Tanzania fikiria vizuri! Weka reli kutoka bandari Tanga

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,601
8,741
Badala ya kukimbizana na kuuza bandari kwa China ya Bagamoyo ambayo haitanufaisha mtu yeyote zaidi ya wachache huku tukitumia pesa nyingi kulipa na kuweka China kwa miaka 100 .

Tanzania tayari inajenga bandari ya Tanga kwasababu ya mafuta je kwanini badala ya kutengeza na kupoteza pesa na tayari tuna bandari Dar!! wasiweke Rail kutoka Tanga mpaka pale kwenye sehemu wanayotaka kujenga bandari na iwe kama warehouse tu.

Sasa tumepata deal nzuri ya kujengewa bandari kwa mafuta ya uganda haitakuwa ngumu kuongeza pesa kidogo kukuza hii bandari badala ya kupoteza pesa nyingine na sio mbali hivyo!.

Kuna faida gani kuwa na bandari ya mafuta pekee Tanga, Bandari ya Dar na Bagamoyo !!! tena kwa $7B.
 
Wazo zuri ila "usitujaribu"
Pesa za maendeleo sio zenu binafsi! plan nyingi za nchi hasa mikopo italipwa kwa miaka 20-30 na watoto wetu sio wewe au hata walio madarakani. wanannchi ndiyo wamewapa uwezo wa kufanya uamuzi kwa muda tu na mtaondoka kama wengine.... ego hazi saidii nchi yeyote
 
Ilani ya chama.
Ila ukitukana tunafanyia kazi....hahahahaha
Huwezi ku manage nchi kwa ilani za Chama! na hili ni tatizo letu sio sifa maana umasikini mnaleta kwa wote. Ilani iwe ya CCM au Chadema haitasaidia TZ maana ilani ina zingatia zaidi kukaa madarakani badala ya kuleta maendeleo. Mfano ididi ya vijana TZ imeongezeka kwa kiasi kikubwa 66% wapo chini ya miaka 25 sasa ilani ya miaka iliyopita ambayo ilizingatia zaidi data za nyuma haita endana na wakati wa sasa. vilevile Dunia iko kwenye system ya capitalism kwa sasa hata China iko huko sasa hatutaweza kuweka mipango ya kichama wakati uchumi kila miezi 4 tu unabadilika ..... Ttizo letu hatuna upeo mkubwa na tumekaa sana sehemu moja hapo TZ hatujui dunia inavyoenda
 
Hajakosoa chama ndio maana hujaelewa
"Maendeleo hayana chama"- Mstari huo unapaswa uingizwe kwenye ukurasa wa kwanza kwenye Politics 101. Its simply one of the most conscious and the most constructive line in the history of modern Politics.
 
Sasa
"Maendeleo hayana chama"- Mstari huo unapaswa uingizwe kwenye ukurasa wa kwanza kwenye Politics 101. Its simply one of the most conscious and the most constructive line in the history of modern Politics.
Sasa hujaelewa nini kwenye mada hapo juu?
 
Ttizo letu hatuna upeo mkubwa na tumekaa sana sehemu moja hapo TZ hatujui dunia inavyoenda

Waliokuwa wanakesha na kulala kwenye ndege walituletea nini kuliko kuwapelekea hao walio endelea dhahabu zetu, almasi zetu na Tanzanaiti zetu wakarudi na vyandalua vilivyowekewa dawa ya kupunguza nguvu za kiume!!!!! Acha dharau zako weye. Ati hatuna upeo wewe ndio huna upeo
 
ulitakiwa ulaumu kujengwa bandari ya bagamoyo ila tanga umechoma. bandari za tanga zipo location bomba xana tofauti na huko unaposema.. wazungu wameliona hili hivyo cc na siasa zetu na ubinafsi zinatuponza daily.. ijengeni tanga ndio pazuri hata wakoloni waiishi tanga

Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app
 
Huwezi ku manage nchi kwa ilani za Chama! na hili ni tatizo letu sio sifa maana umasikini mnaleta kwa wote. Ilani iwe ya CCM au Chadema haitasaidia TZ maana ilani ina zingatia zaidi kukaa madarakani badala ya kuleta maendeleo. Mfano ididi ya vijana TZ imeongezeka kwa kiasi kikubwa 66% wapo chini ya miaka 25 sasa ilani ya miaka iliyopita ambayo ilizingatia zaidi data za nyuma haita endana na wakati wa sasa. vilevile Dunia iko kwenye system ya capitalism kwa sasa hata China iko huko sasa hatutaweza kuweka mipango ya kichama wakati uchumi kila miezi 4 tu unabadilika ..... Ttizo letu hatuna upeo mkubwa na tumekaa sana sehemu moja hapo TZ hatujui dunia inavyoenda
90% ya Watanzania hawataelewa ulichoandika hapa hasa ccm
 
Port Of Tanga kupanuliwa na kuhimarisha au kujenga reli SG haikwepeki,kinachotakiwa ni juhudi ya serikali kufanya lobbing kwenye taasisi za fedha,ili tupate mkopo nafuu.
 
Back
Top Bottom