Tanzania Export Companies

Nzokanhyilu

JF-Expert Member
Feb 19, 2007
1,078
93
Je, unafahamu kampuni lolote lililo Tanzania ambalo liko certified ku-process and kupack bidhaa mbalimbali kama korosho, ukwaju au spices zozote zinazopatikana zanzibar au sehemu yoyote Tanzania etc?

Je, kuna kampuni linatafuta mwekezaji katika sekta hizi? Au linatafuta soko ulaya?

Je, kuna mfanyabiashara yoyote ana kiwanda cha samaki (kutoka ziwa Victoria) au Samaki wa baharini anatafuta soko au mwekezaji kufikia standard za EU certification na kuweza ku-export Ulaya? Please justify the level of investment/collaboration needed.

Nina interest ya kufahamu ulichonacho na unataka nini ili ufanikishe ku-export ulaya. Nina link na wawekezaji kuja Tanzania au kushirikiana na Mtanzania, lakini sitaki uongo wala grey areas.
 
Una wazo zuri lakini fanya feasibility studies mwenyewe uone ndio uendelee na taratibu za uwekezaji vinginevyo utauziwa mbuzi kwenye briefcase.
 
haswa, mimi ninawajua maexporter wengi kiasi. Ila na wao hawataki kuuziwa mbuzi guniani.
 
haswa, mimi ninawajua maexporter wengi kiasi. Ila na wao hawataki kuuziwa mbuzi guniani.

Haika, naomba uelezee kidogo. Mambo ya kuuziwa mbuzi au kununua mbuzi ni ya research. Ni muhimu kuanza somewhere. Mambo ya kuja na sababu kabla ni ya kizamani. Either you want to help or not.
 
not to help, kufanya biashara.
Labda tuwasiliane, if you are serious. Im in the logistics business.
 
Mimi sina product ila nafacilitate exports.
you know what is in Tanzania, foodcrops, animal products, lake/sea products, farm products, biofuel etc.
I deal with all of those and as this is the export season in TZ, offcourse they export worldwide and offcourse they meet the standards blabla bla.
at this all the established ones I know are not in need of finance assistance, but I thought you wanted to be involved and needed assistance.
Maybe I link you with new wajasiriamali in the business.
 
Hivi Nzoka samahani umeondoka lini Tz? Nimefanya kazi za consultancy saaaaaaana Tanzania habari utakazopewa kwa maneno na maandishi ni tofauti sana na ukweli. Wapo investor wengi sana wamepoteza nauli zao na muda wao kwenda bongo wakidhani wamepata serious business partner kumbe hakuna kitu.

Makampuni ya samaki mwanza ni mengi sana na 90% wanaexport EU, Korosho inayozalishwa Tz 70%inaenda India unprocessed, iliyobakia kuna viwanda nadhani viwili wanaprocess na kuiza local and some export(but wanapark kwenye bulk qnty).

Ushauri.

Fanya maaamuzi ya nini unataka kufanya identify companies, fanya utafiti wako wa jinsi ya kushirikiana nao vinginevyo utaishia kupata substandard companies.
 
Hivi Nzoka samahani umeondoka lini Tz? Nimefanya kazi za consultancy saaaaaaana Tanzania habari utakazopewa kwa maneno na maandishi ni tofauti sana na ukweli. Wapo investor wengi sana wamepoteza nauli zao na muda wao kwenda bongo wakidhani wamepata serious business partner kumbe hakuna kitu.

Makampuni ya samaki mwanza ni mengi sana na 90% wanaexport EU, Korosho inayozalishwa Tz 70%inaenda India unprocessed, iliyobakia kuna viwanda nadhani viwili wanaprocess na kuiza local and some export(but wanapark kwenye bulk qnty).

Ushauri.

Fanya maaamuzi ya nini unataka kufanya identify companies, fanya utafiti wako wa jinsi ya kushirikiana nao vinginevyo utaishia kupata substandard companies.

Yote uliyosema ni kweli. Na kwenye samaki nilifanya sana research, na nikakutana na MD mmoja ofisini kwake a couple years ago. Tulivyokubaliana sivyo alivyoweza kutenda. Mtu mwenyewe alikuwa na soko EU lakini sio UK. It was funny situation I had to leave it as it is.

Wanaoweza kufanya biashara EU wana leseni ya health and safety na most of the time soko linakuwa established tayari. They dont want no middle man, or you do the work wanataka wakuweke pembeni.

My interest ni hiyo unprocessed, 'non-perishable' goods....
 
Kama alivyosema Bowbow huo ndio ukweli, kupata mtu mwaminifu Tanzania ni ngumu sana, hasa mfanya biashara.
They are all looking for the biggest profit possible.
Swala la uaminifu, limenifanya mimi nishindwe kumrecomend mtu kwako.
Watanzania tuna shida hii moja nayo ni kubwa sana, most of us can not be taken for our words. ni tatizo kubwa sana.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom