Swali moja tu hivi mnaotetea huo ufadhili wa nje ni wajinga au mna maslahi binafsi?
Jenga hoja mkuu wangu utaeleweka vizuri zaid kuliko matusi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali moja tu hivi mnaotetea huo ufadhili wa nje ni wajinga au mna maslahi binafsi?
ila zile hela zilizofichwa switzerland hawajaanza kuzichunguza...
Hatujawahi kupata waziri mkuu mbovu kama huyu.Hatuna serikali baaali ni uoza wa serikali. Pinda huwa hana maamuzi yenye hekima na busara.Huwa ni mkurupukaji na siku zote anaonekana kuongozwa na hisia,jazba na ushabiki wa kisiasa! Inasikitisha sana pale PM anapocharuka na kushupalia mambo ambayo hayana tija kwa Taifa! Hili la kusema sijui uchunguzi wa pesa chafu za CDM ni ujinga na ubabaishaji wa kutaka kupoteza malengo na ku-deal na very sensitive issues kama Uchunguzi wa Mamilioni ya Pesa yaliyoko nje kwenye mabenki ambazo ni pesa za walipa kodi wa Tanzania lakini zimetoroshwa au kupatikana kwa njia haramu! Badala ya kushughulikia issue kama hiyo PM mzima anafuatilia michango ya CDM! So what?
Watanzania wanataka kusikia pesa yao iliyotoroshwa au kuibiwa na vigogo wa serikali ya CCM na kupelekwa nje ya nchi zinarudishwa mara moja. Watu hatutaki kusikia blah blah za kutaka eti kufuatilia michango ya kina Sabodo na Watanzania wenye mapenzi na Demokrasia ya kweli wanayoichangia CHADEMA.Tunataka Pinda aanze na Andrew Chenge kwa kumwambia arudishe pesa ya rushwa iliyoko nje aliyopewa kama hongo ya RADA na BAE System ya Uingereza. Hapo tutaanza kumwelewa!
If PM Pinda is very serious with issues of money embezzlements and money laundering, let him start with our monies kept in offshore accounts in Swiss Banks. From there we can at least give him a credit,short of that he is just bluffing! Shame on you Son of a peasant!
kWA nini tusijadili kwa kiswahili, jamani tunajivua nguo wenyewe mbona!!!!!!!!!!!!!!!
Why CCM they don't want to Probe and Name who has the Accounts in Swiss Banks? Do you think that hold More Water than
Someone who bring in Money to the Country? The one who take out it seems has sold the sovereignty of his/her Nation to
the point of someone taking out $$ and hide in foreign nation where is the TAX HEAVEN of the RICHEST PEOPLE of the WORLD
The Tanzanian People deserve the opportunity to know to look through these secret documents and make their own conclusions
CCM is playing trick on us the population; they know how to twist and turn Major topic concerns the masses to their advantage
because they controls Newspapers, TV, Blogs, Radios, Secret Police... Have we ever been transparent?
"In Life there are no Winners, only assholes with SWISS BANK Accounts."
Mkuu wangu Sweke, ni huyohuyo Pinda aliyesema hawezi kusema chochote kuhusu ufisadi wa meremeta na taangold kwa kuwa ilikuwa miradi ya jeshi. Poor him, don't waste your time discussing his stupid utterances !ila zile hela zilizofichwa switzerland hawajaanza kuzichunguza...
kWA nini tusijadili kwa kiswahili, jamani tunajivua nguo wenyewe mbona!!!!!!!!!!!!!!!
Haya Tena, someni hii wadau.... Msisahau kunigongea Senkyuuu
August 2012, BY SYLIVESTER DOMASA
The government has launched an investigation to establish the truth about political parties said to have been receiving dirty money from developed countries sponsors contrary to the governing laws. Prime Minister Mizengo Pinda made the announcement yesterday when responding to a supplementary question in the National Assembly from Nkasi North MP, Ali Kessi Mohamed (CCM).
The legislator had wanted the government to clarify on legal actions it is taking on politicians and political parties receiving dirty money for their political activities. Pinda acknowledged that the government was already working on the issue after receiving tips.
We will investigate the matter as much as possible to determine those involved and possibly take legal action against them, he said. The government statement comes a few days after the ruling party, Chama Cha Mapinduzi (CCM) accused the opposition Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) of receiving money from donors for its operations countrywide, but were also unscrupulously soliciting donations from the already impoverished wananchi. Speaking to Journalists in Dar es Salaam, CCM Ideology and Publicity Secretary, Nape Nauye had claimed that CHADEMA has received billions of shillings from its donors for the partys ongoing operations.
The most insidious thing is that they dont even tell their fellow party leaders and their members about the sources of the billions the secretary alleged and that the opposition party did deceptively, on several occasions, conduct fundraising functions. we need to ask ourselves, why these funds are provided to CHADEMA Why is this fund being hidden even from leaders of the party?
he added. The secretary called upon the party to clarify the source of funding but warned that should it fail, CCM will publicise the confidential contract which they claim to have in their possession. But John Mnyika, CHADEMA Director of Information and Publicity denied the allegations, claiming that such information is a ploy to weaken the partys ongoing publicity campaign titled, Peoples Power in contributing the Movement for Change (M4C) operation. He termed the CCM claims as dirty propaganda and a sign of, in his words, distress over CHADEMAs apparently growing popularity.
Robo tatu ya bajeti ya serikali ni fedha kutoka nje, je huu ni ujinga au maslahi binafsi ya viongozi wa serikali ya wavivu wa kufikiri?Swali moja tu hivi mnaotetea huo ufadhili wa nje ni wajinga au mna maslahi binafsi?
ila zile hela zilizofichwa switzerland hawajaanza kuzichunguza...
Haya Tena, someni hii wadau.... Msisahau kunigongea Senkyuuu
August 2012, BY SYLIVESTER DOMASA
The government has launched an investigation to establish the truth about political parties said to have been receiving dirty money from developed countries sponsors contrary to the governing laws. Prime Minister Mizengo Pinda made the announcement yesterday when responding to a supplementary question in the National Assembly from Nkasi North MP, Ali Kessi Mohamed (CCM).
The legislator had wanted the government to clarify on legal actions it is taking on politicians and political parties receiving dirty money for their political activities. Pinda acknowledged that the government was already working on the issue after receiving tips.
We will investigate the matter as much as possible to determine those involved and possibly take legal action against them, he said. The government statement comes a few days after the ruling party, Chama Cha Mapinduzi (CCM) accused the opposition Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) of receiving money from donors for its operations countrywide, but were also unscrupulously soliciting donations from the already impoverished wananchi. Speaking to Journalists in Dar es Salaam, CCM Ideology and Publicity Secretary, Nape Nauye had claimed that CHADEMA has received billions of shillings from its donors for the partys ongoing operations.
The most insidious thing is that they dont even tell their fellow party leaders and their members about the sources of the billions the secretary alleged and that the opposition party did deceptively, on several occasions, conduct fundraising functions. we need to ask ourselves, why these funds are provided to CHADEMA Why is this fund being hidden even from leaders of the party?
he added. The secretary called upon the party to clarify the source of funding but warned that should it fail, CCM will publicise the confidential contract which they claim to have in their possession. But John Mnyika, CHADEMA Director of Information and Publicity denied the allegations, claiming that such information is a ploy to weaken the partys ongoing publicity campaign titled, Peoples Power in contributing the Movement for Change (M4C) operation. He termed the CCM claims as dirty propaganda and a sign of, in his words, distress over CHADEMAs apparently growing popularity.
Robo tatu ya bajeti ya serikali ni fedha kutoka nje, je huu ni ujinga au maslahi binafsi ya viongozi wa serikali ya wavivu wa kufikiri?
Curse to PINDA Curse to your MABWEPANDE saga!! Curse to your move to your double standard attitude!! Disclose even the owners of the Swiss account and the numerous scandals of your fellow devils!!
Hela chafu? EPA, change ya RADA, Deep Green, Meremeta, Kagoda, mabilioni Uswiss na sasa Dangote!
Hata hivyo Pinda asipate shida sana, Nape alidai anayo majina ya nchi zinazotoa hela "chafu" kwa makubaliano maalum.
Ecoli, you are very fond in using abusive language so as to shield your emptiness. However, this doesn't help as reality will rule forever.Sasa wewe ni mfano wa ujinga, ufadhili wa nchi hasa kwenye budget si sawa na ufadhili wa vyama vya siasa. Mbona NGO siku zote zinapokea huko hujasikia kelele?
naomba kufaham kuhusu dangote.