mcubic
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 10,306
- 6,514
Mkuu hata uongee ukweli kiasi gani, Washabiki wa Lowassa hawawezi kukuunga mkono. ......Leo wapo wengine wanajiita watetezi wa uhuru wa habari; kwamba wanapinga Cybercrime Act.. wakati wengine tulionya mapema na kuonesha hili... tunaambiwa ati sisi ndio tumebadilika!
Ulimkataaa Mtume wao na dhana yao ya mabadiliko feki