Tanzania fails me...

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,057
115,410
Kuwa kwangu mtanzania naona kunaniongezea stress tu, kila nikifiria jinsi nchi inavyokwenda naona sioni mwanga kila kitu kinakatisha tamaa, naona nakosa furaha kila siku,skendo ndo zinaongezeka watawala ndo kama viziwi,

Nahisi afya yangu itaathirika nikiendelea kuwa so concern na hali ya nchi hii inavyokwenda, i feel like quiting, labda sio lazima kuendelea kuwa mtanzania, labda nitafute nchi nyingine nihamie, hata huko ntakapohamia kukiwa na mambo kama haya,at least nitasema moyoni hii sio nchi yangu ya asili,may be i will feel beter.

But tanzania hii inavyokwenda, i cant bear it no more, nimekubali kushindwa,hii nchi imenisaliti, i deserve better than just kuongelea ufisadi kila siku, i need to be happy and optimistic about the future,
 
Nafikiria kuhamia Botswana

Kila sehemu kuna matatizo yake, botswana mtu mmoja katika kila wanne walio kati ya miaka 25 na 49 ana HIV.

Taja nchi nyingine.

Botswana is experiencing one of the most severe HIV/AIDS epidemics in the world. The national HIV prevalence rate among adults ages 15 to 49 is 24.1 percent, which is among the highest in sub-Saharan Africa.

[ame]http://en.wikipedia.org/wiki/AIDS_in_Botswana[/ame]
 
njia nzuri ni kupigana na hao mafisadi maana wengi wanafikiria hivyo
 
Tatizo siyo Tanzania ni wewe mwenyewe! Kama unapata ugojwa wa moyo kwasababu ya kufikiria nchi lazima uelewe unamatatizo na unatakiwa kuwaona wataalamu wakusaidie.Tusisingizie kila kitu nchi Watanzania tuna matatizo mengi ya kibinafsi ni watu wakulalamikia sana serikali.
 
Kuwa kwangu mtanzania naona kunaniongezea stress tu, kila nikifiria jinsi nchi inavyokwenda naona sioni mwanga kila kitu kinakatisha tamaa, naona nakosa furaha kila siku,skendo ndo zinaongezeka watawala ndo kama viziwi,

Nahisi afya yangu itaathirika nikiendelea kuwa so concern na hali ya nchi hii inavyokwenda, i feel like quiting, labda sio lazima kuendelea kuwa mtanzania, labda nitafute nchi nyingine nihamie, hata huko ntakapohamia kukiwa na mambo kama haya,at least nitasema moyoni hii sio nchi yangu ya asili,may be i will feel beter.

But tanzania hii inavyokwenda, i cant bear it no more, nimekubali kushindwa,hii nchi imenisaliti, i deserve better than just kuongelea ufisadi kila siku, i need to be happy and optimistic about the future,

...yaani ungejua nchi nayo inakufikiria hivyo hivyo mkubwa!... Kuwa makini tu katika upigaji kura!
 
Tatizo siyo Tanzania ni wewe mwenyewe! Kama unapata ugojwa wa moyo kwasababu ya kufikiria nchi lazima uelewe unamatatizo na unatakiwa kuwaona wataalamu wakusaidie.Tusisingizie kila kitu nchi Watanzania tuna matatizo mengi ya kibinafsi ni watu wakulalamikia sana serikali.

...ha ha haa... duuuh, kweli tupu!

fikiria msongo huu wa mawazo si mchezo,...

-hujanywa chai asubuhi sukari haitoshi,
-hujaacha hela ya mboga,
-mwenye nyumba anakudai kodi,
-konda wa dala dala hataki mpaka ulipe thumni!,
-bosi kazini mkali hujamaliza kazi kwa deadline,
-mwisho wa mwezi unapokea slip tu, mshahara umeliwa kwenye madeni
-wazee wagonjwa, na wadogo zako wamezuiliwa shule kwa kukosa ada,...
-Jirani bado anakudai ahadi ya mchango wa mazishi ulioahidi
-na shemeji hawaishi hodi kufuatilia ahadi ya mchango wa harusi ya mdogo wao!...

Utadata tu! Jiwekee priorities mkuu, maisha matamu popote ulipo...
 
It is not an easy road Mkuu. But I think you better find another career. You might be in the wrong one,
 
Nimeipenda sana thread hii, ina ujumbe muafaka, imetulia, inaililia "nji hii", ina uzalendo, nisiseme sana lakini mawazo kama haya ndizi sisi wa enzi enzi za mwalimu tunapenda kuona, JF itapanuka zaidi kwa mawazo zaidi kama haya. wadau naomba mnielekeze namna ya ku post a new thread pse!. nina thread nyingi sana lakini sijui nianzeje!
 
Kuwa kwangu mtanzania naona kunaniongezea stress tu, kila nikifiria jinsi nchi inavyokwenda naona sioni mwanga kila kitu kinakatisha tamaa, naona nakosa furaha kila siku,skendo ndo zinaongezeka watawala ndo kama viziwi,

Nahisi afya yangu itaathirika nikiendelea kuwa so concern na hali ya nchi hii inavyokwenda, i feel like quiting, labda sio lazima kuendelea kuwa mtanzania, labda nitafute nchi nyingine nihamie, hata huko ntakapohamia kukiwa na mambo kama haya,at least nitasema moyoni hii sio nchi yangu ya asili,may be i will feel beter.

But tanzania hii inavyokwenda, i cant bear it no more, nimekubali kushindwa,hii nchi imenisaliti, i deserve better than just kuongelea ufisadi kila siku, i need to be happy and optimistic about the future,

Boss, are you really serious au unacheza tu hapa ukumbini? Kwanini huwi member wa CCM na ukagombea ubunge kwenye uchaguzi ujao?
Ukifika bungeni kuwa machachari kidogo tu na katika bajeti zuia shilingi moja ya wizara hii na ile na utakuwa ushaukata, kwani baadae utachaguliwa kama mwenyekiti wa kamati fulani na stress yako itakuwa imekwisha. I am NOT joking at all. Waulize waliopita njia hii kama bado leo wanazo-stresses.
Hunahaja ya kuhama nchi. Unadhania utapata wapi nchi nzuri kama hii? Hata ukiiba hapa nchini hukamatwi - atakamatwa tarishi wako, sasa kwanini unataka kuhama?
 
Nimeipenda sana thread hii, ina ujumbe muafaka, imetulia, inaililia "nji hii", ina uzalendo, nisiseme sana lakini mawazo kama haya ndizi sisi wa enzi enzi za mwalimu tunapenda kuona, JF itapanuka zaidi kwa mawazo zaidi kama haya. wadau naomba mnielekeze namna ya ku post a new thread pse!. nina thread nyingi sana lakini sijui nianzeje!


Dear Nd. Madikizela,
Nimefurahi kuona kuwa wewe ni waenzi za Mwalimu. Hivyo jamani enzi hizo ufisadi ulizuwiwa vipi na Mwalimu? Eti ni kweli Sokoine aliuawa kwasababu akiwasaka mafisadi? Huko Unguja tunajua Karume alikuwa hana mchezo na mafisadi na aliyekuwa akiiba alikuwa ni yeye tu. Yeye akisema eti akiwatengenezea khatima wanawe, lakini tunaona leo wanawe ni wezi zaidi ya yeye mwenyewe. Sasa hizo pesa alizowawekea zimekuenda wapi? Au ndio binaadamu hatosheki? Sasa mwalimu yeye akitumia strategy gani kuzuwia ufisadi? Tunaomba fikra zako mzee Madikizela.
 
There are plenty of opportunities to make you thrive in life in this same poor country of yours. The most important thing is how you play your cards. I believe you still have a lot of future ahead of you. My only piece of advice for you is that don't give up man. The nastiest thing one can do in life is to give up. Remain assured that the most common and immediate event to happen for people who give up in life is going mad. So choose between going crazy or keep on struggling with a hope that one day things will work out fine in favour of you. In fact, in my opinions, the signs of you going mad are ready in place. Leo unafikiria kuikimbia nchi yako kesho utafikiria kuwakana hata wazazi wako eti kisa hujatoka kishikaji. Acha hizo mtoto wa kiume. Hata neno la BWANA linasema mtoto wa kiume utakula kwa jasho na mdada atazaa kwa uchungu!
 
Nd. Madikizela,

>wadau naomba mnielekeze namna ya ku post a new thread pse!. nina thread nyingi sana lakini sijui nianzeje!>

I say, kama hujaelekezwa basi nitakuelekeza sasa hivi, maanake sisi wengine tunapenda kusoma hizi fikra za kila mtu. Zitoe threads zako zote uwajani ili tupate kufaidika sote kwa jumla.
Steps zenyewe ni hizi:
[1] Fungua page hii: www.jamiiforums.com
Utafunguka ukurasa ambao una Public Forums nyingi tu.
Click Public Forum inayolingana na title ya thread yako.
Utafunguka ukurasa mwengine na utaona NEW THREAD imekuwa highlighted. Click hii NEW THREAD na utakuwa tayari kuanza. Weka title yako na weka maelezo ya thread yako kwenye ile small window ya kuandika.
Tunangojea kwa hamu kubwa hizo threads zako, maanake madamu wewe ni wa enzi za Mwalimu basi naona utatusomesha mengi hapa kwenye hii forum.
Kila la kheri!
 
Kila sehemu kuna matatizo yake, botswana mtu mmoja katika kila wanne walio kati ya miaka 25 na 49 ana HIV.

Taja nchi nyingine.



http://en.wikipedia.org/wiki/AIDS_in_Botswana

Lakini kumbuka matatizo yanatofautiana. Kila siku tunalalamika humu, lakini mtu akija wazi kujaribu kuonyesha hisia zake watu mnamgeuzia kibao. Sasa kama tunajua kila mahali kuna matatizo yake then hatuna haja ya kulalamika!!!

Anyway, nafikiri tusiilaumu nchi bali tuilaumu CCM kwa kutufikisha hapa tulipo!!!
 
Inakupasa kujitokeza na kudai mabadiliko haraka sana kama ukiwa hivyo jitokeze na uongee kwenye majukwaa ya kisiasa
 
Boss, are you really serious au unacheza tu hapa ukumbini? Kwanini huwi member wa CCM na ukagombea ubunge kwenye uchaguzi ujao?
Ukifika bungeni kuwa machachari kidogo tu na katika bajeti zuia shilingi moja ya wizara hii na ile na utakuwa ushaukata, kwani baadae utachaguliwa kama mwenyekiti wa kamati fulani na stress yako itakuwa imekwisha. I am NOT joking at all. Waulize waliopita njia hii kama bado leo wanazo-stresses.
Hunahaja ya kuhama nchi. Unadhania utapata wapi nchi nzuri kama hii? Hata ukiiba hapa nchini hukamatwi - atakamatwa tarishi wako, sasa kwanini unataka kuhama?


nahisi hujanielewa kabisa,,maisha yangu binafsi niko well off,i am the boss for real,but kuwa tajiri katika nchi ya kifisadi hakunipi furaha,
kuwa tajiri na kuzungukwa na maskini ni hatari na sio furaha kabisa,
kuishi katika nchi yenye watu wanaolalamika kutwa inaboaaa sana,hata kama we ni milionea...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom