“Tanzania governor” Makonda on CNN for all the wrong reasons

CNN used the terminology to differentiate him from other regional commissioners. No any other regional commissioner except Makonda can dare say this "If possible we will set up a database in the regional commissioner's office in each region.." Does this not mean he can direct other regional commissioners what to do?
 
Kiingereza ni lugha ngumu na ni tofauti na Kiswahili,ukitafsri kama ilivyo huleta maana nyingine tofauti na mazingira yetu ya Kiswahili,Nyani Ngabu yupo sawa,nyie wengine mumetafsri moja kwa moja kutoka Kiingereza kuja Kiswahili,wakati kwa kiswahili na uelewa wa watu kama Watanzania,maana ya Governor ina maana tofauti na kusema mteule au mwakilishi wa kiongozi, Governor ni neno linalotumika kutokana na maamuzi ya nchi ,kwa Tazania hatuna cheo chochote cha gavana,hapo CNN wamekosea,ingekuwa Kenya ukisema gavana ni sawa kwa sababu kunacheo cha Gavana kwenye majimbo yao,kwa Tanzania hatuna,ni sawa ukaita Georgia region badala ya State,au ukaita mkoa wa Tanga State badala ya region,Kinondoni ukaita Borough badala ya District. Nyani Ngabu ndie anajua Kiingereza wengine tupo sawa tu kama CNN. Big Up kaka Nyani Ngabu
 
Look what we have here! So Paul Makonda is now a governor? Wtf!!!

How CNN has fallen! Once upon a time it used to be a respectable news organization. But that’s once upon a time.

Now they are just an anti-Trump left-wing, fake news pushing, low-rating cable network subsidiary organization of the Democratic party.

They can’t even get a simple basic fact like Paul Makonda’s title right! Isn’t that fake news????

What would ‘Fredo’ Chris Cuomo say about this?

What's the issue here Chicka ?
The concept is the same,they don't have title ya Mkuu wa Mkoa ama Mkuu wa Wilaya,other places,District commissioner is termed Area Commissioner, so you gonna question that ?
 
Kiingereza ni lugha ngumu na ni tofauti na Kiswahili,ukitafsri kama ilivyo huleta maana nyingine tofauti na mazingira yetu ya Kiswahili,Nyani Ngabu yupo sawa,nyie wengine mumetafsri moja kwa moja kutoka Kiingereza kuja Kiswahili,wakati kwa kiswahili na uelewa wa watu kama Watanzania,maana ya Governor ina maana tofauti na kusema mteule au mwakilishi wa kiongozi, Governor ni neno linalotumika kutokana na maamuzi ya nchi ,kwa Tazania hatuna cheo chochote cha gavana,hapo CNN wamekosea,ingekuwa Kenya ukisema gavana ni sawa kwa sababu kunacheo cha Gavana kwenye majimbo yao,kwa Tanzania hatuna,ni sawa ukaita Georgia region badala ya State,au ukaita mkoa wa Tanga State badala ya region,Kinondoni ukaita Borough badala ya District. Nyani Ngabu ndie anajua Kiingereza wengine tupo sawa tu kama CNN. Big Up kaka Nyani Ngabu

Hahahaaa. Haya bana.

Ngoja niende jiji la Texas.
 
Kwa jinsi ulivyo shallow Mkuu wa Mkoa unaweza ku translate into Head of Region

Sema yote.

Paul Makonda siyo Governor wa Dar es Salaam.

Governor wa mwisho Tanzania alikuwa ni Sir Richard Gordon Turnbull [katika muktadha wa kisiasa].
 
Na bado...
IMG_20190814_151803.jpeg
 
No she can’t.



Really? How about you check this out

How about you find out what should be his paramount concern right now? Do you really think what Dar needs is a database of married men? Really? Hivi mmesoma wapi nyie? The Mkoa is congested, healthcare for the majority of people is an issue, maji ni shida, pollution from cars is an issue, mwendokasi is an issue, the quality of education for a common mwananchi is an issue and you are here discussing what title CNN should have used. Do you know that the majority of women who date or sleep with married men, they do so knowing full well that the man is married? That database is nonsense. Just an opportunity to grab attention and divert it from what is really happening in Tanzania. He has people like you who have no clue what a commoni mwananchi who cant afford to send his children to private schools or afford private medical care to run threads like this one just to distract people.
He was trending yesterday, yes. But let me tell you, he was trending as the most outragous, uneducated idea people around the world have ever heard. Tanzania being 3rd world country with one of the poorest quality of education, most people were not surprised that a whole RC or Governor could come up with such an idea. Shame.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Look what we have here! So Paul Makonda is now a governor? Wtf!!!

How CNN has fallen! Once upon a time it used to be a respectable news organization. But that’s once upon a time.

Now they are just an anti-Trump left-wing, fake news pushing, low-rating cable network subsidiary organization of the Democratic party.

They can’t even get a simple basic fact like Paul Makonda’s title right! Isn’t that fake news????

What would ‘Fredo’ Chris Cuomo say about this? 🤣🤣


It makes more sense for the majority of CNN's audience if they address Makonda as governor. Remember in the US they have governors who are equivalent to Regional Commissioners. Our neighbours in Kenya also us the same American system and also they have governors instead of RCs. I hope this helps.
 
Back
Top Bottom