Tanzania envoy temporarily deactivates Twitter account after criticism from Kenyans

That you think Tanzania has low corruption is enough evidence that it's you that has zero idea of what is happening around you. That nobody in your country reports the amount of money you lose daily to corruption is enough proof that you are ignorant.
You no longer making sense! Let me go take a bath.

Have a good day, and hello to all Kiberans.
 
musipoweka habari wazi, tutawasaidia.
huyo Simbakibuenye hatokaa aisahau siku kama ya leo maishani mwake kwa kipigo alichopokea.
huo ni mwanzo tu. uzuri, media za Kenya zipo huru, na wananchi pia wanajua haki zao. we will make you toe the line.
Lakini zimeshindwa kuwasaidia kupambana na ukabila, rushwa na njaa, Uhuru gani usiokua na msaada wowote kwa wananchi?
 
Ndio kwa mara ya kwanza namsikia huyu balozi wa Tz nchini Kenya. Alikuwepo wapi siku mbunge Jaguar na ulofa wake alipotamka yale maneno ya kibaguzi dhidi ya watanzania na waganda? Hawa ndio wale jamaa wa kujikunyata maofisini wakingoja maagizo kutoka kwa mzee. Kama anajiaminia sana atoke nje ya geti hapo ubalozini bila barakoa, tuone kama usiku huo hataijua vizuri ladha 'murua' ya maharage ya bure na sima majimaji.
Siku zote tunawaambia kwamba wakenya hamna akili na wala hamjui mambo yanayotokea duniani na hata ndani ya nchi yenu, unawezaje kuuliza swali la kijinga kama hili na bado wenzako wajinga wakashabikia?. Hivi hujui kwamba kipindi Jaguar anatoa yale matamshi huyu hakuwa ni balozi hapo Kenya, aliyekua balozi ni yule mama aliyopokea wale Tausi?.

Ninyi wakenya ni watu wapuuzi sana, yule mama alipobadilishwa na kuteuliwa huyu wa sasa hivi, media zenu zilipiga sana kelele na kukosoa huo uteuzi kwa madai kwamba yule mama aliondolewa kwa sababu ya kutochukua msimamo mkali dhidi ya Kenya wakati wa misuguano kati ya Kenya na Tanzania kuhusu mapambano dhidi ya Corona, iweje Leo unauliza alikua wapi kipindi Jaguar anatoa matamshi ya uchochezi, inamaana hata hufuatilii vyombo vyenu vya habari?
 
Ndio kwa mara ya kwanza namsikia huyu balozi wa Tz nchini Kenya. Alikuwepo wapi siku mbunge Jaguar na ulofa wake alipotamka yale maneno ya kibaguzi dhidi ya watanzania na waganda? Hawa ndio wale jamaa wa kujikunyata maofisini wakingoja maagizo kutoka kwa mzee. Kama anajiaminia sana atoke nje ya geti hapo ubalozini bila barakoa, tuone kama usiku huo hataijua vizuri ladha 'murua' ya maharage ya bure na sima majimaji.
Siku zote tunawaambia kwamba wakenya hamna akili na wala hamjui mambo yanayotokea duniani na hata ndani ya nchi yenu, unawezaje kuuliza swali la kijinga kama hili na bado wenzako wajinga wakashabikia?. Hivi hujui kwamba kipindi Jaguar anatoa yale matamshi huyu hakuwa ni balozi hapo Kenya, aliyekua balozi ni yule mama aliyopokea wale Tausi?.

Ninyi wakenya ni watu wapuuzi sana, yule mama alipobadilishwa na kuteuliwa huyu wa sasa hivi, media zenu zilipiga sana kelele na kukosoa huo uteuzi kwa madai kwamba yule mama aliondolewa kwa sababu ya kutochukua msimamo mkali dhidi ya Kenya wakati wa misuguano kati ya Kenya na Tanzania kuhusu mapambano dhidi ya Corona, iweje Leo unauliza alikua wapi kipindi Jaguar anatoa matamshi ya uchochezi, inamaana hata hufuatilii vyombo vyenu vya habari?
 
What a heap of hogwash. Simply answer the question - are you developed or not? What are you doing in the LDC category? Stop being stupid. Abattoirs. What next? City clocks?🤣🤣🤣

Sindano imekuingia kwa mfupa.
🤣😂🤣
Uhuru n Umoja ukiona anatokwa na povu namna hiyo ujue umempa more and above the required dose. Good work, keep it up. 🤝🤝🤝
 
Tanzanian Ambassador to Nairobi Dr. John Simbachawene temporarily deactivated his Twitter account, @JSimbachawene, a day after he lectured and warned Kenyan journalists against reporting on matters coronavirus pandemic in his country.

During an interview on Tuesday with Tanzania’s EATV, the envoy urged the Kenyan media to publish factual information regarding covid-19 in Tanzania, saying a Kenyan station had reported misleading information on the current situation in the Swahili-speaking country.

The ambassador further requested Tanzanian citizens to take precautions against covid-19 as well as following the health protocols put in place by the Kenyan government on combatting the virus for those who wished to visit Kenya.

His utterances prompted retributions from Kenyans on Twitter (KoT) forcing him to delete all his earlier tweets and retweets about the Kenyan media.

The World Health Organization has continued to put pressure on Magufuli’s government and called upon President John Magufuli to release Covid-19 data.

On his side, President Magufuli has urged Tanzanians to take precautions but remained adamant in revealing the impact of Covid-19 in Tanzania.

Tanzania has so far lost 10 prominent figures that have died in less than a month including former Zanzibar first Vice President Maalim Seif.
Balozi wa Tanzania nchini Kenya anawaambia Wakenya waandike ukweli.

Wakati serikali yake ya Tanzania inaficha ukweli.

Katika Information Theory wanasema, ukitaka habari ya kweli isambazwe, usiifiche, iweke wazi.

Ukificha ukweli, watu watasambaza chochote, hata uongo.

Serikali ya Tanzania kwa kuficha ukweli, inaalika uongo usambazwe.

Balozi wa Tanzania kabla ya kulaumu Wakenya, angeanza kwa kuishauri serikali yake yenyewe iache kuficha ukweli.
 
Sindano imekuingia kwa mfupa.
🤣😂🤣
Uhuru n Umoja ukiona anatokwa na povu namna hiyo ujue umempa more and above the required dose. Good work, keep it up. 🤝🤝🤝

Huyu NairobiWalker twajuana miaka mingi huko Skyscrapercity.com. Wengine ni Gezaulole ingawa kwa sasa tuna tofautiana, mwingine ni Bantugbro, Magufuli wetu huko skyscraper.
 
Manyang'au ya kwao yamewashinda, kudandia ya wenzao, endeleeni kuhangaika na corona huku Kenyatta akitafuna hela za vaccinations

Poleni sana kwa hii misiba ya maprofesa, ungepata elimu japo kiduchu ungeelewa gharama ya kumpoteza profesa, japo na hao wasomi wenu ni mabongolala pia maana na wao wameshakubali kuimbishwa nyimbo za korona haipo Tanzania na sasa wanapukutika balaa....

2703084_1.jpeg
 
That you think Tanzania has low corruption is enough evidence that it's you that has zero idea of what is happening around you. That nobody in your country reports the amount of money you lose daily to corruption is enough proof that you are ignorant.
Hahahaha, I do agree with you, Tanzania there is tribalism, terrorism, hunger, police brutalit, terrorism, Nepotism, and land grabbers like Kenya, only because they are not reported. Hahahahahaha.
 
Huyu NairobiWalker twajuana miaka mingi huko Skyscrapercity.com. Wengine ni Gezaulole ingawa kwa sasa tuna tofautiana, mwingine ni Bantugbro, Magufuli wetu huko skyscraper.

Okay NairobiWalker is a qs by professional. So he has a very limited technical capacity and know how in the fields of economics, finance, social science issues etc.

Nilikuweko huko miaka ya nyuma. Lkn sasa sijaenda muda mrefu sana.
Anyways, good job to educate those morons, coz have psychological biases to any serious competitor.
 
Poleni sana kwa hii misiba ya maprofesa, ungepata elimu japo kiduchu ungeelewa gharama ya kumpoteza profesa, japo na hao wasomi wenu ni mabongolala pia maana na wao wameshakubali kuimbishwa nyimbo za korona haipo Tanzania na sasa wanapukutika balaa....

2703084_1.jpeg
Hawa wana bongoamka...

 
Tanzania is one of the poorest countries in the world. That's more than enough evidence.
MH! And yet Tanzania has surplus food for its people and Kenya, a rich country, has millions going hungry🥱

By the way, neither poverty nor wealth are evidence of corruption.
 
Back
Top Bottom