Tanzania haikuwa na Raia wanaoishi Afrika ya kusini?! Maanake Ndege jana imerudi tupu

Bombardear

JF-Expert Member
Aug 24, 2017
241
193
Kutokana na machafuko yanayoendelea Afrika Kusini nimeona baadhi ya mataifa mbalimbali yanavyoishutumu Afrika ya Kusini kwa ubaguzi wizi na uporaji na hivyo kutishia baadhi ya raia wa kigeni kuingia Nchini humo.

Nimeona Raisi mwenye akili nyingi na anaehhurumia wananchi wake akituma ndege 4 kwa ajili ya kuwatoa raia wake wanaoishi humo.Napia kafunga balozi zake katika miji ya Johanesburg na pretoria mpaka hali itakapokuwa sawa.

Swali ninalojiuliza hivi Tanzania haikuwa na Raia wanaoishi Afrika ya kusini?! Maanake Ndege jana imerudi tupu huku mawakili na baaadhi ya viongozi wakipiga selfie za kutosha. Kuna baadhi ya mazezeta wa lumumba wanadai na wameshaanza kuitetea serikali eti watanzania wengi wanaoishi Afrika ya kusini wengi ni vibaka na majizi!?

Je haya ni ya kweli ?! Au ndo mtindo ukitaka kumuua paka mpe majina mabaya?! Serikali ijali watu wake kama Rais mwenye akili Wa Nigeria
 
Usitegemee kupata msaada kutoka balozi zetu tunapenda kujiona wema kumbe Ni wanafki Sasa Kama ndege inasepa kwann isiondoke na raia wake???????? Au ndio mpaka wafe ndio tuiyone serikali ikitoa tamko????

Mabaloz weng Ni mizigo hawajui maana ya ubaloz na majukumu yao na hata Kama wanayajua Ni roho mbaya zimewajaa Katika nafs zao.
 
Mkuu swala la ndege kusepa lilikua urgent maana ingekaa sana wangekata rufaa wale..
Kwahio ilikua isepe fasta ili wasiidake tena

Unaweza kukuta kesi inasoma injini zimeshawashwa huko
 
Kutokana na machafuko yanayoendelea Afrika Kusini nimeona baadhi ya mataifa mbalimbali yanavyoishutumu Afrika ya Kusini kwa ubaguzi wizi na uporaji na hivyo kutishia baadhi ya raia wa kigeni kuingia Nchini humo.Nimeona Raisi mwenye akili nyingi na anaehhurumia wananchi wake akituma ndege 4 kwa ajili ya kuwatoa raia wake wanaoishi humo.Napia kafunga balozi zake katika miji ya Johanesburg na pretoria mpaka hali itakapokuwa sawa.Swali ninalojiuliza hivi Tanzania haikuwa na Raia wanaoishi Afrika ya kusini?! Maanake Ndege jana imerudi tupu huku mawakili na baaadhi ya viongozi wakipiga selfie za kutosha. Kuna baadhi ya mazezeta wa lumumba wanadai na wameshaanza kuitetea serikali eti watanzania wengi wanaoishi Afrika ya kusini!? Je haya ni ya kweli!?
Wewe mwana kikosi cha roho mbaya uliyekuwa unashangilia ndege yetu kuzuiwa Afrika ya Kusini,huo mstari wa mwisho hujaeleweka ulitaka kuandika nini...!!!
 
Hii kitu ni very serous, yule mama amevuliwa nguo zote na kipigo chote hicho ee MUNGU nimeogopa
 
Kutokana na machafuko yanayoendelea Afrika Kusini nimeona baadhi ya mataifa mbalimbali yanavyoishutumu Afrika ya Kusini kwa ubaguzi wizi na uporaji na hivyo kutishia baadhi ya raia wa kigeni kuingia Nchini humo.Nimeona Raisi mwenye akili nyingi na anaehhurumia wananchi wake akituma ndege 4 kwa ajili ya kuwatoa raia wake wanaoishi humo.Napia kafunga balozi zake katika miji ya Johanesburg na pretoria mpaka hali itakapokuwa sawa.Swali ninalojiuliza hivi Tanzania haikuwa na Raia wanaoishi Afrika ya kusini?! Maanake Ndege jana imerudi tupu huku mawakili na baaadhi ya viongozi wakipiga selfie za kutosha. Kuna baadhi ya mazezeta wa lumumba wanadai na wameshaanza kuitetea serikali eti watanzania wengi wanaoishi Afrika ya kusini!? Je haya ni ya kweli!?
Mkuu hujasikiliza maelezo ya balozi. Hivi jamani vidole vinawawasha msipoandika JF? Halafu ulitaka waokotezwe kama maembe na unajua kama wengi hawana hata makaratasi?
 
Mkuu hujasikiliza maelezo ya balozi. Hivi jamani vidole vinawawasha msipoandika JF? Halafu ulitaka waokotezwe kama maembe na unajua kama wengi hawana hata makaratasi?
Kwahiyo maelezo ya waziri yanaweza kuwa muhimu kuliko uhai wa mtu,Kuna mwingine jana kasema akikuta umeua twiga anakutwanga risasi halafu ni kauli ya serikali, tatizo la tz viongozi ni kujipendekeza ipo sik huyo mnaemuabudu atawaomba 0714
 
Wakiongea kiswahili hawatasikika kule. English yenyewe shida. Sasa unataka tuwaambie hao wazulu kwa lugha gani ili watusikie jamani
 
Balozi za Tz huko nje ni mizigo, hazina msaada sana kwa Watz, balozi za nchi yetu ni mzigo mkubwa. Unapokuqa nje ya nchi ukipatwa na dharula usitegemee kupata msaada wa haraka kutoka ktk Ubalozi wa Tanzania uliopo kwenye nchi husika au hata nchi ya jirani, usitegemee kabisa hili, hili nimejifunza kutokana na uzoefu wangu Mimi mwenyewe binafsi wa kusafiri Mara nyingi ktk nchi mbalimbali hapa duniani. Maafisa wengi wa Ubalozi wa Balozi nyingi za Tanzania hapa duniani kama vile hawajielewi vile, hawajijui kama wapo huko ubalozini kwa sababu gani.

Kutokana na madhila niliyowahi kuyapata ktk balozi kadhaa za Tz huko duniani, wala sina hamu ya kufuata huduma kwenye ofisi za balozi za Tanzania, isipokuwa pale tu inapobidi na hakuna namna nyingine ya kufanya. Kwanza ukifika Ubalozi unaona kabisa ishara ya wazi maafisa wenyewe wa Ubalozi "wanalia njaa", narudia tena kusema msitegemee sana kupata msaada kutoka Ubalozi wa Tz mkiwa nje ya nchi. Mimi binafsi nimegundua njia mbadala, nikipatwa na tatizo au dharula yoyote nikiwa nje ya nchi, watu wa kwanza kuwasiliana nao ni Ofisi ya Umoja wa Mataifa ktk nchi husika, Ofisi ya UNHCR, Amnest International, n.k lakini siyo Ubalozi wa Tz. Kupitia Ofisi hizi za UN kwa hakika, nimekuwa nikipata msaada wa haraka zaidi tena kwa customer care ya hali ya juu kabisa kuliko kwenye Balozi zetu za Tz. Nawashauri Watz wenzangu mliopo nje ya Tz, muwe na namba za simu za maafisa au Ofisi za UN, UNHCR, Amnest International, etc, hawa wanaweza wakawasaidieni vizuri zaidi kwenye nchi mlizopo kuliko kutegemea msaada kutoka Ubalozi wa Tz huko mliko
.
Kwa huo Ubalozi wa Tz huko Afrika Kusini ndio kabisa uko hovyo kabisa, tangu zamani.KWA wale mnaokumbuka rejeeni tukio lililowahi kumkumba Balozi MWAMBULUKUTU akiwa jijini Pretoria alipokuwa balozi huko Afrika Kusini miaka ya nyuma, ndio mtaweza kuniekewa vizuri hicho nilichoelezea hapo juu.
 
Balozi za Tz huko nje ni mizigo, hazina msaada sana kwa Watz, balozi za nchi yetu ni mzigo mkubwa. Unapokuqa nje ya nchi ukipatwa na dharula usitegemee kupata msaada wa haraka kutoka ktk Ubalozi wa Tanzania uliopo kwenye nchi husika au hata nchi ya jirani, usitegemee kabisa hili, hili nimejifunza kutokana na uzoefu wangu Mimi mwenyewe binafsi wa kusafiri Mara nyingi ktk nchi mbalimbali hapa duniani. Maafisa wengi wa Ubalozi wa Balozi nyingi za Tanzania hapa duniani kama vile hawajielewi vile, hawajijui kama wapo huko ubalozini kwa sababu gani.

Kutokana na madhila niliyowahi kuyapata ktk balozi kadhaa za Tz huko duniani, wala sina hamu ya kufuata huduma kwenye ofisi za balozi za Tanzania, isipokuwa pale tu inapobidi na hakuna namna nyingine ya kufanya. Kwanza ukifika Ubalozi unaona kabisa ishara ya wazi maafisa wenyewe wa Ubalozi "wanalia njaa", narudia tena kusema msitegemee sana kupata msaada kutoka Ubalozi wa Tz mkiwa nje ya nchi. Mimi binafsi nimegundua njia mbadala, nikipatwa na tatizo au dharula yoyote nikiwa nje ya nchi, watu wa kwanza kuwasiliana nao ni Ofisi ya Umoja wa Mataifa ktk nchi husika, Ofisi ya UNHCR, Amnest International, n.k lakini siyo Ubalozi wa Tz. Kupitia Ofisi hizi za UN kwa hakika, nimekuwa nikipata msaada wa haraka zaidi tena kwa customer care ya hali ya juu kabisa kuliko kwenye Balozi zetu za Tz. Nawashauri Watz wenzangu mliopo nje ya Tz, muwe na namba za simu za maafisa au Ofisi za UN, UNHCR, Amnest International, etc, hawa wanaweza wakawasaidieni vizuri zaidi kwenye nchi mlizopo kuliko kutegemea msaada kutoka Ubalozi wa Tz huko mliko
.
Kwa huo Ubalozi wa Tz huko Afrika Kusini ndio kabisa uko hovyo kabisa, tangu zamani.KWA wale mnaokumbuka rejeeni tukio lililowahi kumkumba Balozi MWAMBULUKUTU akiwa jijini Pretoria alipokuwa balozi huko Afrika Kusini miaka ya nyuma, ndio mtaweza kuniekewa vizuri hicho nilichoelezea hapo juu.
Weka hizo namba tuwasadie ndugu zetu wa wawaeze kuepuka mateso wanayoyapata
 
Mkuu umemaliza ila inaonyesha kabisa uko vema ktk haya mambo nimesoma thread yako natamani iendelee ila post hata kamaada kamoja kuhusu hao jamaa wa balozi walivyo halafu unitag niendelee kupata uelewa zaidi
Balozi za Tz huko nje ni mizigo, hazina msaada sana kwa Watz, balozi za nchi yetu ni mzigo mkubwa. Unapokuqa nje ya nchi ukipatwa na dharula usitegemee kupata msaada wa haraka kutoka ktk Ubalozi wa Tanzania uliopo kwenye nchi husika au hata nchi ya jirani, usitegemee kabisa hili, hili nimejifunza kutokana na uzoefu wangu Mimi mwenyewe binafsi wa kusafiri Mara nyingi ktk nchi mbalimbali hapa duniani. Maafisa wengi wa Ubalozi wa Balozi nyingi za Tanzania hapa duniani kama vile hawajielewi vile, hawajijui kama wapo huko ubalozini kwa sababu gani.

Kutokana na madhila niliyowahi kuyapata ktk balozi kadhaa za Tz huko duniani, wala sina hamu ya kufuata huduma kwenye ofisi za balozi za Tanzania, isipokuwa pale tu inapobidi na hakuna namna nyingine ya kufanya. Kwanza ukifika Ubalozi unaona kabisa ishara ya wazi maafisa wenyewe wa Ubalozi "wanalia njaa", narudia tena kusema msitegemee sana kupata msaada kutoka Ubalozi wa Tz mkiwa nje ya nchi. Mimi binafsi nimegundua njia mbadala, nikipatwa na tatizo au dharula yoyote nikiwa nje ya nchi, watu wa kwanza kuwasiliana nao ni Ofisi ya Umoja wa Mataifa ktk nchi husika, Ofisi ya UNHCR, Amnest International, n.k lakini siyo Ubalozi wa Tz. Kupitia Ofisi hizi za UN kwa hakika, nimekuwa nikipata msaada wa haraka zaidi tena kwa customer care ya hali ya juu kabisa kuliko kwenye Balozi zetu za Tz. Nawashauri Watz wenzangu mliopo nje ya Tz, muwe na namba za simu za maafisa au Ofisi za UN, UNHCR, Amnest International, etc, hawa wanaweza wakawasaidieni vizuri zaidi kwenye nchi mlizopo kuliko kutegemea msaada kutoka Ubalozi wa Tz huko mliko
.
Kwa huo Ubalozi wa Tz huko Afrika Kusini ndio kabisa uko hovyo kabisa, tangu zamani.KWA wale mnaokumbuka rejeeni tukio lililowahi kumkumba Balozi MWAMBULUKUTU akiwa jijini Pretoria alipokuwa balozi huko Afrika Kusini miaka ya nyuma, ndio mtaweza kuniekewa vizuri hicho nilichoelezea hapo juu.
 
Balozi za Tz huko nje ni mizigo, hazina msaada sana kwa Watz, balozi za nchi yetu ni mzigo mkubwa. Unapokuqa nje ya nchi ukipatwa na dharula usitegemee kupata msaada wa haraka kutoka ktk Ubalozi wa Tanzania uliopo kwenye nchi husika au hata nchi ya jirani, usitegemee kabisa hili, hili nimejifunza kutokana na uzoefu wangu Mimi mwenyewe binafsi wa kusafiri Mara nyingi ktk nchi mbalimbali hapa duniani. Maafisa wengi wa Ubalozi wa Balozi nyingi za Tanzania hapa duniani kama vile hawajielewi vile, hawajijui kama wapo huko ubalozini kwa sababu gani.

Kutokana na madhila niliyowahi kuyapata ktk balozi kadhaa za Tz huko duniani, wala sina hamu ya kufuata huduma kwenye ofisi za balozi za Tanzania, isipokuwa pale tu inapobidi na hakuna namna nyingine ya kufanya. Kwanza ukifika Ubalozi unaona kabisa ishara ya wazi maafisa wenyewe wa Ubalozi "wanalia njaa", narudia tena kusema msitegemee sana kupata msaada kutoka Ubalozi wa Tz mkiwa nje ya nchi. Mimi binafsi nimegundua njia mbadala, nikipatwa na tatizo au dharula yoyote nikiwa nje ya nchi, watu wa kwanza kuwasiliana nao ni Ofisi ya Umoja wa Mataifa ktk nchi husika, Ofisi ya UNHCR, Amnest International, n.k lakini siyo Ubalozi wa Tz. Kupitia Ofisi hizi za UN kwa hakika, nimekuwa nikipata msaada wa haraka zaidi tena kwa customer care ya hali ya juu kabisa kuliko kwenye Balozi zetu za Tz. Nawashauri Watz wenzangu mliopo nje ya Tz, muwe na namba za simu za maafisa au Ofisi za UN, UNHCR, Amnest International, etc, hawa wanaweza wakawasaidieni vizuri zaidi kwenye nchi mlizopo kuliko kutegemea msaada kutoka Ubalozi wa Tz huko mliko
.
Kwa huo Ubalozi wa Tz huko Afrika Kusini ndio kabisa uko hovyo kabisa, tangu zamani.KWA wale mnaokumbuka rejeeni tukio lililowahi kumkumba Balozi MWAMBULUKUTU akiwa jijini Pretoria alipokuwa balozi huko Afrika Kusini miaka ya nyuma, ndio mtaweza kuniekewa vizuri hicho nilichoelezea hapo juu.
Ni ukweli mchungu. Balozi za Tz huko nje wanahitaji kujirekebisha kabisa. Wengi wanafurahia vyeo tuu ila majukumu ya msingi hawatekelezi ipasavyo. Ni ukweli pia nchi nyingi za afrika hawathamini uhai wa raia zao may be kuwepo na mwingiliano wa maslahi ya nchi.
 
Mkuu hujasikiliza maelezo ya balozi. Hivi jamani vidole vinawawasha msipoandika JF? Halafu ulitaka waokotezwe kama maembe na unajua kama wengi hawana hata makaratasi?
Hawa jamaa ndio maana walikuwa wanazungusha mikono na kupiga deki barabara. Akili zao wanazijua wenyewe.
 
Mkuu umemaliza ila inaonyesha kabisa uko vema ktk haya mambo nimesoma thread yako natamani iendelee ila post hata kamaada kamoja kuhusu hao jamaa wa balozi walivyo halafu unitag niendelee kupata uelewa zaidi
Hapa umeongea ukweli mtupu.
Yaani mabalozi wetu hawajui wanachokifanya,ni Kama wameenda picnic tu.
 
Usitegemee kupata msaada kutoka balozi zetu tunapenda kujiona wema kumbe Ni wanafki Sasa Kama ndege inasepa kwann isiondoke na raia wake???????? Au ndio mpaka wafe ndio tuiyone serikali ikitoa tamko????

Mabaloz weng Ni mizigo hawajui maana ya ubaloz na majukumu yao na hata Kama wanayajua Ni roho mbaya zimewajaa Katika nafs zao.
Ulijisajili ubalozini? Balozi zote duniani husajili na husaidia raia wao registered kwenye balozi
 
Back
Top Bottom