Tanzania govt on Homosexuality: We can do without UK aid

EMT

Platinum Member
Jan 13, 2010
14,483
15,308




Mh Membe leo amekutana na waandishi wa habari kutujulisha yaliyojiri kwenye mkutano wa Jumuiya ya Madola uliofanyika huko Australia hivi karibuni. Mh Membe ametoa tamko dhidi ya kauli iliyotolewa na Waziri Mkuu wa Uingereza ya kutishia kusitisha misaada ya kiuchumi kwa nchi za Jumuiya ya Madola zinazopinga suala la mahusiano ya watu wa jinsia moja.

Mh Membe amesema Katiba ya nchi inatambua familia kwa maana ya mahusiano ya kijinsia kati ya mume na mke na si vinginevyo. Amesema pia jadi na utamaduni wa Watanzania unaruhusu uhusiano wa mwanaume na mwanamke tuu na si vinginevyo. Mh Membe amesema Tanzania haikubaliani kwa namna yoyote ile na kauli ya Cameron na kwamba tutakuwa tayari hata kujitoa kwenye Jumuiya ya Madola kama Uingereza itashinikiza Tanzania itambue mahusiano ya watu wa jinsia moja.

UPDATE 1:

Balozi kapiga mkwara! Nov 4, 2011

Balozi wa Uingereza hapa nchini ametunisha misuli na kupinga vikali kauli ya Mhe.Bernard Membe aliyoitoa jana!

Amesema kuwa kama Serikali ya Tanzania itaendelea na msimamo wa kupinga USHOGA itabidi Uingereza ifikiri upya juu ya Uhusiano wake na Tanzania.

Source: Ameongea na waandishi mda mfupi uliopita

UPDATE 2:

From Reuters 4th Nov. 2011

Fri Nov 4, 2011

* Tanzania says can do without UK aid

By Fumbuka Ng'wanakilala (Reuters)

Tanzania has become the latest African government to say it will not legalise homosexuality even if that means it loses substantial financial aid from Britain.

Government officials reacted strongly to British Prime Minister David Cameron's threat to cut aid to countries that deny gay rights.


"Tanzania will never accept Cameron's proposal because we have our own moral values. Homosexuality is not part of our culture and we will never legalise it," foreign affairs minister Bernard Membe was quoted as saying by Tanzania's Guardian newspaper.


"We are not ready to allow any rich nation to give us aid based on unacceptable conditions simply because we are poor. If we are denied aid by one country, it will not affect the economic status of this nation and we can do without UK aid."


Tanzania, a former British colony and one of Africa's biggest per capita aid recipients, received $453 million of aid for its 2011/12 budget, with Britain the largest provider of general budget support.


Ghana's President John Atta Mills said on Wednesday his government would never legalise homosexuality. Uganda has also reacted strongly to Cameron's comments.

The UK Department for International Development (DFID) gave Tanzania 144 million pounds ($229 million) in aid in 2009/10 and has pledged to spend an average of 161 million pounds per year in Tanzania until 2015.

Homosexuality is a serious criminal offence in Tanzania, punishable by imprisonment, but no one has been prosecuted.


"We cannot be directed by the United Kingdom to do things that are against our set laws, culture and regulations," Membe was quoted as saying.


Zanzibar President Ali Mohamed Shein also rejected the British demands for gay rights to be respected in Tanzania.


"We have strong Islamic and Zanzibari culture that abhors gay and lesbian activities, and to anyone who tells us that development support is linked to accepting this we are saying no," Shein told journalists on Thursday.


Zanzibar, Tanzania's semi-autonomous archipelago, enacted a law in 2004 banning homosexual relations. Male offenders face more jail time, up to 25 years, than convicted women.


Homosexuality is illegal in 37 African countries, and rights groups say gays are often the targets of violent hate campaigns. ($1 = 0.627 British Pounds) (Aadditional reporting by Ally Saleh in Zanzibar; Editing by Richard Lough and Robert Woodward)


© Thomson Reuters 2011 All rights reserved
 
Last edited by a moderator:
Mwnyekiti wake vp anasemaje ama ndio anachekacheka tu hata kwenye isue serious kama hii. Ok Membe mzuri sn kwa porojo, isue ya Gaddaf alisemaje na ikawaje? Bendera gan inapepa sasa hv, UK tutaipinga kwa nguvu ya umma na si hii serikali legelege na dhaifu haiwezi kupinga.

Tutumiea nguvu ya umma, tena kesho tuandamane na kuchoma bendera za uwngereza kuonyesha msisitizo!
 
Haya angeyasema kule kule australia alipokuwa nao hao watoa hoja.....kuja kutueleza sisi huku haisaidii hata kidogo , alitakiwa asimame hadharani kupinga hoja hii lakini kule kule, ukute kule alikuwa mdogoo kama piritoni ametua hapa anajitutumua!

mix with yours
 
kumbe wazungu washatuona sisi mazezeta -- yaani kitendo cha kutuambia kama hatutaki ushoga tusiwaombe hea ni dharau kubwa sana, kama mwalimu angekuwapo basi huyu balozi wa nchi iliyotamka angepewa masaa 24 awe ametimka.

Yoote tufanyieni lakini na hili la ushoga jamani? kaaaa.... sasa mmefika mbali - kama ni hela basi wacha tufe na umaskini wetu.
 
Membe na wenzake wanataka tuache kuongelea madudu wanayofanya badala yake tujikite kwenye kauli za wakina Camoroon. Ni siku ya ngapi sasa tangu Cameroon atoe hiyo kauli? na serikali hii haina historia ya kufanya maamuzi magumu kwa hiyo asitupotezee muda na madai kuwa 'watajitoa' kwenye umoja wa madola! Wana huo ujasiri?

Watu hawana mishahara na miradi ya barabara imekwama.
 
Isije ikawa msimamo kama alioutoa wakati walibya walipopandisha bendera yao ubalozini Dar. Sijui msimamo wa serikali yetu ni upi kuhusu Libya leo hii. They are reputed for a serious lack of principles and consistency. Sitashangaa sana kesho wakigeuka na kusema mashoga nao wana haki zao sawa na binadamu wengine.
 
Mwnyekiti wake vp anasemaje ama ndio anachekacheka tu hata kwenye isue serious kama hii. Ok Membe mzuri sn kwa porojo, isue ya Gaddaf alisemaje na ikawaje? Bendera gan inapepa sasa hv, UK tutaipinga kwa nguvu ya umma na si hii serikali legelege na dhaifu haiwezi kupinga. Tutumiea nguvu ya umma, tena kesho tuandamane na kuchoma bendera za uwngereza kuonyesha msisitizo!

Mmmmh ina maana ishu ya ushoga ndio ishu pekee iliyoletwa na waingereza inayoboa? tungekuwa na msimamo kama huu kuupinga ubeberu wao toka awali 1961 na kuendelea tusingefika hapa......tumezoea kuwalamba miguu kwa kila kitu tukiamini misaada yao ndio itakayotuoa na athari yake ndio hiii.....kilichotakiwa kupingwa kutoka awali ni dhana ya utegemezi, yanayondelea sasa ni makandokando ya utegemezi

mix with yours
 
Guys Membe is another joker do not take him serious an opportunist MP na Waziri.Alitakiwa kukatalia kule kule then tusome juu kwa juu .Leo anaueleza hapa ina maana mkutano mzima issue ilikuwa hii pekee ?Haya ile change anayotaka hajui kwamba walifanya biashara na mashoga ? ipi misaada ya Ulaya anaelewa vyanzo yake vya kodi ni vipi ?Aaache zake hapa huyu .
 
Misaada kama misaada haina shida!Kibaya ni Masharti ya misaada Husika,kama masharti yanalenga kulazimisha Nchi Idharau misingi ya Heshima,Utu na Haiba ya watu wake basi misaada hiyo ni ya Kijinga na si ya kuipokea wala kuikubali!"Mtu mwenye akili akikuambia kitu cha Kipumbavu wakati akijua na wewe unaakili timamu ukakikuba anakudharau!JK
 
safi kabisa huyu Mr.Gay Cameron anataka kutuletea uchizi wa kwao huko si akabanduane yeye na baba yake kama kamchezo hiko anakapenda.Poor Cameron.Na log off
 
Kwa hili I second you mr Membe ingawa huaminiki so what is plan B kushusha bendera ya ma-gay wa uingereza?
 
Najua Cameron hakunilenga mimi maaana siombi msaada. Kazi kwenu watembeza bakuli.
 
Membe hizo ni kelele za chura. Ubavu wa kujitoa jumuia ya madola unao? Mi naona pengine hata safari za JK kwenda kuomba omba zitapungua. Kumbe wanaendaga huko kujipendekeza wenzao huwa wanawatamani.
 
Mmmmh ina maana ishu ya ushoga ndio ishu pekee iliyoletwa na waingereza inayoboa? tungekuwa na msimamo kama huu kuupinga ubeberu wao toka awali 1961 na kuendelea tusingefika hapa......tumezoea kuwalamba miguu kwa kila kitu tukiamini misaada yao ndio itakayotuoa na athari yake ndio hiii.....kilichotakiwa kupingwa kutoka awali ni dhana ya utegemezi, yanayondelea sasa ni makandokando ya utegemezi
mix with yours
Mkuu we acha tu inauma sana serikali ya magamba zote ni legelege, baada ya mwalimu, mwnykiti anaenda UK anarudi anajisifu wafadhili wamekubali kuongeza misaada. Rais anaenda kuomba msaada unategemea nn?
 
membe bwana anachekesha sana... ana ubavu wa kuipinga UK? ...lazima serikali itambue mapunga na yapewe viti maalumu bungeni
 
Mwnyekiti wake vp anasemaje ama ndio anachekacheka tu hata kwenye isue serious kama hii. Ok Membe mzuri sn kwa porojo, isue ya Gaddaf alisemaje na ikawaje? Bendera gan inapepa sasa hv, UK tutaipinga kwa nguvu ya umma na si hii serikali legelege na dhaifu haiwezi kupinga. Tutumiea nguvu ya umma, tena kesho tuandamane na kuchoma bendera za uwngereza kuonyesha msisitizo!

Hapo kwenye red pitia huu uzi: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-kuwatolea-nje-balozi-shoga-wa-uingereza.html
 
Ombaomba huwa wanadharilika kamuulize matonya nani alimtoa Dar.
Mzee Yusufu Makamba ndiye aliyemkimbiza Matonya Dar. ina maana wazungu ndio wanatufukuza kwa ule usemi "AKUFUKUZAYE HAKUAMBII TOKA" wao wanajua nchi nyingi za kiafrika zitapinga na ndio urafiki utakapoishia hapo.Nalitafuta sana tamko la Zimbabwe mwenye nalo alibwage hapa.Na log off
 
Back
Top Bottom