kila ajaye hufanya aonavyo. Why? B'se TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi. Unadhani ni kwanini? Ni kwa sababu ya mlolongo wa vitu vidogo vidogo mfano:

  • Raia hawana uzoefu wa kuwa raia
  • Viongozi hawana uzoefu wa kuwa viongozi
  • Tanzania haina uzoefu wa kunyima haki raia
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwapa haki raia
  • Tanzania haina uzoefu wa kuharibu mfumo wa siasa
  • Tanzania haina uzoefu wa kuimarisha mfumo wa siasa
  • Tanzania haina uzoefu wa wananchi wake kukosa ajira
  • Tanzania haina uzoefu wa masuala ya uchumi na biashara
  • Tanzania haina uzoefu wa kutoingilia mihimili mingine
  • Tanzania haina uzoefu wa kuingilia mihimili mingine
  • Tanzania haina uzoefu wa kuharibu mifumo ya elimu
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa maskini
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa tajiri
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa high performance kwenye masuala mbalimbali

Kwa maneno mengine: Tanzania haina uzoefu wa chochote kile. Usije kusema tuna uzoefu wa kupigania Uhuru maana Uhuru tumepewa mezani.

Uzoefu huleta impacts, husababisha consequences ziwe positive ama negative.

YAANI UKIWA NA UZOEFU UNAKUWA UNAJUA NIKIFANYA HIVI KITATOKEA HIKI AMA HAKITATOKEA KILE; NA NISIPOFANYA HIKI KITATOKEA KILE AMA HAKITATOKEA KILE. NIKIKWAMA KUFANYA HIKI, NAJARIBU ROUTE HII NA ILE HADI NAFANIKISHA. HUU NDIO UZOEFU. LAKINI HAPA NAZUNGUMZIA KATIKA LEVEL YA KI NCHI.

Kwa mfano Magufuli alikuwa akizungumzia sana uchumi viwanda. Na asichojua ni kwamba viwanda ni uchumi wa wazungu toka miaka ya 188.. na wamechapana hasa sababu ya viwanda. Mwishowe hakuna viwanda Tanzania kama ilivyopigwa promo.

Kwa mfano: Kwa sasa wamachinga wanaondolewa barabarani, kimsingi ni Jambo jema. Lkn hv kuna mtu amewahi kufikiria nini kimesababisha ongezeko la machinga kiasi hiki?

Nionavyo mimi ni kwamba: Hili la machinga ni indication ya wazi kabisa kuwa muelekeo wa uchumi wa kitaifa upo in a very wrong direction. Maana tunaumba Taifa la wachuuzi wa bidhaa feki za wachina.

Kwa nini imekuwa hv? Ni kwa sababu hatuna a 'TANZANIA DREAM' ambayo ipo very clear kwa kila mtanzania kiasi kwamba yeyote awe Kiongozi ama raia atakayehujumu harakati za 'Tanzania Dream' basi huyo halali yetu.

Kuna mtu atasema Tanzania Dream ni kuondoa Ujinga, Maradhi na Umaskini.

Mm nadhani ujinga - tuna shule kila Kona na vyuo kila Kona na internet juu hahahhaah hivyo ujinga is no more.

Maradhi - Hospitals kila pahala, Watalaam kila kona. Tena siku hz tunavuka bahari kwenda kutibiwa huko. Hivyo hili sio ishu tena.

Umaskini - Yeah huyu ni adui. Lkn ili kumuondoa huyu tunahitaji Kwanza kuondoa Uoga na Upumbavu. Trust me chanzo kikuu cha umaskini ni uoga, Uvivu na Upumbavu.

Kwangu mie naona kwa sasa maadui wakubwa wa Taifa letu ni: Uoga, Uvivu na Upumbavu hahahahahaha.

Uoga simaanishi kwenye mambo ya siasa bali kwenye kupambana kujikomboa kifikra, kimapato, nk. Uvivu hii ipo very clear. Upumbavu ni kuacha ku deal na nonsenses badala yake tu deal na masuala yenye tija zaidi. Kuna Semina moja niliwahi kuhudhuria Shigongo anafundisha. Nakumbuka aliasa kwamba hili ni Taifa la masikharamasikhara. Kuna mtu anabisha?

Nini kitakuja kuwaondoa CCM madarakani? Wala sio CHADEMA ama chama chochote cha kisiasa, bali ni:

(AJIRA NA HALI NGUMU YA MAISHA)

Kadri kundi la wasio na ajira wanavyozidi kuongezeka; na kadri kundi la wenye ugumu wa maisha linavyozidi kuongezeka ndivyo CCM inavyozidi kuwa na hali ngumu kisiasa.

Nauliza 'TANZANIA DREAM' ni ipi?

Kumradhi: Sijui nimeandika nini, ila nimejikuta nimeandika tu. Lkn naomba msamaha kwa kila mmoja kama nimewakwaza baadhi.
 
The Lobbying street

Umechambua vizuri mapungufu ya kiuongozi na udhaifu wa serikali ya CCM ambayo toka uhuru ni serikali ya "chama kimoja" kushika hatamu ya uongozi kama historia inavyoonesha.

Mbaya zaidi hulka ya ubaguzi ya kutowahushisha watanzania wengine wengi wasio wana CCM, chama-kongwe bado hakijataka kuiacha tabia hiyo toka uhuru na hivyo kukosa mawazo mazuri mbadala na ndiyo maana nchi imepata mkwamo toka uhuru mpaka leo hii.
 
Tunafanya mambo kimzahamzaha tu. Na wengi wetu tunaishi kwa kubahatisha bahatisha na kimungumungu. Unafiki ndio Hulka yetu. Kila mtu Tanzania haitendei haki nafasi yake kwaanzia viongozi wa juu hadi mwananchi wa hali ya chini.

Tunashindwa kuelewa nchi haijengwi na mtu au vikundi vya watu fulani. Nchi inajengwa na kila mtu anayeishi humu katika nafasi yake.
 
21 October 2021

Utatuzi wa Matatizo na Dr Godwin Gunewe na Dr Godwin Gunewe ndani ya STARTV


  • Vyama tawala Afrika vinaandika ilani bila kujua jinsi ya kutiimiza matamanio hayo bila kuzua tatizo kubwa mfano kutamani miradi mikubwa na kuianzisha bila kujua itaitumbukiza nchi na wananchi ktk matatizo makubwa zaidi n.k
  • Viongozi wanapoahidi kitu basi wanazua tatizo kwani hawajui jinsi ya kutatua kwa ufanisi na kwa faida
  • Viongozi wanajua matatizo lakini hawajui jinsi ya kuyatatua matokeo yake viongozi wanatengeneza matatizo zaidi
  • Viongozi wa kiAfrika na pia wa Tanzania wanatumia mihemuko kufanya maamuzi bila kujua chanzo cha kitu na kutafuta ufumbuzi usioleta matatizo makubwa siku za usoni
  • N.k
Source : Dr. Godwin Gunewe
 
Kumradhi kwa kila mtu naomba nisionekane nimetukana ila huu ni mtazamo wangu tu.

Kila kitu ni uzoefu. I mean kila kitu ili kifanyike kwa usahihi mkubwa panahitajika uzoefu. Hii ni law of nature in doing things.
....
Nauliza 'TANZANIA DREAM' ni ipi?
...

Uchambuzi wako unafikirisha kwa maana kwamba "the wheel has been invented", kifanyike nini? Kulitumia au kuliboresha hilo gurudumu la maendeleo?

Desemba 2021 Tanzania huru inafikisha miaka 60, ambao ni umri wa mzee, kitaifa, tumefanikiwa kwa lipi?

Nyerere, Baba wa Taifa alitaka tusukume gurudumu la maendeleo kulifikisha kileleni kupitia Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea (TANZANIA DREAM - kwangu mimi). Akaja na Azimio la Arusha. Toka wakati huo viongozi waliofuata walishindwa kutafsiri falfasa, dhana na Sera hiyo ya maendeleo, kwa vitendo (kulisukuma gurudumu la maendeleo au kulivuta!). Yawezekana ikawa, kama ulivyohoji, kuwa ni Uoga, Uvivu, Upumbavu. Maswali ya kujiuliza nani Mwoga, Mvivu, Mpumbavu? Ni nini chanzo kikuu cha hali hiyo? Je, upi ni mwarobaini?
 
Umeandika vyema. Haya yote yanahitaji kuweko kwa dira sahihi ambayo hupatikana kwa kuwa na watu wenye weledi (wenye elimu) na siku zote tunajisifia Watanzania tunayo elimu hasa humu JF. Kinakosekana nini au tumekosea wapi? Kumbuka nawe ni Mtanzania pia.
 
Chanzo cha uoga ni Policeccm na gvt kutozingatia msingi wa haki, chanzo cha uvivu ni hulka tu ya kuridhika na nafasi mtu aliyepo, chanzo cha upumbavu kama ulivyosema ni ushabiki mandazi! Kushabikia mambo yasio na maana!

Kuondokana na haya yote itachukua muda sana maana vizazi vinavyozaliwa sasa ndio vipo weak zaidi yetu!
 
Hongera sana kwa andiko lenye kufikirisha.

Tatizo kubwa hasa katika inchi yetu ni mfumo wa Siasa ambao umedidimiza fikra za wananchi wake.

Siasa zimechukua sehemu kubwa sana ya maisha ya sisi Watanzania, matokeo yake mambo muhimu kama kubadili Katiba yetu, yanachukuliwa kisiasa.

Katiba bora ambayo itampa kila mwananchi nguvu ya kuhoji matumizi ya fedha za imma, inawezakuwa sehemu ya majibu ya Dira ya nchi yetu. Leo hii Raia wa marekani ana thamani kubwa sana kuliko raia wa Tanzania, sababu kubwa ni nguvu ya katiba inayo heshimu utu na thamani ya Raia. n ahiyo imekuwa ikirithiwa kizazi hadi kizazi.

Nakuunga mkono kuwa, Tanzania hatuna uzoefu kama nchi, na ndio mana hatuna Dira kama nchi.
Kila Rais anakuja na mambo yake yake:
 
Mbaya zaidi hulka ya ubaguzi ya kutowahushisha watanzania wengine wengi wasio wana CCM , chama-kongwe bado hakijataka kuiacha tabia hiyo toka uhuru na hivyo kukosa mawazo mazuri mbadala na ndiyo maana nchi imepata mkwamo toka uhuru mpaka leo hii.

Hiyo paragraph yako ya pili imebeba ujumbe mzito sana tena sana...wapo watanzania wengi sana ndani na nje ya nchi wako nje ya mfumo sio wanasiasa wako smart na wangeweza kuisaidia sana hii nchi TATIZO MFUMO sio rafiki kwao...
 
Tuanze kwanza, uzoefu ni nini?
Uzoefu unapatikanaje?

Je, wenzetu waliupataje huo uzoefu kwa namna unavyopatikana,wenzetu wameendeleaje kwa kutokana namna ya tafsiri ya usoefu

Je, shida ni uzoefu tu ama kuna MAKUBWA zaidi ya haka kauzoefu?
 
Chanzo cha uoga ni Policeccm na gvt kutozingatia msingi wa haki, chanzo cha uvivu ni hulka tu ya kuridhika na nafasi mtu aliyepo, chanzo cha upumbavu kama ulivyosema ni ushabiki mandazi! Kushabikia mambo yasio na maana!

Kuondokana na haya yote itachukua muda sana maana vizazi vinavyozaliwa sasa ndio vipo weak zaidi yetu!

aka wazee wa bia tamu. Hiki kizazi kinachokuja mbele huko majanga sana.. nina wasiwasi sana na lishe tunayoitumia katika hii nchi hasa huu Ugali.
 
Uzi wako wote umeharibika ulipomtumia Shigongo kama rejea.
Kumradhi kwa kila mtu naomba nisionekane nimetukana ila huu ni mtazamo wangu tu.

Kila kitu ni uzoefu. I mean kila kitu ili kifanyike kwa usahihi mkubwa panahitajika uzoefu. Hii ni law of nature in doing things.

Watu wengi hulalamika kuhusu mwenendo wa Tanzania kisiasa, kielimu, nk.

Watu hulalamika kuhusu Mahakama, Bunge, Serikali, n.k.

Watu wengi zaidi humlalamikia Mama wa watu Rais Samia na kumtwisha kila mzigo kuhusu mengi kwenye nchi hii, lakini ukweli ni huu hapa:

Tanzania kama Tanzania haina uzoefu qa kuwa nchi. Soma historia with open minds utaelewa hili.

J. K. Nyerere ndio rais wa Kwanza TANZANIA, ndio Waziri Mkuu wa Kwanza TANZANIA. Namaanisha kabla ya Nyerere Tanzania haikuwa na uzoefu wowote ule wa kuwa nchi huru, bali muda wote lilikuwa koloni tu.

Nawakumbusha tu Mama Maria na wake wengine wa viongozi founders wa Tanzania bado wapo hai hadi sasa hiki ni kiashiria tosha kwamba bado Tanzania ni changa haina uzoefu wa kuwa nchi.

Nyerere aliiga kila kitu maana hana ajualo. Mfumo wa uchumi, mfumo wa elimu, mfumo wa kisiasa, mfumo wa ulinzi wa Taifa, mfumo wa Jeshi la Polisi, yaani kila kitu maana hana ajualo.

Kwa kifupi yeye kupewa hajui nini atafanya zaidi zaidi ni kufuata mkumbo wengine wanafanyaje maana yeye ndo Kiongozi wa juu wa Kwanza kwenye nchi.

Miaka ya 1978/1979/1980 na kuendelea kidogo Mzee Baba aizamishe nchi kiuchumi maana ndo hivyo tena vita tunapigana hatuna uzoefu na mambo hayaendi ki ujumla. Tanzania haina uzoefu na mambo hayo.

Akaja Mwinyi. Akafanya anavyojua huku Nyerere akimnanga mara kwa mara lakini ndio hivyo naye anafanya ajualo maana uzoefu wa ki nchi kuwa nchi bado ni mdogo sana. Akapita na ruksa yake mambo yakaendelea.

Akaja mkapa akaunda taasisi kibao kama unavyoziona akina TRA n.k. Akaona isiwe ishu akabinafsisha ajuavyo naye akapita miaka yake 10. Bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Akaja J. M. Kikwete. Naye akaendelea kufanya ajuavyo kwa aonavyo yeye. Lkn bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Akaja JPM naye akafanya ajuavyo. Bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Now, tupo na Rais Samia zigo lote kwake. Lakini bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Ukitazama toka Nyerere hadi Rais Samia utaona kitu kimoja kinamis. Hiki hapa: TANZANIA ni nini?

Niwakumbushe kidogo. Kwa wale wanaopenda kufuatilia film za USA kuna kamsemo wanasemaga 'This is America' yaani dizain km they have their own ways of doing matters kwa namna ya kujisifu. Zaidiiiiiiiiii wao wana kitu huita 'American Dream' na hiki ndiko haswa Tanzania haina.

Tanzania haina 'Tanzania Dream' bali kila ajaye hufanya aonavyo. Why? B'se TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi. Unadhani ni kwanini? Ni kwa sababu ya mlolongo wa vitu vidogo vidogo mfano:

  • Raia hawana uzoefu wa kuwa raia
  • Viongozi hawana uzoefu wa kuwa viongozi
  • Tanzania haina uzoefu wa kunyima haki raia
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwapa haki raia
  • Tanzania haina uzoefu wa kuharibu mfumo wa siasa
  • Tanzania haina uzoefu wa kuimarisha mfumo wa siasa
  • Tanzania haina uzoefu wa wananchi wake kukosa ajira
  • Tanzania haina uzoefu wa masuala ya uchumi na biashara
  • Tanzania haina uzoefu wa kutoingilia mihimili mingine
  • Tanzania haina uzoefu wa kuingilia mihimili mingine
  • Tanzania haina uzoefu wa kuharibu mifumo ya elimu
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa maskini
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa tajiri
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa high performance kwenye masuala mbalimbali

Kwa maneno mengine: Tanzania haina uzoefu wa chochote kile. Usije kusema tuna uzoefu wa kupigania Uhuru maana Uhuru tumepewa mezani.

Uzoefu huleta impacts, husababisha consequences ziwe positive ama negative.

YAANI UKIWA NA UZOEFU UNAKUWA UNAJUA NIKIFANYA HIVI KITATOKEA HIKI AMA HAKITATOKEA KILE; NA NISIPOFANYA HIKI KITATOKEA KILE AMA HAKITATOKEA KILE. NIKIKWAMA KUFANYA HIKI, NAJARIBU ROUTE HII NA ILE HADI NAFANIKISHA. HUU NDIO UZOEFU. LAKINI HAPA NAZUNGUMZIA KATIKA LEVEL YA KI NCHI.

Kwa mfano Magufuli alikuwa akizungumzia sana uchumi viwanda. Na asichojua ni kwamba viwanda ni uchumi wa wazungu toka miaka ya 188.. na wamechapana hasa sababu ya viwanda. Mwishowe hakuna viwanda Tanzania kama ilivyopigwa promo.

Kwa mfano: Kwa sasa wamachinga wanaondolewa barabarani, kimsingi ni Jambo jema. Lkn hv kuna mtu amewahi kufikiria nini kimesababisha ongezeko la machinga kiasi hiki?

Nionavyo mimi ni kwamba: Hili la machinga ni indication ya wazi kabisa kuwa muelekeo wa uchumi wa kitaifa upo in a very wrong direction. Maana tunaumba Taifa la wachuuzi wa bidhaa feki za wachina.

Kwa nini imekuwa hv? Ni kwa sababu hatuna a 'TANZANIA DREAM' ambayo ipo very clear kwa kila mtanzania kiasi kwamba yeyote awe Kiongozi ama raia atakayehujumu harakati za 'Tanzania Dream' basi huyo halali yetu.

Kuna mtu atasema Tanzania Dream ni kuondoa Ujinga, Maradhi na Umaskini.

Mm nadhani ujinga - tuna shule kila Kona na vyuo kila Kona na internet juu hahahhaah hivyo ujinga is no more.

Maradhi - Hospitals kila pahala, Watalaam kila kona. Tena siku hz tunavuka bahari kwenda kutibiwa huko. Hivyo hili sio ishu tena.

Umaskini - Yeah huyu ni adui. Lkn ili kumuondoa huyu tunahitaji Kwanza kuondoa Uoga na Upumbavu. Trust me chanzo kikuu cha umaskini ni uoga, Uvivu na Upumbavu.

Kwangu mie naona kwa sasa maadui wakubwa wa Taifa letu ni: Uoga, Uvivu na Upumbavu hahahahahaha.

Uoga simaanishi kwenye mambo ya siasa bali kwenye kupambana kujikomboa kifikra, kimapato, nk. Uvivu hii ipo very clear. Upumbavu ni kuacha ku deal na nonsenses badala yake tu deal na masuala yenye tija zaidi. Kuna Semina moja niliwahi kuhudhuria Shigongo anafundisha. Nakumbuka aliasa kwamba hili ni Taifa la masikharamasikhara. Kuna mtu anabisha?

Nini kitakuja kuwaondoa CCM madarakani? Wala sio CHADEMA ama chama chochote cha kisiasa, bali ni:

(AJIRA NA HALI NGUMU YA MAISHA)

Kadri kundi la wasio na ajira wanavyozidi kuongezeka; na kadri kundi la wenye ugumu wa maisha linavyozidi kuongezeka ndivyo CCM inavyozidi kuwa na hali ngumu kisiasa.

Nauliza 'TANZANIA DREAM' ni ipi?

Kumradhi: Sijui nimeandika nini, ila nimejikuta nimeandika tu. Lkn naomba msamaha kwa kila mmoja kama nimewakwaza baadhi.
 
Kumradhi kwa kila mtu naomba nisionekane nimetukana ila huu ni mtazamo wangu tu.

Kila kitu ni uzoefu. I mean kila kitu ili kifanyike kwa usahihi mkubwa panahitajika uzoefu. Hii ni law of nature in doing things.

Watu wengi hulalamika kuhusu mwenendo wa Tanzania kisiasa, kielimu, nk.

Watu hulalamika kuhusu Mahakama, Bunge, Serikali, n.k.

Watu wengi zaidi humlalamikia Mama wa watu Rais Samia na kumtwisha kila mzigo kuhusu mengi kwenye nchi hii, lakini ukweli ni huu hapa:

Tanzania kama Tanzania haina uzoefu qa kuwa nchi. Soma historia with open minds utaelewa hili.

J. K. Nyerere ndio rais wa Kwanza TANZANIA, ndio Waziri Mkuu wa Kwanza TANZANIA. Namaanisha kabla ya Nyerere Tanzania haikuwa na uzoefu wowote ule wa kuwa nchi huru, bali muda wote lilikuwa koloni tu.

Nawakumbusha tu Mama Maria na wake wengine wa viongozi founders wa Tanzania bado wapo hai hadi sasa hiki ni kiashiria tosha kwamba bado Tanzania ni changa haina uzoefu wa kuwa nchi.

Nyerere aliiga kila kitu maana hana ajualo. Mfumo wa uchumi, mfumo wa elimu, mfumo wa kisiasa, mfumo wa ulinzi wa Taifa, mfumo wa Jeshi la Polisi, yaani kila kitu maana hana ajualo.

Kwa kifupi yeye kupewa hajui nini atafanya zaidi zaidi ni kufuata mkumbo wengine wanafanyaje maana yeye ndo Kiongozi wa juu wa Kwanza kwenye nchi.

Miaka ya 1978/1979/1980 na kuendelea kidogo Mzee Baba aizamishe nchi kiuchumi maana ndo hivyo tena vita tunapigana hatuna uzoefu na mambo hayaendi ki ujumla. Tanzania haina uzoefu na mambo hayo.

Akaja Mwinyi. Akafanya anavyojua huku Nyerere akimnanga mara kwa mara lakini ndio hivyo naye anafanya ajualo maana uzoefu wa ki nchi kuwa nchi bado ni mdogo sana. Akapita na ruksa yake mambo yakaendelea.

Akaja mkapa akaunda taasisi kibao kama unavyoziona akina TRA n.k. Akaona isiwe ishu akabinafsisha ajuavyo naye akapita miaka yake 10. Bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Akaja J. M. Kikwete. Naye akaendelea kufanya ajuavyo kwa aonavyo yeye. Lkn bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Akaja JPM naye akafanya ajuavyo. Bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Now, tupo na Rais Samia zigo lote kwake. Lakini bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Ukitazama toka Nyerere hadi Rais Samia utaona kitu kimoja kinamis. Hiki hapa: TANZANIA ni nini?

Niwakumbushe kidogo. Kwa wale wanaopenda kufuatilia film za USA kuna kamsemo wanasemaga 'This is America' yaani dizain km they have their own ways of doing matters kwa namna ya kujisifu. Zaidiiiiiiiiii wao wana kitu huita 'American Dream' na hiki ndiko haswa Tanzania haina.

Tanzania haina 'Tanzania Dream' bali kila ajaye hufanya aonavyo. Why? B'se TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi. Unadhani ni kwanini? Ni kwa sababu ya mlolongo wa vitu vidogo vidogo mfano:

  • Raia hawana uzoefu wa kuwa raia
  • Viongozi hawana uzoefu wa kuwa viongozi
  • Tanzania haina uzoefu wa kunyima haki raia
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwapa haki raia
  • Tanzania haina uzoefu wa kuharibu mfumo wa siasa
  • Tanzania haina uzoefu wa kuimarisha mfumo wa siasa
  • Tanzania haina uzoefu wa wananchi wake kukosa ajira
  • Tanzania haina uzoefu wa masuala ya uchumi na biashara
  • Tanzania haina uzoefu wa kutoingilia mihimili mingine
  • Tanzania haina uzoefu wa kuingilia mihimili mingine
  • Tanzania haina uzoefu wa kuharibu mifumo ya elimu
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa maskini
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa tajiri
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa high performance kwenye masuala mbalimbali

Kwa maneno mengine: Tanzania haina uzoefu wa chochote kile. Usije kusema tuna uzoefu wa kupigania Uhuru maana Uhuru tumepewa mezani.

Uzoefu huleta impacts, husababisha consequences ziwe positive ama negative.

YAANI UKIWA NA UZOEFU UNAKUWA UNAJUA NIKIFANYA HIVI KITATOKEA HIKI AMA HAKITATOKEA KILE; NA NISIPOFANYA HIKI KITATOKEA KILE AMA HAKITATOKEA KILE. NIKIKWAMA KUFANYA HIKI, NAJARIBU ROUTE HII NA ILE HADI NAFANIKISHA. HUU NDIO UZOEFU. LAKINI HAPA NAZUNGUMZIA KATIKA LEVEL YA KI NCHI.

Kwa mfano Magufuli alikuwa akizungumzia sana uchumi viwanda. Na asichojua ni kwamba viwanda ni uchumi wa wazungu toka miaka ya 188.. na wamechapana hasa sababu ya viwanda. Mwishowe hakuna viwanda Tanzania kama ilivyopigwa promo.

Kwa mfano: Kwa sasa wamachinga wanaondolewa barabarani, kimsingi ni Jambo jema. Lkn hv kuna mtu amewahi kufikiria nini kimesababisha ongezeko la machinga kiasi hiki?

Nionavyo mimi ni kwamba: Hili la machinga ni indication ya wazi kabisa kuwa muelekeo wa uchumi wa kitaifa upo in a very wrong direction. Maana tunaumba Taifa la wachuuzi wa bidhaa feki za wachina.

Kwa nini imekuwa hv? Ni kwa sababu hatuna a 'TANZANIA DREAM' ambayo ipo very clear kwa kila mtanzania kiasi kwamba yeyote awe Kiongozi ama raia atakayehujumu harakati za 'Tanzania Dream' basi huyo halali yetu.

Kuna mtu atasema Tanzania Dream ni kuondoa Ujinga, Maradhi na Umaskini.

Mm nadhani ujinga - tuna shule kila Kona na vyuo kila Kona na internet juu hahahhaah hivyo ujinga is no more.

Maradhi - Hospitals kila pahala, Watalaam kila kona. Tena siku hz tunavuka bahari kwenda kutibiwa huko. Hivyo hili sio ishu tena.

Umaskini - Yeah huyu ni adui. Lkn ili kumuondoa huyu tunahitaji Kwanza kuondoa Uoga na Upumbavu. Trust me chanzo kikuu cha umaskini ni uoga, Uvivu na Upumbavu.

Kwangu mie naona kwa sasa maadui wakubwa wa Taifa letu ni: Uoga, Uvivu na Upumbavu hahahahahaha.

Uoga simaanishi kwenye mambo ya siasa bali kwenye kupambana kujikomboa kifikra, kimapato, nk. Uvivu hii ipo very clear. Upumbavu ni kuacha ku deal na nonsenses badala yake tu deal na masuala yenye tija zaidi. Kuna Semina moja niliwahi kuhudhuria Shigongo anafundisha. Nakumbuka aliasa kwamba hili ni Taifa la masikharamasikhara. Kuna mtu anabisha?

Nini kitakuja kuwaondoa CCM madarakani? Wala sio CHADEMA ama chama chochote cha kisiasa, bali ni:

(AJIRA NA HALI NGUMU YA MAISHA)

Kadri kundi la wasio na ajira wanavyozidi kuongezeka; na kadri kundi la wenye ugumu wa maisha linavyozidi kuongezeka ndivyo CCM inavyozidi kuwa na hali ngumu kisiasa.

Nauliza 'TANZANIA DREAM' ni ipi?

Kumradhi: Sijui nimeandika nini, ila nimejikuta nimeandika tu. Lkn naomba msamaha kwa kila mmoja kama nimewakwaza baadhi.
great thinker.
 
Tatizo sio ugali, bali unaliwa na nini.

Kuna watu wanakula ugali na mchicha tu, au bamia na nyanya chungu.
aka wazee wa bia tamu....hiki kizazi kinachokuja mbele huko majanga sana.. nina wasiwasi sana na lishe tunayoitumia katika hii nchi hasa huu Ugali....
 
Bado sana

Ni kwa vigezo gani hasa mtu kama Makongoro Nyerere apewe ukuu wa mkoa?

Aiwezekani

Inabidu tuambiane ukweli mtu kama Makongoro zaidi ya ubini wake ni jitu jinga tu ata ukimsikiliza hana ata uwezo wa kutoa kauli zenye staha sasa ni vigezo gani vilivyotumika kumteua huyo mtu kuwa mkuu wa mkoa.

Tumechezewa vya kutosha.

Binafsi sina shida mtu kama mke wa Nikki wa pili angekuwa ana-andaliwa kuwa CAG au ata TISS wakaanza kumuandaa kuja kuwa kiongozi mkubwa baadae kwa njia zao.

Uwezi kubishana na uwezo; Lakini kuna watu unaona kabisa ni nonsense.
 
Tatizo sio ugali, bali unaliwa na nini.
Kuna watu wanakula ugali na mchicha tu, au bamia na nyanya chungu.
Hii ndio shida yenu wafuasi wa JK, dharau.

Yaani amuoni shida kutuita watu wengine maskini wakati mnaishi kwa kodi zetu.

We jamaa una dharau sana, kwa watu wasio na kipato.
 
Kumradhi kwa kila mtu naomba nisionekane nimetukana ila huu ni mtazamo wangu tu.

Kila kitu ni uzoefu. I mean kila kitu ili kifanyike kwa usahihi mkubwa panahitajika uzoefu. Hii ni law of nature in doing things.

Watu wengi hulalamika kuhusu mwenendo wa Tanzania kisiasa, kielimu, nk.

Watu hulalamika kuhusu Mahakama, Bunge, Serikali, n.k.

Watu wengi zaidi humlalamikia Mama wa watu Rais Samia na kumtwisha kila mzigo kuhusu mengi kwenye nchi hii, lakini ukweli ni huu hapa:

Tanzania kama Tanzania haina uzoefu qa kuwa nchi. Soma historia with open minds utaelewa hili.

J. K. Nyerere ndio rais wa Kwanza TANZANIA, ndio Waziri Mkuu wa Kwanza TANZANIA. Namaanisha kabla ya Nyerere Tanzania haikuwa na uzoefu wowote ule wa kuwa nchi huru, bali muda wote lilikuwa koloni tu.

Nawakumbusha tu Mama Maria na wake wengine wa viongozi founders wa Tanzania bado wapo hai hadi sasa hiki ni kiashiria tosha kwamba bado Tanzania ni changa haina uzoefu wa kuwa nchi.

Nyerere aliiga kila kitu maana hana ajualo. Mfumo wa uchumi, mfumo wa elimu, mfumo wa kisiasa, mfumo wa ulinzi wa Taifa, mfumo wa Jeshi la Polisi, yaani kila kitu maana hana ajualo.

Kwa kifupi yeye kupewa hajui nini atafanya zaidi zaidi ni kufuata mkumbo wengine wanafanyaje maana yeye ndo Kiongozi wa juu wa Kwanza kwenye nchi.

Miaka ya 1978/1979/1980 na kuendelea kidogo Mzee Baba aizamishe nchi kiuchumi maana ndo hivyo tena vita tunapigana hatuna uzoefu na mambo hayaendi ki ujumla. Tanzania haina uzoefu na mambo hayo.

Akaja Mwinyi. Akafanya anavyojua huku Nyerere akimnanga mara kwa mara lakini ndio hivyo naye anafanya ajualo maana uzoefu wa ki nchi kuwa nchi bado ni mdogo sana. Akapita na ruksa yake mambo yakaendelea.

Akaja mkapa akaunda taasisi kibao kama unavyoziona akina TRA n.k. Akaona isiwe ishu akabinafsisha ajuavyo naye akapita miaka yake 10. Bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Akaja J. M. Kikwete. Naye akaendelea kufanya ajuavyo kwa aonavyo yeye. Lkn bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Akaja JPM naye akafanya ajuavyo. Bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Now, tupo na Rais Samia zigo lote kwake. Lakini bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Ukitazama toka Nyerere hadi Rais Samia utaona kitu kimoja kinamis. Hiki hapa: TANZANIA ni nini?

Niwakumbushe kidogo. Kwa wale wanaopenda kufuatilia film za USA kuna kamsemo wanasemaga 'This is America' yaani dizain km they have their own ways of doing matters kwa namna ya kujisifu. Zaidiiiiiiiiii wao wana kitu huita 'American Dream' na hiki ndiko haswa Tanzania haina.

Tanzania haina 'Tanzania Dream' bali kila ajaye hufanya aonavyo. Why? B'se TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi. Unadhani ni kwanini? Ni kwa sababu ya mlolongo wa vitu vidogo vidogo mfano:

  • Raia hawana uzoefu wa kuwa raia
  • Viongozi hawana uzoefu wa kuwa viongozi
  • Tanzania haina uzoefu wa kunyima haki raia
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwapa haki raia
  • Tanzania haina uzoefu wa kuharibu mfumo wa siasa
  • Tanzania haina uzoefu wa kuimarisha mfumo wa siasa
  • Tanzania haina uzoefu wa wananchi wake kukosa ajira
  • Tanzania haina uzoefu wa masuala ya uchumi na biashara
  • Tanzania haina uzoefu wa kutoingilia mihimili mingine
  • Tanzania haina uzoefu wa kuingilia mihimili mingine
  • Tanzania haina uzoefu wa kuharibu mifumo ya elimu
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa maskini
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa tajiri
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa high performance kwenye masuala mbalimbali

Kwa maneno mengine: Tanzania haina uzoefu wa chochote kile. Usije kusema tuna uzoefu wa kupigania Uhuru maana Uhuru tumepewa mezani.

Uzoefu huleta impacts, husababisha consequences ziwe positive ama negative.

YAANI UKIWA NA UZOEFU UNAKUWA UNAJUA NIKIFANYA HIVI KITATOKEA HIKI AMA HAKITATOKEA KILE; NA NISIPOFANYA HIKI KITATOKEA KILE AMA HAKITATOKEA KILE. NIKIKWAMA KUFANYA HIKI, NAJARIBU ROUTE HII NA ILE HADI NAFANIKISHA. HUU NDIO UZOEFU. LAKINI HAPA NAZUNGUMZIA KATIKA LEVEL YA KI NCHI.

Kwa mfano Magufuli alikuwa akizungumzia sana uchumi viwanda. Na asichojua ni kwamba viwanda ni uchumi wa wazungu toka miaka ya 188.. na wamechapana hasa sababu ya viwanda. Mwishowe hakuna viwanda Tanzania kama ilivyopigwa promo.

Kwa mfano: Kwa sasa wamachinga wanaondolewa barabarani, kimsingi ni Jambo jema. Lkn hv kuna mtu amewahi kufikiria nini kimesababisha ongezeko la machinga kiasi hiki?

Nionavyo mimi ni kwamba: Hili la machinga ni indication ya wazi kabisa kuwa muelekeo wa uchumi wa kitaifa upo in a very wrong direction. Maana tunaumba Taifa la wachuuzi wa bidhaa feki za wachina.

Kwa nini imekuwa hv? Ni kwa sababu hatuna a 'TANZANIA DREAM' ambayo ipo very clear kwa kila mtanzania kiasi kwamba yeyote awe Kiongozi ama raia atakayehujumu harakati za 'Tanzania Dream' basi huyo halali yetu.

Kuna mtu atasema Tanzania Dream ni kuondoa Ujinga, Maradhi na Umaskini.

Mm nadhani ujinga - tuna shule kila Kona na vyuo kila Kona na internet juu hahahhaah hivyo ujinga is no more.

Maradhi - Hospitals kila pahala, Watalaam kila kona. Tena siku hz tunavuka bahari kwenda kutibiwa huko. Hivyo hili sio ishu tena.

Umaskini - Yeah huyu ni adui. Lkn ili kumuondoa huyu tunahitaji Kwanza kuondoa Uoga na Upumbavu. Trust me chanzo kikuu cha umaskini ni uoga, Uvivu na Upumbavu.

Kwangu mie naona kwa sasa maadui wakubwa wa Taifa letu ni: Uoga, Uvivu na Upumbavu hahahahahaha.

Uoga simaanishi kwenye mambo ya siasa bali kwenye kupambana kujikomboa kifikra, kimapato, nk. Uvivu hii ipo very clear. Upumbavu ni kuacha ku deal na nonsenses badala yake tu deal na masuala yenye tija zaidi. Kuna Semina moja niliwahi kuhudhuria Shigongo anafundisha. Nakumbuka aliasa kwamba hili ni Taifa la masikharamasikhara. Kuna mtu anabisha?

Nini kitakuja kuwaondoa CCM madarakani? Wala sio CHADEMA ama chama chochote cha kisiasa, bali ni:

(AJIRA NA HALI NGUMU YA MAISHA)

Kadri kundi la wasio na ajira wanavyozidi kuongezeka; na kadri kundi la wenye ugumu wa maisha linavyozidi kuongezeka ndivyo CCM inavyozidi kuwa na hali ngumu kisiasa.

Nauliza 'TANZANIA DREAM' ni ipi?

Kumradhi: Sijui nimeandika nini, ila nimejikuta nimeandika tu. Lkn naomba msamaha kwa kila mmoja kama nimewakwaza baadhi.
Hongera sana! Kama kuna siku uliwahi kujidharau kwamba wewe si kitu basi nikuambie tu kuwa wewe una akili kubwa sana! Niliposoma maandiko yako haya nikamkumbuka hakimu wa ya kesi ya Mbowe. Kwamba tunamlaumu kwa kupindisha ukweli, ni kweli kapindisha ukweli lakini ukweli ni kwamba majaji wa Tanzania hawana uzoefu wa kutenda haki, wanaamua kulingana na matakwa ya upande fulani wenye nguvu na mamlaka juu yao. Hawana uzoefu wa kufuata katiba, hawana uzoefu wa kufuata weledi wa taaluma zao, hawana uzoefu wa kuficha interests zao. kwa ujumla TZ haina uzoefu wa kuwa nchi. Nchi ni kitu kikubwa sana tena sana! Kuwa nchi kunahitaji msuli zaidi ya msuli wa tamaa, itikadi ya chama au dini, matakwa binafsi, hofu, woga, kujipendekeza, kutaka kumfurahisha mtu fulani au mkubwa fulani. Ushahidi ni kesi ya Sabaya ya kujitetea kuwa "Nilitumwa na mamlaka iliyoniteua". Nchi haihitaji watu wanaofanya kwa kutumwa na maslahi ya mtu binafsi. Sina uhakika ni lini tutakuwa nchi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom