Tanzania haiishi vituko: Meli iliyozama haina Ofisi

Sheria ya usafirishaji baharini inajulikana wazi, kama kulikua na riport ya hali ya hewa kua mbaya basi mamlaka husika zilitakiwa ziizuie meli kusafiri, hapo wahusika lazima wawajibishwe, kisheria za marine lazima meli yoyote inatakiwa iwe na chombo maalum cha kukijulisha panapokaribia kua na hali mbaya ya hewa, Hiki chombo kinaitwa GMDSS(Global marine distress safety signal)na meli haiwezi kusajiliwa bila kua na kifaa hichi,na HIKI KIFAA KINAELEZA HADI WIND SPEED,NA KM KUNA HIGH SWELL YA UREFU GANI, hata pale Bandarini port control tower lazima wanacho kifaa hiki sasa ninashangaa kusikia kua kumbe walishapata taarifa ya hali mbaya ya bahari na bado port control wameruhusu meli iendelee na safari, hata hakuna cha kujitetea hapa lazima serikali iwajibike kWANI HUU UBABAISHAJI SASA UMEZIDI!!
 
Wala hakuna la kushangaza hapo. Kwani huko Zanzibar hata hivyo bandari yenyewe inajulikana? Utadhani kama uko ufukweni tu. Ni jambo la aibu sana kuona tunaendesha biashara ya usafiri wa majini kwa kiwango hiki cha sasa. Ni aibu sana.
 
Meli kukosa ofisi!!!! hapa ni kuangushiana na magari tu hamna tena cha kulindana.Wasusika wasipoangushiwa gari(kuwajibishwa) serikali hamtaeleweka kwetu sisi walala hoi.KOVA,MSANGI mpo, scandles za kujitakia hizi hebu ngoja tupime hekima zenu katika hili
 
Upo sahihi sio kila kitu serekali..je na wale wazee wanaotelekeza familia na kuwa na wachumba wake za watu nao pia wanatumwa na serekali?
sessy nzunga, hata nyumba yangu inayovuja ni serikali dhaifu?
hebu tuangalie na yale ya kusema, ajali imetokea kama ambavyo ajali nyingine zinavyotokea na kutathminiwa kwa umakini na kubaini kuwa ajali. hakuna mtu anayetaka watu wafe na kama ingewezekana angeombwa mwenyezimungu suala la kifo aliondoe lakini ndio maamuzi yake ya kimaumbile kwetu.
ajali ni ajali na kama kuna mtu anaweza kutoa lawama kwa serikali basi mtu huyo hawezi kuwa muumini wa imani yoyote duniani labda yanyumbani kwao wanakoamini kuwa hakuna ajali bali ni makusudi ya baadhi ya watu.
tuondoe dhana potofu kwa jamii yetu tanzania ni yetu wote na hakuna asiyemtaka mwenzie kiasi cha kuwaangamiza.
 
Sina sababu ya kumtetea kikwete ila kwa hili hatutamtendea haki hata kama hatumpendi kwa kuwa yupo ccm chafu, lakini ukitaka akae pale braila na kuanza kupekua majalada kuona kama kampuni fulani imesajiliwa au laa?
Ni sisi na kaka, baba, mama na dada zetu tunaofanya nao kazi kisha hupitisha mambo ya ajabu ajabu na kwa kutegemea lawama zitaenda kwa kiongozi mkuu wa nchi, mimi nawalaumu watz wasiokuwa wakweli na uchungu kwa nchi na watu wake kwani ndio wanaotupelekea hapa.
Tusikubali kuwa na utendaji wa ajabu kwa kuruhusu mambo ambayo yatakuja kuangamiza watu wetu eti lawama zitapelekwa kwa kiongozi mkuu.

Akili yako ina walakini, umeambiwa meli haina ofisi vyombo anavyosimamia kikwete kama accounting officer vinafanya kazi gani???.Lowasaa kwani richmond ilikuwa yake?? mbona alijiuzuru???.Na hili la meli akijiuzuru kikwete kuna tofauti na alivyopjiuzuru Lowasa??? kuweni na akili siyo kukariri mambo bandugu
 
Back
Top Bottom