Nikitilia shaka kuwa Camerun ni SHOGA,hakuna atakae kataa moja kwa moja kutokana na kauli yake..
Hawa wanalengo la kupotezea muda tu jamani..
Tuache kujadili mambo ya msingi kama UMEME,MALARIA, NJAA,UPATIKANAJI WA MAJI SAFI,NJIA ZA UCHUKUZI,MAKAZI BORA,AFYA na mengine kama hayo,tuanze kuzungumzia UCHOKO(USHOGA)
tuachane na vichaa wa kiingereza hawa..
2jadili UFISADI NA wizi ulikithiri nchini mwetu..
Hawa wanalengo la kupotezea muda tu jamani..
Tuache kujadili mambo ya msingi kama UMEME,MALARIA, NJAA,UPATIKANAJI WA MAJI SAFI,NJIA ZA UCHUKUZI,MAKAZI BORA,AFYA na mengine kama hayo,tuanze kuzungumzia UCHOKO(USHOGA)
tuachane na vichaa wa kiingereza hawa..
2jadili UFISADI NA wizi ulikithiri nchini mwetu..