tramadol
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 5,383
- 4,317
- Thread starter
- #121
Kabisa mkuuMkuu hawa wenye kutokwa na jasho wakitafuta habari za Lissu huko nje, ni wanasiasa uchwara tulionao nchini mwetu.
Wanajaribu kutengeneza mazingira ya Tanzania kuonekana ni nchi yenye kufaa kutengwa na shughuli zote za kimataifa, bahati mbaya ni kwamba tunaopiga magoti na kuiombea mema awamu hii ya tano, tupo wengi sana.