Tanzania: Fake phones to be blocked soon!

Jamani wananchi wenzangu, hili
jambo la TCRA, kuzima simu zote
feki unafikiri ni la busara ikiwa
tunaamini kuna TBS ambayo
inachunguza kila bidhaa
zinazoagizwa kutoka nje na
kuhakikisha ni salama ndo
zinaruhusiwa kusambazwa kwetu
wananchi. Iweje TCRA watuzimie
sisi simu zetu, kwa nini
wasiaadhibu TBS kwa kuruhusu
hizo simu feki?
Mbona mi sijasikia hiyo kuhusu bongo ila kenya, nihabarishe
 
Kama ni kweli basi ni uonevu wa hali ya juu sana,hivi mbona mtu wa hali ya chini anaonewa sana jamani?Maana wanunuao simu za mchina wengi ni hali za chini,sasa tutaponea wapi??HII NCHI NI YETU SOTE.
 
Bora wazime tuu zinatupigia kelele sana kuna simu moja ya mchina nimeiona dukani leo ina laini kumi na mbili.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Tz bado haijielewi, kwani ni nani anayesimamia mambo haya? na plan ya Tanzania kwa miaka ya badae ni nini? Mbona vitu vinaibuka ibuka tu bila plani yoyote? leo kukicha utasikia waziri kasema hili mara kesho waziri mwingine kasema lile. Wananchi tunayumbishwa tu, wakati kuna vyombo kama Ukaguzi wa bandarini, TBS, TFDA nk. Wakizuia huko vinakoingilia si rahisi kumfikia mwananchi wa kawaida hapo utasema serikali ipo kazini. Unaweza kukuta vifaa vya Analojia na simu feki bado vinaingia nchini!
 
Tz bado haijielewi, kwani ni nani anayesimamia mambo haya? na plan ya Tanzania kwa miaka ya badae ni nini? Mbona vitu vinaibuka ibuka tu bila plani yoyote? leo kukicha utasikia waziri kasema hili mara kesho waziri mwingine kasema lile. Wananchi tunayumbishwa tu, wakati kuna vyombo kama Ukaguzi wa bandarini, TBS, TFDA nk. Wakizuia huko vinakoingilia si rahisi kumfikia mwananchi wa kawaida hapo utasema serikali ipo kazini. Unaweza kukuta vifaa vya Analojia na simu feki bado vinaingia nchini!
 
Waliruhusuje simu feki kuingia nchini. Vivyo hivyo, wanaruhusu hata nyara za Serikali zinatoka nje.
Nchi ya Ajabu!
 
Kama ni kweli basi ni uonevu wa hali ya juu sana,hivi mbona mtu wa hali ya chini anaonewa sana jamani?Maana wanunuao simu za mchina wengi ni hali za chini,sasa tutaponea wapi??HII NCHI NI YETU SOTE.

Nadhani hujaelewa! Hawazimi simu za mchina ila wanazima simu feki.
 
nawapa pole wahindi wenye mastock ya masim ya kichna inakula kwao aisee! Labda wapeleke somali ya kusini!
 
hawa jamaa bana badala ya kuregulate bei ya simu original tunazoletewa bongo, wanakimbilia kuzizima bila kujua tatizo ni nn mpaka watu wanakimbilia fake...em waambieni wacheki ulanguzi tunaofanyiwa wabongo kwa simu original, mchina ni PLAN B ya watanzania maskini, em fanyeni yenu ndo mwangalie yetu..
 
mi bnafsi nimechoshwa na hawa michina....simu inaita kama subwoofer?? mara inazima yenyewe??? ni kero...japo tumechelewa ila zipigwe life ban...
 
Kama ni kweli basi ni uonevu wa hali ya juu sana,hivi mbona mtu wa hali ya chini anaonewa sana jamani?Maana wanunuao simu za mchina wengi ni hali za chini,sasa tutaponea wapi??HII NCHI NI YETU SOTE.

acha ushamba unaajua madhara yatokanayo na hiyo misimu yenu ya mchina?serikali inataka kuokoa raia wake .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom