Tanzania haijachelewa kufunga mipaka

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,107
18,323
Unajua Africa kwa jinsi ulivyo tengwa na taffic ndogo ya watu kutoka mabara mengine.. kama tungechukua risk na kufunga mipaka mwanzoni kabisa tungekua salama kabisa.

Nchi kama Tanzania kwa wagonjwa waliopo bado tuna nafasi ya kufanya vizuri kama mipaka itafungwa na hatutakuwa na haja ya kufungua watu makwao.

Maana kuwafungua watu makwao watakufa wengi kuliko hata ukiwaacha wafe kwa Corona.

Badala ya kuwaza kuweka askari kuwanyanyasa raia wakae ndani, ni kuda muaafaka kuwapeleka askri hao mipakani wakatulinde.

Tanzania bado ina nafasi kama itafajya maamuzi sasa.

Zanzibar ijitegemee, bara ijitegemee, ba baadhi ya miji kama dar, arusha etc.

Picha ni mwanaume.wa kiitalia akiwa pekee yake kwenye ibada ya mazishi ya mama yake.

Una uma sana

FB_IMG_1585560091272.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes it's true, hatujachelewa na hatufungi kwasababu China ni China, Italy ni Italy na Tanzania ni Tanzania.

Watanzania wote, tuzingatie ushauri wa kitaalamu wa jinsi ya kujikinga na Corona na kufuata ushauri wa rais wetu, rais Dr. John Pombe Joseph akisisitiza, tusitishane na kututaka Watanzania wote kuendelea kupiga kazi.
P
 
Yes it's true, hatujachelewa na hatufungi kwasababu China ni China, Italy ni Italy na Tanzania ni Tanzania.
Tusitishane.
Watanzania wote tuzingatie ushauri wa kitaakamu wa jinsi ya kujikinga, na kuendelea kupiga kazi.
P
Jiwe gizani .

Viongozi wasipo chukua hatua wa2 wakapata maafa watalipia labda siyo duniani bali akhera
 
Ugonjwa ukishaingia ndani, na nchi haina uwezo wa kujua huo ugonjwa umeenea hadi wapi, kuna maana gani ya kufunga mipaka, hasa hiyo inayotumika kihalali?

Hawa wanaoingia kwa ndege, wote si wanawekwa kwenye karantini siku 14? Watakuwa na hatari vipi hawa kuliko wale ambao wamo ndani ya nchi na hawajulikani walipo!

Labda useme askari wakazibe njia zote za panya kule mpakani, kazi ambayo ni ngumu sana kuitekeleza kwa ufanisi.
 
Mtoa mada sijaelewa dhima ya hiyo picha ni nini
Mbona inajieleza vizuri tu mkuu 'Drone Camera'.

Hulioni jeneza hapo kwenye picha?, na kuna huyo padre akiendesha sala kumwombea marehemu. Nakisia tu kuwa pengine huyo mtu wa pili ni mme, mtoto, kaka, n.k, wa marehemu.

Yeye kawawakilisha familia na jamii nzima ya marehemu kwenye msiba huo.

Usidhani marehemu hakustahiri kusindikizwa kwa heshima zote na ndugu zake wote; ila coronavirus katoa amri isifanyike hivyo.
 
Mbona inajieleza vizuri tu mkuu 'Drone Camera'.

Hulioni jeneza hapo kwenye picha?, na kuna huyo padre akiendesha sala kumwombea marehemu. Nakisia tu kuwa pengine huyo mtu wa pili ni mme, mtoto, kaka, n.k, wa marehemu.

Yeye kawawakilisha familia na jamii nzima ya marehemu kwenye msiba huo.

Usidhani marehemu hakustahiri kusindikizwa kwa heshima zote na ndugu zake wote; ila coronavirus katoa amri isifanyike hivyo.
Ndio inajulikana sahivi watu hawazikwi na mass ya watu ili kuzuia maambukizi ya huu ugonjwa...Sijaona mantiki ya hiyo picha.
 
Nadhani sijakupata vizuri..
Kuna mambo mawili
1. Kufunga mipaka
2. Kuwafungia raia wasitoke majumbani.


Kuhusu kufunga mipaka nadhani hili halina mjadala.. ni utekelezaji tuu.


Namba mbili tunafanikiwa kuwa acha raia wandelee na shughli zao kama namba moja litafanikiwa.


Mkuu mi sio mtu wa imani sana katika mambonkama haya. Tuombe mungu tuu huyu corona asishushe kwa walala hoi a akie kwa hawa waoanda ndege maana huku chini tutakufa kama kuku wenye kideri.
Yes it's true, hatujachelewa na hatufungi kwasababu China ni China, Italy ni Italy na Tanzania ni Tanzania.

Watanzania wote, tuzingatie ushauri wa kitaalamu wa jinsi ya kujikinga na Corona na kufuata ushauri wa rais wetu, rais Dr. John Pombe Joseph akisisitiza, tusitishane na kututaka Watanzania wote kuendelea kupiga kazi.
P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio inajulikana sahivi watu hawazikwi na mass ya watu ili kuzuia maambukizi ya huu ugonjwa...Sijaona mantiki ya hiyo picha.
Hujaona "mantiki ya hiyo picha"?

Mantiki gani unaitafuta mkuu?

Mleta mada kaleta hoja zake kuhusu 'coronavirus'

Moja wapo ya matokeo ya hiyo 'coronavirus' ni hilo linaloonyeshwa kwenye picha; lakini wewe unadai huoni mantiki yake, sijui unataka mantiki ya aina gani? au wewe unayo tofauti ya neno hilo 'mantiki'?
 
Hujaona "mantiki ya hiyo picha"?

Mantiki gani unaitafuta mkuu?

Mleta mada kaleta hoja zake kuhusu 'coronavirus'

Moja wapo ya matokeo ya hiyo 'coronavirus' ni hilo linaloonyeshwa kwenye picha; lakini wewe unadai huoni mantiki yake, sijui unataka mantiki ya aina gani? au wewe unayo tofauti ya neno hilo 'mantiki'?
Hiyo picha isingekuwepo ingeathiri nini?
 
I agree with you...

Kuachia freely mipaka yetu kwa kisingizio kuwa maambukizi ni madogo ni kutafuta majanga

Italy ilikua hivyo hivyo waliruhusu movements za watu kuja kushtuka tayari infections ishakuwa kubwa

Tusidanganyike na low statistic za wagonjwa bali tuchukie kila measure kuhakikisha huu ugonjwa hausambai
 
Hata mbishi Urusi imesalimu amri. Huko China nako awamu ya pili ya shambulio laanza...


putin.jpg
Russia closing its borders to combat coronavirus spread
Russia will close its borders Monday in an effort to curb the spread of the coronavirus, Prime Minister Mikhail Mishustin said Saturday.

The order is among several restrictions Russian officials rolled out this week as COVID-19 began to overtake the world’s largest country.

International passenger flights were grounded Friday, and Moscow’s mayor shuttered all non-essential businesses Saturday, effective through April 5.

The city’s transportation department said subway and bus use was down by more than half compared to the same day last year, according to the Interfax news agency.

Russia has a total of 1,264 cases, with four deaths — shockingly low numbers that have been widely questioned, including by Moscow Mayor Sergei Sobyanin.

“The testing volume is very low, and nobody knows the real picture,” Sobyanin said earlier this week.
 
Sisi tunasibiri nini?

As if tunataka kuangalia movie itakuwaje
Hata mbishi Urusi imesalimu amri. Huko China nako awamu ya pili ya shambulio laanza...


View attachment 1404493
Russia closing its borders to combat coronavirus spread
Russia will close its borders Monday in an effort to curb the spread of the coronavirus, Prime Minister Mikhail Mishustin said Saturday.

The order is among several restrictions Russian officials rolled out this week as COVID-19 began to overtake the world’s largest country.

International passenger flights were grounded Friday, and Moscow’s mayor shuttered all non-essential businesses Saturday, effective through April 5.

The city’s transportation department said subway and bus use was down by more than half compared to the same day last year, according to the Interfax news agency.

Russia has a total of 1,264 cases, with four deaths — shockingly low numbers that have been widely questioned, including by Moscow Mayor Sergei Sobyanin.

“The testing volume is very low, and nobody knows the real picture,” Sobyanin said earlier this week.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa kaingia super market moja ndogo amevaa mask, wateja wengine wakaanza kutoka na kukimbia.
I agree with you...

Kuachia freely mipaka yetu kwa kisingizio kuwa maambukizi ni madogo ni kutafuta majanga

Italy ilikua hivyo hivyo waliruhusu movements za watu kuja kushtuka tayari infections ishakuwa kubwa

Tusidanganyike na low statistic za wagonjwa bali tuchukie kila measure kuhakikisha huu ugonjwa hausambai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Too late too little.
Kwa uzoefu wangu wa haya mambo mhuuh! tulionya na kutoa ushauri humu.
Sasa hivi focus yetu inapaswa kuwa contact tracing na testing, yes, testing and testing.
Misongamano ya daladala na minada, ibada za misikitini na makanisani tupunguze au kufunga kabisa.No miracles nawaambieni.
 
Too late too little.
Kwa uzoefu wangu wa haya mambo mhuuh! tulionya na kutoa ushauri humu.
Sasa hivi focus yetu inapaswa kuwa contact tracing na testing, yes, testing and testing.
Misongamano ya daladala na minada, ibada za misikitini na makanisani tupunguze au kufunga kabisa.No miracles nawaambieni.
Testing and more testing ni muhimu sana ili wanaokutwa na virusi wawe quarantined.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom