Tanzania Government to probe alleged secret CDM party financing

Hatuna serikali baaali ni uoza wa serikali. Pinda huwa hana maamuzi yenye hekima na busara.Huwa ni mkurupukaji na siku zote anaonekana kuongozwa na hisia,jazba na ushabiki wa kisiasa! Inasikitisha sana pale PM anapocharuka na kushupalia mambo ambayo hayana tija kwa Taifa! Hili la kusema sijui uchunguzi wa pesa chafu za CDM ni ujinga na ubabaishaji wa kutaka kupoteza malengo na ku-deal na very sensitive issues kama Uchunguzi wa Mamilioni ya Pesa yaliyoko nje kwenye mabenki ambazo ni pesa za walipa kodi wa Tanzania lakini zimetoroshwa au kupatikana kwa njia haramu! Badala ya kushughulikia issue kama hiyo PM mzima anafuatilia michango ya CDM! So what?

Watanzania wanataka kusikia pesa yao iliyotoroshwa au kuibiwa na vigogo wa serikali ya CCM na kupelekwa nje ya nchi zinarudishwa mara moja. Watu hatutaki kusikia blah blah za kutaka eti kufuatilia michango ya kina Sabodo na Watanzania wenye mapenzi na Demokrasia ya kweli wanayoichangia CHADEMA.Tunataka Pinda aanze na Andrew Chenge kwa kumwambia arudishe pesa ya rushwa iliyoko nje aliyopewa kama hongo ya RADA na BAE System ya Uingereza. Hapo tutaanza kumwelewa!

If PM Pinda is very serious with issues of money embezzlements and money laundering, let him start with our monies kept in offshore accounts in Swiss Banks. From there we can at least give him a credit,short of that he is just bluffing! Shame on you Son of a peasant!
Hatujawahi kupata waziri mkuu mbovu kama huyu.
 

Why CCM they don't want to Probe and Name who has the Accounts in Swiss Banks? Do you think that hold More Water than

Someone who bring in Money to the Country? The one who take out it seems has sold the sovereignty of his/her Nation to

the point of someone taking out $$ and hide in foreign nation where is the TAX HEAVEN of the RICHEST PEOPLE of the WORLD

The Tanzanian People deserve the opportunity to know to look through these secret documents and make their own conclusions

CCM is playing trick on us the population; they know how to twist and turn Major topic concerns the masses to their advantage

because they controls Newspapers, TV, Blogs, Radios, Secret Police... Have we ever been transparent?

"In Life there are no Winners, only assholes with SWISS BANK Accounts."





kWA nini tusijadili kwa kiswahili, jamani tunajivua nguo wenyewe mbona!!!!!!!!!!!!!!!
 
Sisi tulikubali yaishe kumbe jambazi linataka kuumbuliwa?????? Tatizo la CCM na makada wao siku zote wako bussy na michongo ya pesa hapa JF hawatii mguu, kumbe hawajui kwamba wizi wao na pesa zao chafu zilishajadiliwa sana ni kiasi cha ku-upload ngoma zote zitakuwa hadharani.
Nadhani ni muda mzuri sasa kuwavua magamba hawa badala ya kujivua wenyewe maana tumesubiri wao kuchkua hatua
 
ila zile hela zilizofichwa switzerland hawajaanza kuzichunguza...
Mkuu wangu Sweke, ni huyohuyo Pinda aliyesema hawezi kusema chochote kuhusu ufisadi wa meremeta na taangold kwa kuwa ilikuwa miradi ya jeshi. Poor him, don't waste your time discussing his stupid utterances !
 
kWA nini tusijadili kwa kiswahili, jamani tunajivua nguo wenyewe mbona!!!!!!!!!!!!!!!

Hatuko Darasani kutafakari Ufanisi wa Kiingereza; Kama ni hivyo basi ningekuwa bado niko Tanzania natokwa na Jasho kusubiri Vidaladala...

Hapa sio Ufanisi kila mstari ni story nyingine... siandiki Ph.D sasa kama ni wewe kunirekebisha kiingereza nimeishi nje zaidi ya miaka 20 sasa sasa sijui

nimesoma sijabuda, na sibebi maboksi...
 
Haya Tena, someni hii wadau.... Msisahau kunigongea Senkyuuu

August 2012, BY SYLIVESTER DOMASA

The government has launched an investigation to establish the truth about political parties said to have been receiving dirty money from developed countries sponsors contrary to the governing laws. Prime Minister Mizengo Pinda made the announcement yesterday when responding to a supplementary question in the National Assembly from Nkasi North MP, Ali Kessi Mohamed (CCM).

The legislator had wanted the government to clarify on legal actions it is taking on politicians and political parties receiving dirty money for their political activities. Pinda acknowledged that the government was already working on the issue after receiving tips.

“We will investigate the matter as much as possible to determine those involved and possibly take legal action against them,” he said. The government statement comes a few days after the ruling party, Chama Cha Mapinduzi (CCM) accused the opposition Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) of receiving money from donors for its operations countrywide, but were also unscrupulously soliciting donations from the already impoverished wananchi. Speaking to Journalists in Dar es Salaam, CCM Ideology and Publicity Secretary, Nape Nauye had claimed that CHADEMA has received billions of shillings from its donors for the party’s ongoing operations.

“The most insidious thing is that they don’t even tell their fellow party leaders and their members about the sources of the billions…” the secretary alleged and that the opposition party did deceptively, on several occasions, conduct fundraising functions. “…we need to ask ourselves, why these funds are provided to CHADEMA …Why is this fund being hidden even from leaders of the party?”

he added. The secretary called upon the party to clarify the source of funding but warned that should it fail, CCM will publicise the confidential contract which they claim to have in their possession. But John Mnyika, CHADEMA Director of Information and Publicity denied the allegations, claiming that such information is a ploy to weaken the party’s ongoing publicity campaign titled, ‘People’s Power’ in contributing the Movement for Change (M4C) operation. He termed the CCM claims as ‘dirty propaganda’ and a sign of, in his words, distress over CHADEMA’s apparently growing popularity.

scrappy government, failed state, still in comma. thinking in 2-D, as usual!
 
Swali moja tu hivi mnaotetea huo ufadhili wa nje ni wajinga au mna maslahi binafsi?
Robo tatu ya bajeti ya serikali ni fedha kutoka nje, je huu ni ujinga au maslahi binafsi ya viongozi wa serikali ya wavivu wa kufikiri?
 
yap .this is point cause they have to clarify how they get election money for 2005,presidential election ,before changing the topic from ccm to chadema how they get money ,for my take ,its only a fear how small parts now is growing fast .so let all planned things be in action now .
 
Umeona eeh! Nadhani hii ni katika mikakati ya kuimaliza CHADEMA kwa kuibambikia kesi ambayo haina kichwa wala miguu. Tutasoma na kusikia mengi sana katika safari hii ya kuelekea 2015. Nimeshaanza kuwa na wasiwasi kama uchaguzi wa 2015 utafanyika kwa kutumia katiba mpya.

ila zile hela zilizofichwa switzerland hawajaanza kuzichunguza...
 
Haya Tena, someni hii wadau.... Msisahau kunigongea Senkyuuu

August 2012, BY SYLIVESTER DOMASA

The government has launched an investigation to establish the truth about political parties said to have been receiving dirty money from developed countries sponsors contrary to the governing laws. Prime Minister Mizengo Pinda made the announcement yesterday when responding to a supplementary question in the National Assembly from Nkasi North MP, Ali Kessi Mohamed (CCM).

The legislator had wanted the government to clarify on legal actions it is taking on politicians and political parties receiving dirty money for their political activities. Pinda acknowledged that the government was already working on the issue after receiving tips.

“We will investigate the matter as much as possible to determine those involved and possibly take legal action against them,” he said. The government statement comes a few days after the ruling party, Chama Cha Mapinduzi (CCM) accused the opposition Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) of receiving money from donors for its operations countrywide, but were also unscrupulously soliciting donations from the already impoverished wananchi. Speaking to Journalists in Dar es Salaam, CCM Ideology and Publicity Secretary, Nape Nauye had claimed that CHADEMA has received billions of shillings from its donors for the party’s ongoing operations.

“The most insidious thing is that they don’t even tell their fellow party leaders and their members about the sources of the billions…” the secretary alleged and that the opposition party did deceptively, on several occasions, conduct fundraising functions. “…we need to ask ourselves, why these funds are provided to CHADEMA …Why is this fund being hidden even from leaders of the party?”

he added. The secretary called upon the party to clarify the source of funding but warned that should it fail, CCM will publicise the confidential contract which they claim to have in their possession. But John Mnyika, CHADEMA Director of Information and Publicity denied the allegations, claiming that such information is a ploy to weaken the party’s ongoing publicity campaign titled, ‘People’s Power’ in contributing the Movement for Change (M4C) operation. He termed the CCM claims as ‘dirty propaganda’ and a sign of, in his words, distress over CHADEMA’s apparently growing popularity.

Waanza kwanza kuchunguza zile za USWISS, Kagoda, Rada, DEEP Green, Richmond, and nyinginezo nyingi. Jamani matamko mengine ya viongozi wetu ni utata na tukuyajibu inavyotakiwa wengine tutapewa ban ya jumla kabisa, zinachefua.
 
Robo tatu ya bajeti ya serikali ni fedha kutoka nje, je huu ni ujinga au maslahi binafsi ya viongozi wa serikali ya wavivu wa kufikiri?

Sasa wewe ni mfano wa ujinga, ufadhili wa nchi hasa kwenye budget si sawa na ufadhili wa vyama vya siasa. Mbona NGO siku zote zinapokea huko hujasikia kelele?
 
The probe and the quest for Money Laundering activities should have been done way back in 2007 to CCM party mambers and other government officials. It has been proved beyond no any reasonable doubt that they have been engaging directly or indirectly, in transactions, whether in or outside the United Republic, which involves the removal into or from the United Republic, of money or other property which are the proceeds of crime. This is the fact!

There are various records of supporting evidence which clearly show / describes the various methods used by CCM / Government officials to engage themselves in Money Laundering activities. They should not waste the tax payers money to carry out an investigation because of the reason that the so called CCM cadres have raised some concern over CDM! They know all the facts and they should have done their homework early in advance and came out and disclose all those who are money launderers.

If Nape and CCM know excatly where CDM is getting dirty money, why shouldn't they say in public instead of demanding CDM to clarify their source of income? This is offcourse, one of the bubble talking!
 
Curse to PINDA Curse to your MABWEPANDE saga!! Curse to your move to your double standard attitude!! Disclose even the owners of the Swiss account and the numerous scandals of your fellow devils!!

Tukiwagusa mafisadi nchi itayumba... says PM Pinda
 
Hela chafu? EPA, change ya RADA, Deep Green, Meremeta, Kagoda, mabilioni Uswiss na sasa Dangote!

Hata hivyo Pinda asipate shida sana, Nape alidai anayo majina ya nchi zinazotoa hela "chafu" kwa makubaliano maalum.

naomba kufaham kuhusu dangote.
 
Sasa wewe ni mfano wa ujinga, ufadhili wa nchi hasa kwenye budget si sawa na ufadhili wa vyama vya siasa. Mbona NGO siku zote zinapokea huko hujasikia kelele?
Ecoli, you are very fond in using abusive language so as to shield your emptiness. However, this doesn't help as reality will rule forever.
 
Kuna kila dalili sasa hii serikali ya magamba imefika mwisho wake kabisa wa kutawala, and there is a possibility of not reaching 2015! Hebu tufanye tathmini zifuatazo, mabingwa wa kutumia pesa chafu hapa nchini ni CCM na siyo CDM, hebu Pinda na Nape watupe majibu yafuatayo, kama pesa ya EPA-Kagoda ya bilioni 40 hazikutumika kumwingiza JK Ikulu, ni kwa vipi pamoja na wezi hao kufahamika hawafikishwi mahakamani, badala yake mmevifikisha vidagaa vya EPA akina Maranda?! Ni vipi mseme kuwa CDM inapokea pesa toka nje, ili hao wa wafadhili wa nje waje kukomba rasilimali zetu, wakati benki kuu ya Uswisi imeeleza kwa uwazi kabisa kuwa kuna vigogo 6 wa serikali ya magamba wamewekewa bilioni 315 katika mabenki ya uswisi na makampuni yanayochimba gesi na mafuta nchini, sasa watwambie benki kuu ya Uswisi nao ni waongo? Hata hivyo njia ya ya mwongo ni fupi, staili ya siku zote ya magamba ni kulindana kwa nguvu zote na wakati wote kupotosha ukweli, lakini tunaamini Mungu ameanza kuwafunulia wa-TZ, waelewe kuwa viongozi walioko madarakani hivi sasa hawana huruma hata chembe na wananchi, ila wao wapo madarakani kwa lengo moja tu kujinufaisha wao na familia zao tu, CDM msife moyo endelezeni moto wa M4C kwa nguvu zaidi ili uendelee kuwachoma magamba na waendelee kuweweseka!
 
Hii mbona ni rahisi,serikali haina haja ya kutumia pesa za wananchi bure,Nape kasema anazijua nchi zinazochangia pesa CDM,aitwe kwa DPP hakahojiwe kama wanavyohojiwa wengine.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom